ndiyo ajue hukumu ya dhambi ni mauti, alizidi kujipendekezaHana hamu na CCM tena.
Itakuwa wameshaielewana .Baada ya kufungiwa na TCRA kwa ukwepaji wa kodi sasa vyombo vya utanfangazaji vya Sahara media (tv, Radio free Africa na KISS FM RADIO) Usiku huu vimerudi angani mubashahara!!
Ni Imani yangu watakuwa wameweka Sawa mambo!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Je wamelipa au ndo yale mambo ya msamaha?
mkolomije kawaombea msamaha si wajua pawa la bashitlleJe wamelipa au ndo yale mambo ya msamaha?
Mkulu alimwahidi Diallo kuwa atamkumbuka kwa mchango wake wakati wa kampeni.Je wamelipa au ndo yale mambo ya msamaha?