Zillion
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 1,389
- 1,889
Hahahaa asee wakuu mnajua kuiponda televisheni ya sisiemuTena gunia tupu lisilo la kitu ndani
Hahahaa asee wakuu mnajua kuiponda televisheni ya sisiemuTena gunia tupu lisilo la kitu ndani
Angekua dstv hapo wkend hii angekua bize na ligi supersportHuyu ni azam au dstv
Kwan anaish wap?Huyu mtoto namuelewa sanaa.
Akilubali nishtue nitakupeleka hadi kwake
Mkuu hivi kumbe kuna mda unakuwa unajielewa hivi? Lumumba wote wangekuwa kama wewe ujinga usinge kuwepo.Kwa Mujibu wa sheria zilizopo mmiliki wa King'amuzi Ana hiyari Ni channel zipi ziwepo kwenye King'amuzi chake Na zipi zisiwepo lakin ulizochagua ziwepo Ni lazima Uzioneshe Hata Kama wateja wako hawajalipia
Wamiliki wa ving'amuzi wameamua kumwaga mboga Kwa kutoa local channel karibia zote Baada ya TCRA kuwalazimsha waoneshe bure Na Azam kuzuia kuonesha Habari Kwa Kuwa Sio maudhui waliyosajiliwa nao
Waziri kakurupuka Eti wawarudishie pesa zao wateja
Mkataba wa mteja Na king'amuzi ni Kwa zile channel Za kulipia Na Bado zinaoneshwa Wao wamezitoa Za bure iweje warudishe pesa
TCRA inabidi wakae mezani Kama wanataka suluhu Sio kutoa Amri
Hili la wezekanaWanatengeneza KIKI ili Kiongozi wa juu aingilie kati ionekane anawajali wananchi
Haha asijielewe mchezo?Mkuu hivi kumbe kuna mda unakuwa unajielewa hivi? Lumumba wote wangekuwa kama wewe ujinga usinge kuwepo.
Lkn ukweli ni kuwa hata viongozi umarufu wao utashuka sana maana watu wengi hawata fatilia taarifa za habari hususani kupitia TBC1.
Startimea huku Mbeya ni majanga matupu
Noma sanaHaha asijielewe mchezo?
Karudi home kakuta chereko chereko lazima akili zimkae sawa.
Hiyo copy & paste acha kumpa sifa zisizomuhusu nzi wa kijan wengi ni miili tembo akili ubongo wa sisimiziMkuu hivi kumbe kuna mda unakuwa unajielewa hivi? Lumumba wote wangekuwa kama wewe ujinga usinge kuwepo.
Lkn ukweli ni kuwa hata viongozi umarufu wao utashuka sana maana watu wengi hawata fatilia taarifa za habari hususani kupitia TBC1.
Startimea huku Mbeya ni majanga matupu
Tumeipenda wenyewe ngweeeeHivi hii nchi mbona ina drama nyingi yaani narudi home nawasha TV nakuta TBC tu kwanza siangaliagi TBC pili nimelipia juzi tu channel zote muhimu hazipo natumia startimes dish nawapigia namba zao ziko bussy
CCMHahaaaaHiyo copy & paste acha kumpa sifa zisizomuhusu nzi wa kijan wengi ni miili tembo akili ubongo wa sisimizi
Karibu Ambiele. wageni ni baraka kwetu@loveb naomba mwaliko nije kwako tupige stori mbili tatu
Mkuu dstv ina channel nyingi sema tu unapenda cherekoAsanteni sana wahusika.
Sisi wenye dstv inabidi tuangalie chefeko chereko la sivyo tuangalie wakata viuno sound city.
Au wacheza uchi sound city
Tunashukuru

HahahaHeri kuangalia ngono utapata ujuzi kuliko kuangalia Chanel ya kijani

Waish wap LovebKaribu Ambiele. wageni ni baraka kwetu
Sasa si bora ningenunua ki’gamuzi cha sudaniMkuu dstv ina channel nyingi sema tu unapenda chereko
Mimi nilikua naangalia channel namba 114 , 139 kuna vipindi vikali tu muda huo wewe unaangalia chereko![]()