Muda Hip Hop: Michano pamoja na vina

Muda Hip Hop: Michano pamoja na vina

thanks for advice great cbn, for that lesson count me in, you make it clear to all people, we need humanbeing not people, thats why there is corruptors, PCCB are toothles they are ACTORS, where is our governor balali, he go to hell in USA Really,Plz shadow dr kikwete salvate TBC,Its days are numbered like ATC.yoh mapeople dont forget NHC,Maghufuli and BEN Why this.
Kumbe PCCB inatooth then les, Wanafel Kuendesha nying kes, jalada mpaka lipite kwa DPP, ndo maana inaonekana kama ime R.I.P, Mwl nyerere akiwa kiongoz old, alisema serikal corrupt haiwez kusanya kod, kila mwaka bajet inategemea pombe sio tena migod,wote tukiokoka kumrudia GOD, kweli nchi yetu itaweza go ahead, watz hatutakiwi kujipretend, et btn TZ and U.S there is bond, America don hv permanent friend, bado tz tu washindi , tutumie kile kilichopo kwenye yetu land, tutaendelea zaidi ya nch za wahind,
 
Sipendi siasa za bongo nahitaji kuwa free/
Naepusha majanga thats why sifatilii/
Najua katiba ya nchi na sheria nazitii/
Kitu muhimu kwangu kufanya kazi kwa bidii/
Siasa mchezo mchafu daily machafuko kwenye jamii/
Polisi wanazingua raia kwa mabomu do u see?/
Risasi za moto wanamimina wakikuua hawajutii/
Na hii ndio sababu kwangu siasa hainivutii/.............
 
zima mic zima mic,ni kitendo adimu nawaasha mshumaa,tuwakumbuke mashujaa,che guevara mkombozi wa mabara,nyerere kiongozi wa taifa,alipiga kelele tupate faida,wanaharakati wote mitaa ya kati man ngwair,washa mic washa twende kwa air,dkk moja imeisha bado nasababisha,inaumiza nchi kuwa duni,madini yanakwisha,tanzania inabakia masikini...
 
naanza na mleta mada!!
Fafanua mada,,sio kukurupuka kama kada!!!!
Leta mada kwa ufasaha ikibid omba msaada!
Elewa hiphop si kama gem la vishada!!
Zingatia nguzo sio kubana saut ka akinadada
 
yo yo yo naanza na jamii forum, japo mamodes wananikosesha hamu, bado mi mbishi sana tu, sitishwi na ban naona poa tu, wapi yule ngabu nyani, nimchane nimtupe chini, hili jukwaa sio la wauza sura, simjui d hammy ila cpendi uchwara, wapi ile kesi ya desi, uswazi wanasubiria lord mercy, vp pale udsm chakula chao,pilau kama matope wanakula wao, toka nkrumah mpaka theatre hall, bado hawana vtanda wanalala dining hall.
 
hii ndo hiphop na sio pop,
mapinduzihalisi kamkata mleta mada km keki,
thread inaturn red,
penda kuamin bila kucheki,
killi tatizo nini eti tuzo anapewa amini,
hospitali hazina dawa hii hatari,
them guys bungeni wanakula kwa fahari,
amkeni gals n guys tule sukari,
chaguzi 2015 tuwe na athari,...
 
naanza na mleta mada!!
Fafanua mada,,sio kukurupuka kama kada!!!!
Leta mada kwa ufasaha ikibid omba msaada!
Elewa hiphop si kama gem la vishada!!
Zingatia nguzo sio kubana saut ka akinadada
Kundi La Mamba Sikuizi , Kweli Kenge Hawakosi,wewe Unajiita Mapinduzi, milele uwezi kuwa halisi,panua ubongo kuelewa hii nyuzi, usiwe mzembe kama yule aliyemchora mess, kweli hii forums jamii, kuna magreat na mapoor lakini wote mathinker, Sijui nikuweke wapi kwenye hii, au we unakaa popote ka kilaka, usipate sana shida, cbn naamini yangu mawazo, so siwezi kua kada, kama unavyofikiri wewe hamzo, gem hili nalifanyia masaka, hip hop kijana nai-murder, usikubali kushikiwa ka bakur la sadaka, kwenye hiz nyeus utaonekana wa Kawaida,
 
Shark nipe mzuka nichane ka kamanda vitani!
Najiamini kuliko Godbless Lema kadamnasini!
Sijui Kiingereza silazimishi ka brotherman wa msonga.
Yo! Shark zima beat nikemee kwa hotuba ka Obama!
Oh Yeah,

From M - I - C to the Mic, Mr. Shark I am flow.

Ma fine voice make ma people to blow,

Take this, don't dare miss my show,

On that game Mr. Shark I am score,

Single match, so many goal.

Here we go,
Shark on the Mic, in colabo with MTAZAMO.
Tunapagawisha halaiki, kwa yetu hii michano,
Kama umetukubali, usiache kutupa tano,
Wapi Mwali?, wapi pia TANMO?
 
Last edited by a moderator:
hii ndo hiphop na sio pop,
mapinduzihalisi kamkata mleta mada km keki,
thread inaturn red,
penda kuamin bila kucheki,
killi tatizo nini eti tuzo anapewa amini,
hospitali hazina dawa hii hatari,
them guys bungeni wanakula kwa fahari,
amkeni gals n guys tule sukari,
chaguzi 2015 tuwe na athari,...

Hawezi kunikata kama keki , halisi awez kuwa Mapinduzi, kwanza uandishi wake feki, akagombee ukatibu uenez, Anafikiria tu kuwa kada, anadandia vitu kwa mbele, hip hop aiwez akapake poda, au aendelee kutumika kupaza makelele , anaweza shindana na magreat, asimuweze kijana cbn, kwangu nothing ata-get, Coz najiamin since when i was born,
 
yeaah!!! One more chance!!! More chance ma pipo,,,

writing reality,
mbaka nageuza base to alcalinity,
nawakimbiza ka fast jety,
kwenye huu uandish wa kiharakati,
napanga vina ka not kwenye pochi,
wanaozingua wote nawashoot kwa dochi,,
hapa sihitaji mwongozo,
nachotaka ni mic 1 tu kuwatoa watu kwenye uozo,
hili ni darasa huru pata shule ya hiphop,
usisite usinune kijana wek up,
 
yeaah!!! One more chance!!! More chance ma pipo,,,

writing reality,
mbaka nageuza base to alcalinity,
nawakimbiza ka fast jety,
kwenye huu uandish wa kiharakati,
napanga vina ka not kwenye pochi,
wanaozingua wote nawashoot kwa dochi,,
hapa sihitaji mwongozo,
nachotaka ni mic 1 tu kuwatoa watu kwenye uozo,
hili ni darasa huru pata shule ya hiphop,
usisite usinune kijana wek up,

Unaomba One More Chance, Unaandika Bila Confidence, geuza tu, alkalinity frm acid, inaweza isiwe concetrated, Mwisho Ulichopata Diluted, Darasa lako limekosa mapinduz, labda bro u-train wapuuzi, unasema huru bila halisi, uwez fundisha so usi-force, hii ni brutal title mach, kama uwez ka benchi, Mimi huaga hapa si sleep , nakushaangaa unaposema ni wek up, Kijana kwenye hip hop, great cbn niko deep,
 
Hii ni forum ya kijamii, great thinker hapa ndo home/
ukiwa na mawazo ya kichalii,hapa sio yako sehemu/
 
Ukishakuwa maarufu lazima ukubali
skendo...
sio kila siku watasifu lazima watapiga
dongo...
Kuna Wengine hawapitishi hata wiki wamefanya jambo...
Na wengine wakiona hawaskiki watajifanya wana skendo...

Jay Moe ndo yuleyule umashuhuri haujanibadilisha...
ni upara hakuna nywele style ya kiduku
itapita...
 
Sipendi siasa za bongo nahitaji kuwa free/
Naepusha majanga thats why sifatilii/
Najua katiba ya nchi na sheria nazitii/
Kitu muhimu kwangu kufanya kazi kwa bidii/
Siasa mchezo mchafu daily machafuko kwenye jamii/
Polisi wanazingua raia kwa mabomu do u see?/
Risasi za moto wanamimina wakikuua hawajutii/
Na hii ndio sababu kwangu siasa hainivutii/.............

Kaka uandishi wako kama unatokea tanga vile.
Kila nikiusoma nakumbuka tts.
Kama ni wewe hebu jibu upesi.
Kama sio wewe basi haina kesi.
 
Yeah,,!yeah...!maisha yamepanda bei maduu wanauza sketi, mtanzania analia njaa aliowapa kura wanaparty,mama juma hana ajira bakhresa anatengeneza chapati,unayepata uji shukuru wengine hawapati.
 
Kweli ujana ni Maji, Hatari Yenye moto , wengi wetu tunajifariji, kuna Short Cut kufikia zetu ndoto, ila maisha mwana Utafutaji,sio tu kubweteka na story za getto, vijana Tamaa mbele, mauti yao wameyaweka nyuma, wapo Tayari kubeba Kete toka nchi za mbele, hata kama huko ni hatar kwenye nchi ya zuma,
 
Kundi La Mamba Sikuizi , Kweli Kenge Hawakosi,wewe Unajiita Mapinduzi, milele uwezi kuwa halisi,panua ubongo kuelewa hii nyuzi, usiwe mzembe kama yule aliyemchora mess, kweli hii forums jamii, kuna magreat na mapoor lakini wote mathinker, Sijui nikuweke wapi kwenye hii, au we unakaa popote ka kilaka, usipate sana shida, cbn naamini yangu mawazo, so siwezi kua kada, kama unavyofikiri wewe hamzo, gem hili nalifanyia masaka, hip hop kijana nai-murder, usikubali kushikiwa ka bakur la sadaka, kwenye hiz nyeus utaonekana wa Kawaida,

Mkuu una mistari tight,
But the arrangement don't seem to be alright.
Unatupa tabu kusoma wenye cm,
Ndomana tunaishia kukulaumu.
You should be great zaidi ya thinker,
Speak sense utasikika.
Drop knowledge on speaker.
Ni hayo tu, otherwise uko juu.
 
Mkuu una mistari tight,
But the arrangement don't seem to be alright.
Unatupa tabu kusoma wenye cm,
Ndomana tunaishia kukulaumu.
You should be great zaidi ya thinker,
Speak sense utasikika.
Drop knowledge on speaker.
Ni hayo tu, otherwise uko juu.
daaah poa mkuu kwa ushauri wako , nimekuelewa nitaifanyia kazi hiyo.
 
FEROUZ...
Jirushe jirushe jirushe rushee
Jirushe jirushe jirushe rusheee
Leo kwa pamoja tumekusanyika
Na muda wa kuspend sasa umefika
Masela ruka aaii
Kwa mizukaa aii aiii
Ingia kati aaiii
Serebukaa aii aaii...

JAY MOE...
Wengi leo wako chali na walivuma ile kinoma
JIRUSHE kiakili kabla line light yako haijazima
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom