kajojo
JF-Expert Member
- Jun 9, 2012
- 2,946
- 5,487
Same hereMie kifurushi cha Azam kikiishaga muda wake ikabaki TBC tu hua nahesabiaga hakuna kilichobaki,
Nawekaga hata Channel # 100 ya Azam ambayo huonyesha matangazo yao ya Vipindi mbalimbali

Wamekaa tuliiii akina cocohel et el utadhani hawana ving'amuziNaona hii issue hata buku saba Fc imewatafuna.. Na bado..
Tako lote l kwako?
Sebule i ni tbc 1 tu. Dadeki zao.Wamekaa tuliiii akina cocohel et el utadhani hawana ving'amuzi
Sasa si zimeshatolewa mkuu,kuna local channel za kuangalia lakini kwa TBC inataka moyo,ingawa tumetofautiana....lakini ni Mara chache kuona mtu Mwenye DSTV kulalamika kuhusu local channels labda alalamike mtu Wa Startimes au azam TVNijaze bei gani niangalie mpira?
Mimi nazipata SS3, na Mazimo zote mbili.
ePl naipata game zote.
Kwa hio tusiwe tunaangalia local channel?
Tena wengine wana maving'amuzi yote yaliyopo TZ, sebureni kwao kumekuwa TRANSMISSION ROOM kwa makebo waliyonayo na madishi kibao kwenye kenops zaoSebule i ni tbc 1 tu. Dadeki zao.
Afu wengi wao ndio wana ma datv wanalipia kifuruahi cha laki na 95
Nimekukumbuka tuu Love bVipi?
Kungekuwa na jinsi ya kuondoa hiyo channel ningeifuta kabisaSijawahi na sitawahi kutazama TBC baada ya kuzima local tv zingine.
Sasa natazama Citizen TV na KBC zote za Kenya.
Mie natumia star times ila hazioneshi na nimelipiaSio hivyo mkuu
Azam,dstv hawana haki ya kuonyesha local channels
Startumes ndiye aliyepata tender hio
Ili Azam na dstv waonyeshe local channels inabidi bunge irekebishe sheria zake
Sijachangia koteWanatengeneza KIKI ili Kiongozi wa juu aingilie kati ionekane anawajali wananchi




. Ila pointi yako imegonga kunako ubongo.Hahaaaaaaaaaaaaaaa pole sanaTBC lipo aisee Mkuu the butcher,
Ikifika saa mbili usiku mke wangu analifungulia TBC taarifa ya habari huku katenga chakula sitting room nashindwa hata kwenda kulia chakula chumbanii,nabakia tu kumtizama Jiwe na fisiem yake wanavyoBore.Huwa sipendi ugomvi kipindi cha kukaribia kulala nisije ibua mambo mengine inabidi tu nitulie😡😡😡
ngoja ninyamaze.Mbona jiwe anaangalia?