Muda Hip Hop: Michano pamoja na vina

Muda Hip Hop: Michano pamoja na vina

Jina la dem mbaya, kila napo pita roho inapwita, nasikia wana mwita csta, tena mtanza,anaziwa zuri ka mwanza, sema kicheche, avaa sketi fupi ilituione serengeti ilivyojaza, miguu mizuri huyu mtoto wa kwanza kama mikumi, anavidole vizuri kama dagaa wa ziwa tanganyika, sema mapepe angekua mjanja , warabu wasinge mpanda, alitoa twiga ndege wa kapanda, hana shida wengi washapiga ,alipata bwana toka mbali alisafisha barabara na bahari, bwana akafika biashara zawana zikafungiliwa mbali, wala hakujali, bwana akasepa binti akaingia dosari, mara augue dengue nani amjali ,akapata busi lika mtesti dem akatoa gesi, hip hop kazi teh
 
aah jf kilinge kimenuka,
siasa kando michano imeibuka,
hey admin huku ban haisuk,naweza mchana chnga one na akawa hastuki.
mistar yangu ina nguvu ka mashut ya kanik,
si yako ya kulemba ka LE MUTUZ ila power ya biskut,
nafanya button zfeel beat,beat hewa ikija lazma hii ngoma iwe hit,
me i thnk nafkr ujuz uliumbwa na mimi.kama leo nkfa mimi hphop itazkwa nami
 
mtu mzima nimesimama
mc zaidi ya chiku keto mwengine asinijie kimama
kimashairi nkakulalua kinyama
nakuchanganyia miguu kama ronald nakupita ukinitazama
beki lazima upewe lawama
sizimiki leo hili picha ndio kwanza linaanza
waambie wanaojivunia mikoa wanajiita mwanza mwanza
hii ndio stend united kwa soka safi ntawashangaza
sijipigi promo
nataka mziki unipe pesa sio wanawake kama domo
no swet hata madj wasiopopiga nyimbo zangu
tutakutana club ntawarusha wanangu
hii track imesheeni mautamu
mpaka kim nana anatabasamu
hizi swaga tu kushusha jeans haimanish mc sina nidhamu
embu changeni changen tukaupande mlima kill pamoja wana jamii forum
kibibi kikiwepo
lazima mliman kikizidiwa na baridy nikitoe mapepo
kikaza basi miss chaga ntamtega na maapple
heaven on earth ukiwepo ntachonga na mzizi mkavu
anipe dawa ya kumlainisha binti nizivumanie nyavu
halla wakuu dont take dis serious nashow tu love
nitatulia na miss ned
kama demu wa mods kitachonikumba ni ban na mijeredi
 
Ok hiphop was born in me,mkichana mi nashona,hiphop sio mipasho,futa wenge mbele twende,achana na hao ma mendee,ma mc wacki wanashndwa kutunga wanadis hiphop haizwiii,mambuzi,visambuzi,vinaclash,hii ni mitindi uhuru,ma mc fake washalazwa icu,im so gone to br honest..rab zangu ni sexy,style yangu ni ya pekee kama vyura wa kihansi...
 
mtu mzima nimesimama
mc zaidi ya chiku keto mwengine asinijie kimama
kimashairi nkakulalua kinyama
nakuchanganyia miguu kama ronald nakupita ukinitazama
beki lazima upewe lawama
sizimiki leo hili picha ndio kwanza linaanza
waambie wanaojivunia mikoa wanajiita mwanza mwanza
hii ndio stend united kwa soka safi ntawashangaza
sijipigi promo
nataka mziki unipe pesa sio wanawake kama domo
no swet hata madj wasiopopiga nyimbo zangu
tutakutana club ntawarusha wanangu
hii track imesheeni mautamu
mpaka kim nana anatabasamu
hizi swaga tu kushusha jeans haimanish mc sina nidhamu
embu changeni changen tukaupande mlima kill pamoja wana jamii forum
kibibi kikiwepo
lazima mliman kikizidiwa na baridy nikitoe mapepo
kikaza basi miss chaga ntamtega na maapple
heaven on earth ukiwepo ntachonga na mzizi mkavu
anipe dawa ya kumlainisha binti nizivumanie nyavu
halla wakuu dont take dis serious nashow tu love
nitatulia na miss ned
kama demu wa mods kitachonikumba ni ban na mijeredi

Hahahaha..asante Arifee
 
Mnalalama maisha magumu kwenye uchaguz hamjitokezi,mshefanywa vibaya eppa,dowans lakin hamjiongezi
mmechezewa sana tena hadharani escrow na bado wachina hawawatoshelezi
mnagawa vibaya hadi kwa rada mwingereza kalionja penz
nyie mama huruma mna huruma ya ajabu
shingo juu kama twiga rasilimali mmempa mwarabu
mmlawi mnyonge akikushika ziwa nyasa unampiga bila sababu
mmarekani maeneo kibao unampatia bila tabu
chenge mwanao mwenyewe amekugeukia kama mtoto wa mbuzi
rada,eppa,escrow anavuma kila shuzi
misala inawadondokea kina werema watoto wa juzi
wewe ni rahisi sana kukupata wawekezaji wameshtuka wanakutongozesha kina tibaijuka
kwa ten percante unabinjuka
wapinzan hawakubal we kugeuzwa duka
kwa ufisadi nan asojua unanuka
singa singa bwanaoko mpya kina zito wamenin'gin'gia mpaka shipa limetumbuka
weupe wanajipigia b

U talk about life utaniambia nn
Nna uzoef mpaka najiona jini
Natema vitu adim napaa kama mwewe
Mi ni freeman sahau kuhusu mbowe
Nitr chokoraa haramu
Hustla damu
Navyozisaka noti mipango mingi utasema Boko haramu
Let's gooooo
 
aah jf kilinge kimenuka,
siasa kando michano imeibuka,
hey admin huku ban haisuk,naweza mchana chnga one na akawa hastuki.
mistar yangu ina nguvu ka mashut ya kanik,
si yako ya kulemba ka LE MUTUZ ila power ya biskut,
nafanya button zfeel beat,beat hewa ikija lazma hii ngoma iwe hit,
me i thnk nafkr ujuz uliumbwa na mimi.kama leo nkfa mimi hphop itazkwa nami

Tulia joseph kaniki zama zako zimepita
Kama goliati unakula zako daudi nishafika
Master Wa michano Bruce Lee
Nachana sina mfano vina viref AnaNASA mpaka mansu lee
 
mawazo mapana, dizaini ya shati le le mutuz/
hip hop no drama, time kuonyesha ujuz/
kwenye kundi la ma emcee, mkali najiona mimi/
nikifanya kazi kwa bidii, mamcee opera mtabaki mini/
 
Ok hiphop was born in me,mkichana mi nashona,hiphop sio mipasho,futa wenge mbele twende,achana na hao ma mendee,ma mc wacki wanashndwa kutunga wanadis hiphop haizwiii,mambuzi,visambuzi,vinaclash,hii ni mitindi uhuru,ma mc fake washalazwa icu,im so gone to br honest..rab zangu ni sexy,style yangu ni ya pekee kama vyura wa kihansi...


mistari sugu, na hii ndo the return of age/

mnajifanya mbubu, mkiflow mna sound garbage/

ni bora mtubu, kwa mjuzi nipate walisha knowledge/
 
Kumbe PCCB inatooth then les, Wanafel Kuendesha nying kes, jalada mpaka lipite kwa DPP, ndo maana inaonekana kama ime R.I.P, Mwl nyerere akiwa kiongoz old, alisema serikal corrupt haiwez kusanya kod, kila mwaka bajet inategemea pombe sio tena migod,wote tukiokoka kumrudia GOD, kweli nchi yetu itaweza go ahead, watz hatutakiwi kujipretend, et btn TZ and U.S there is bond, America don hv permanent friend, bado tz tu washindi , tutumie kile kilichopo kwenye yetu land, tutaendelea zaidi ya nch za wahind,

iko gud,
 
kuvaa kwangu mlege haimaanishi navuta kaya
niite mangi mweusi nn¨¤yejichubuaga kwa mtori,
 
kuvaa kwangu mlege haimaanishi navuta kaya,
mimi rijali nisiye na nye.ge ndo maana sifanyi umalaya
 
mistari sugu, na hii ndo the return of age/

mnajifanya mbubu, mkiflow mna sound garbage/

ni bora mtubu, kwa mjuzi nipate walisha knowledge/

juu ya nguzo 5 za hiphop kipaji hiki kimejengwa
njoni mshuhudie mvua ya magol timu kubwa na timu ndogo mtengwa
sikosi kila napolenga
kocha usimama na kushangilia kama mesi golin nkienda nkipiga chenga
mc mnapenda publicity kama kamanda kova
hamsikik mnatema mistar kama mmeamka mna hang over

kila round nawatoa no kauti
kipa jipange kupangua haya mashuti
vita yangu ni zaidi ya baba ubaya mtaliliwa nyie migambo na skauti
embu shiken njia mtoke barut
mmeingia ngome ya jeshi nipen hizo salute
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom