Muda hii nchi nzima inaangalia Chereko-chereko TBC

Muda hii nchi nzima inaangalia Chereko-chereko TBC

Hivi hii nchi mbona ina drama nyingi yaani narudi home nawasha TV nakuta TBC tu kwanza siangaliagi TBC pili nimelipia juzi tu channel zote muhimu hazipo natumia startimes dish nawapigia namba zao ziko bussy
 
Kwa Mujibu wa sheria zilizopo mmiliki wa King'amuzi Ana hiyari Ni channel zipi ziwepo kwenye King'amuzi chake Na zipi zisiwepo lakin ulizochagua ziwepo Ni lazima Uzioneshe Hata Kama wateja wako hawajalipia

Wamiliki wa ving'amuzi wameamua kumwaga mboga Kwa kutoa local channel karibia zote Baada ya TCRA kuwalazimsha waoneshe bure Na Azam kuzuia kuonesha Habari Kwa Kuwa Sio maudhui waliyosajiliwa nao

Waziri kakurupuka Eti wawarudishie pesa zao wateja

Mkataba wa mteja Na king'amuzi ni Kwa zile channel Za kulipia Na Bado zinaoneshwa Wao wamezitoa Za bure iweje warudishe pesa

TCRA inabidi wakae mezani Kama wanataka suluhu Sio kutoa Amri
Mkuu hivi kumbe kuna mda unakuwa unajielewa hivi? Lumumba wote wangekuwa kama wewe ujinga usinge kuwepo.
Lkn ukweli ni kuwa hata viongozi umarufu wao utashuka sana maana watu wengi hawata fatilia taarifa za habari hususani kupitia TBC1.
Startimea huku Mbeya ni majanga matupu
 
Mkuu hivi kumbe kuna mda unakuwa unajielewa hivi? Lumumba wote wangekuwa kama wewe ujinga usinge kuwepo.
Lkn ukweli ni kuwa hata viongozi umarufu wao utashuka sana maana watu wengi hawata fatilia taarifa za habari hususani kupitia TBC1.
Startimea huku Mbeya ni majanga matupu
Haha asijielewe mchezo?

Karudi home kakuta chereko chereko lazima akili zimkae sawa.
 
Hivi wa kulaumiwa ni nani kwa hili..!??

Kwa maana TV zote hizo huko leo hakuna kazi na vituo vimefungwa.!?

Em nielewesheni wakuu..sielewi.

Na hatima ya hili nini!??
 
Mkuu hivi kumbe kuna mda unakuwa unajielewa hivi? Lumumba wote wangekuwa kama wewe ujinga usinge kuwepo.
Lkn ukweli ni kuwa hata viongozi umarufu wao utashuka sana maana watu wengi hawata fatilia taarifa za habari hususani kupitia TBC1.
Startimea huku Mbeya ni majanga matupu
Hiyo copy & paste acha kumpa sifa zisizomuhusu nzi wa kijan wengi ni miili tembo akili ubongo wa sisimizi
 
Hivi hii nchi mbona ina drama nyingi yaani narudi home nawasha TV nakuta TBC tu kwanza siangaliagi TBC pili nimelipia juzi tu channel zote muhimu hazipo natumia startimes dish nawapigia namba zao ziko bussy
Tumeipenda wenyewe ngweeee CCM
 
Asanteni sana wahusika.
Sisi wenye dstv inabidi tuangalie chefeko chereko la sivyo tuangalie wakata viuno sound city.
Au wacheza uchi sound city
Tunashukuru
Mkuu dstv ina channel nyingi sema tu unapenda chereko
Mimi nilikua naangalia channel namba 114 , 139 kuna vipindi vikali tu muda huo wewe unaangalia chereko
 
Mkuu dstv ina channel nyingi sema tu unapenda chereko
Mimi nilikua naangalia channel namba 114 , 139 kuna vipindi vikali tu muda huo wewe unaangalia chereko
Sasa si bora ningenunua ki’gamuzi cha sudani
 
Back
Top Bottom