Muda hii nchi nzima inaangalia Chereko-chereko TBC

Muda hii nchi nzima inaangalia Chereko-chereko TBC

Hahhaz chanel namba ngapi hio? Nibebe twende wote huko labda nitabebishwa.
Au unaongelea nickelodeon an kina boomerang? Hahaha
zipo nyingi nyingi,bado nafuatilia itakayokufaa zaidi nitakupa jibu. Huko afadhali kuna kubebishwa
 
Ni mwendo waTBC tu,ndo wanavyotaka,duu shida sana.
IMG_20180812_200938.jpg
 
Si ndio akili zenu maccm, kukurupuka tu kila wakati!
Fisi em imeharibu sana hili taifa...
Itakuwa ile ya asili,hii mpya ya mwenyekiti (ccm ukawa) itakuwa moto yaani fire kudumisha fikra za mwenyekiti. Tutakimbia speed ya 5G kwenye right track,tembea kifua mbele tu.
 
Kwa Mujibu wa sheria zilizopo mmiliki wa King'amuzi Ana hiyari Ni channel zipi ziwepo kwenye King'amuzi chake Na zipi zisiwepo lakin ulizochagua ziwepo Ni lazima Uzioneshe Hata Kama wateja wako hawajalipia

Wamiliki wa ving'amuzi wameamua kumwaga mboga Kwa kutoa local channel karibia zote Baada ya TCRA kuwalazimsha waoneshe bure Na Azam kuzuia kuonesha Habari Kwa Kuwa Sio maudhui waliyosajiliwa nao

Waziri kakurupuka Eti wawarudishie pesa zao wateja

Mkataba wa mteja Na king'amuzi ni Kwa zile channel Za kulipia Na Bado zinaoneshwa Wao wamezitoa Za bure iweje warudishe pesa

TCRA inabidi wakae mezani Kama wanataka suluhu Sio kutoa Amri
CCM hoyeeee.....akili za kuvukia barabara, shithole gov.
 
Back
Top Bottom