Two dimension array
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 1,592
- 2,381
Kama umeniona vile hakuna namna
TBC lipo aisee Mkuu the butcher,Nina miaka mingi sijaona tbc kumbe bado ipo
Weweee nani aangalie TBC ? WATU TUNAANGALIA HABARI ZA KENYA KUPITIA KTN NA K24. AISEE KUMBE NAIROBI NI BARABARA 8 NNE ZA KWENDA NNE ZA KURUDI HALAFU MAGOROFA USIOMBE. KUMBE SISI TUKO NYUMA SANA. ASANTENI KUTUFUNGIA CLOUDS NA AITIIVIIAsanteni sana wahusika.
Sisi wenye dstv inabidi tuangalie chefeko chereko la sivyo tuangalie wakata viuno sound city.
Au wacheza uchi sound city
Tunashukuru
Umeeleza vizuri hadi raha. Na hapo mwisho waziri katia aibu, kama kitu ni cha bure, iweje urudishiwe pesa kwa kitu cha bure?Kwa Mujibu wa sheria zilizopo mmiliki wa King'amuzi Ana hiyari Ni channel zipi ziwepo kwenye King'amuzi chake Na zipi zisiwepo lakin ulizochagua ziwepo Ni lazima Uzioneshe Hata Kama wateja wako hawajalipia
Wamiliki wa ving'amuzi wameamua kumwaga mboga Kwa kutoa local channel karibia zote Baada ya TCRA kuwalazimsha waoneshe bure Na Azam kuzuia kuonesha Habari Kwa Kuwa Sio maudhui waliyosajiliwa nao
Waziri kakurupuka Eti wawarudishie pesa zao wateja
Mkataba wa mteja Na king'amuzi ni Kwa zile channel Za kulipia Na Bado zinaoneshwa Wao wamezitoa Za bure iweje warudishe pesa
TCRA inabidi wakae mezani Kama wanataka suluhu Sio kutoa Amri
DuuhTBC lipo aisee Mkuu the butcher,
Ikifika saa mbili usiku mke wangu analifungulia TBC taarifa ya habari huku katenga chakula sitting room nashindwa hata kwenda kulia chakula chumbanii,nabakia tu kumtizama Jiwe na fisiem yake wanavyoBore.Huwa sipendi ugomvi kipindi cha kukaribia kulala nisije ibua mambo mengine inabidi tu nitulie😡😡😡
Tena gunia tupu lisilo la kitu ndaniKuangalia TBC kwenye kisimbusi cha DSTV ni sawa na kubeba gunia moja kwenye semi trailer.
Letrisha. Kule bolywood kuwaangalia inabitaji uvumilivu.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
ndo pekee imebaki hutaki labda ukapambane na Bollywood
Ugomvi wa usiku sio mzuri mkuu!😀😀😀Unaogopa atakunyima unyumba haha
Sasa mama mimi sijui kingereza. Nilokuwa naangalie kwechw kitaani tve. Na clouds itv habari.Dstv kuna channel nyingi mno bora kuwaangalia wanaijeria kupitia channel 156,157 etc au maisha kuliko tbc
Bora 136,210 etc dstv ina options nyingi
Nitakutafuta unishauri channel nzuri ya kuangalia![]()
![]()
![]()
![]()
kule sasa ndo hatari zaidi
teh, teh, teh, teh, teheeee!!! umeuwa bendi.Heri kuangalia ngono utapata ujuzi kuliko kuangalia Chanel ya kijani
Hahahaaaaa nitafute tu ila muda si mrefu mi nahamia baby channelNitakutafuta unishauri channel nzuri ya kuangalia