Muasisi awashukia 'wabaya' wa CHADEMA

Muasisi awashukia 'wabaya' wa CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Mzee Mtei ni muasisi wa Chadema.Kama muasisi ana haki ya kutoa ushauri juu ya nani aongoze chama na nani asiongoze!Nadhani mmesahau kuwa muasisi wa CCM ,the late J.K.Nyerere aliwahi kumuondoa J.Kikwete kwenye kinyang'anyiro cha urais dhidi ya B.Mkapa akisema 'hajakomaa'!Na mpaka leo hii wanaCCM wanawekewa CD za sauti yake waisikilize ushauri wake kabla ya kufanyika uchaguzi wa viongozi wao!

Labda tupeni tofauti ya uasisi wa J.K.Nyerere na ule wa E.Mtei.

MAGAMBA MNA WIVU WA KIKE!
 
huu ni mtazamo tuh,

kama wewe ni mwanachama au sio waelekeze wengine walio ndani ya CDM kwa kuonyesha ni wapi katiba ya chama chao imevunjwa kwenye hili la ukanda na udini ili watu waache hisia wafuate uhalisia.

usiishie hapo shauri pia nafasi ya uongozi yeyote asigombee Mchagga wala Mkuria,na hata akijitokeza wa kabila jingine asiye na vigezo apitishwe na asipojitokeza wa kabila jingine nafasi iwe wazi na akijitokeza mamluki kutoka CCM apitishwe tuu kwa hofu ya kuonekana wabaguzi
 
THE BIG SHOW

Ni kama unaona kitu vile lakini unajivika miwani ya mbao kuzuia taswira.

Hayo maneno yako(bolded in red) unakubali kuwa mifumo hiyo inafanana(kwa maono yako) na pia unakubali mfumo huo unazuia vibaraka na tena unakiri mwenyewe kuwa ni mfumo mzuri.

Swali: Kama umekubaliana na hayo yote kwa nini iwe ni sawa(mzuri) kwa Ayatollah wa Iran lakini tena si sawa kwa Mtei wa CHADEMA?


Shukrani sana Mkuu,

Swali lako zuri,na naomba nikujibu kama ifauatavyo...

MFUMO ULE NI MZURI NA UNAWAFAA WAIRAN NA AYATOLLAH ALKHEMENEI KUEPUKA KUINGIZA MAMLUKI WA KIMAREKANI NA PIA NAKIRI MFUMO ULE NI MZURI KWA CHADEMA KUUTUMIA KUEPUKA KUINGIZA MAMLUKI KUTOKA CCM NA KADHALIKA,

LAKINI CHADEMA ENDAPO IKICHUKUA NCHI NA MWENYE SAUTI AKAWA AYATOLLAH - MTEI,NCHI HII ITAONGOZWA KWA KIAS KIKUBWA NA USHAWISH KUTOKA KWAKE NA KANDA ILE,

KWAIYO UTAKUJA KUONA KWAMBA MFUMO HUO NI IMARA KWA CHADEMA NA UNAWAFAA,LAKINI KWA UPANDE WA PILI MFUMO ULE NI M'BOVU KWA SUALA LA KITAIFA KWA UJUMLA,

NADHAN UTAKUWA UMENIELEWA,

HIMA SASA TUUNGANE KUMSHINIKIZA AYATOLLAH MTEI,AONDOKE NA KUKIACHA HURU CHAMA CHA CHADEMA KWA WANANCHI...
 
Mzee Mtei ni muasisi wa Chadema.Kama muasisi ana haki ya kutoa ushauri juu ya nani aongoze chama na nani asiongoze!Nadhani mmesahau kuwa muasisi wa CCM ,the late J.K.Nyerere aliwahi kumuondoa J.Kikwete kwenye kinyang'anyiro cha urais dhidi ya B.Mkapa akisema 'hajakomaa'!Na mpaka leo hii wanaCCM wanawekewa CD za sauti yake waisikilize ushauri wake kabla ya kufanyika uchaguzi wa viongozi wao!

Labda tupeni tofauti ya uasisi wa J.K.Nyerere na ule wa E.Mtei.

MAGAMBA MNA WIVU WA KIKE!


Siyo kweli,

Muasisi wa CCM siyo nyerere,walikuwa wengi,ila nyerere alichaguliwa kama kiunganish wa taifa,

Hata hivyo nyerere hakuongoza chama kwa mfumo ukanda na ukabila
 
Hivi mnajua siku ya kwanza kabisa mtu na mkwewe wanapanga kuanzisha chama walikuwa na vision gani? Mkijua hilo ndio mtajua mko sahihi ama lah. Ukute aidia ilianzia sebuleni, tena nyumbani kabisa wakiwa wanapata kahawa, wakapanga na mission ya kusaidia kufanikisha vision yao. Leo vyasaka mnataka nini??? Kiruuuu

Labda nyie hii inahusu mapinduzi ya kuing'oa shishiemu, wakati wenzenu labda ni family matter, tena yenye sentimemtal values za hali ya juu, na labda warithi ni wajukuu. Haka kama sio na uhusiano vile, lazima awe anayeweza kushikiwa rimoti bila chenga. Wao watashika rimoti, yeye ni actons tu hii haaa puuf puuf, dishwaa dishwaaa.

Raha ya mdumangu uuanzie mwanzo, ukikubeba juu kwa juu unapotea wewe.

Kongosho nimekusoma sana. Yawezekana watu wanacheza ngoma isiyo wahusu.
 
Last edited by a moderator:
image.jpg image.jpg image.jpg Should I say more!
 
Hivi mnajua siku ya kwanza kabisa mtu na mkwewe wanapanga kuanzisha chama walikuwa na vision gani? Mkijua hilo ndio mtajua mko sahihi ama lah. Ukute aidia ilianzia sebuleni, tena nyumbani kabisa wakiwa wanapata kahawa, wakapanga na mission ya kusaidia kufanikisha vision yao. Leo vyasaka mnataka nini??? Kiruuuu

Labda nyie hii inahusu mapinduzi ya kuing'oa shishiemu, wakati wenzenu labda ni family matter, tena yenye sentimemtal values za hali ya juu, na labda warithi ni wajukuu. Haka kama sio na uhusiano vile, lazima awe anayeweza kushikiwa rimoti bila chenga. Wao watashika rimoti, yeye ni actons tu hii haaa puuf puuf, dishwaa dishwaaa.

Raha ya mdumangu uuanzie mwanzo, ukikubeba juu kwa juu unapotea wewe.

mbona hii ipo hata kwenu hujui husen mwiny anandoto ya kua rais au huku msikia januar makamba na ndoto ya urais au hufaham serikal ijayo riz moko anakamata uwazir hahahaha nyan haon kundule bwana anaona la mwenzake
 
image.jpg image.jpg Hawa Wazee wanamatumaini makubwa sana na Chadema , tusifanye Propaganda zenye kufifisha ndogo za Wazee hawa.
 
mbona hii ipo hata kwenu hujui husen mwiny anandoto ya kua rais au huku msikia januar makamba na ndoto ya urais au hufaham serikal ijayo riz moko anakamata uwazir hahahaha nyan haon kundule bwana anaona la mwenzake


Tuizungumzie Chadema kama M'BADALA WA CCM,,,
Ritz
 
Last edited by a moderator:
Sitashangaa usiponielewa lakini nyinyi ndio maadui halisi wa Chadema!


Tusiogope matusi yao,

SISI TUSIMAME KWENYE HOJA NA KUWAAMBIA UKWELI,LABDA WANAWEZA WAKAFUNGUKIWA NA UELEWA NA WAO
 
Shukrani sana Mkuu,

Swali lako zuri,na naomba nikujibu kama ifauatavyo...

MFUMO ULE NI MZURI NA UNAWAFAA WAIRAN NA AYATOLLAH ALKHEMENEI KUEPUKA KUINGIZA MAMLUKI WA KIMAREKANI NA PIA NAKIRI MFUMO ULE NI MZURI KWA CHADEMA KUUTUMIA KUEPUKA KUINGIZA MAMLUKI KUTOKA CCM NA KADHALIKA,

LAKINI CHADEMA ENDAPO IKICHUKUA NCHI NA MWENYE SAUTI AKAWA AYATOLLAH - MTEI,NCHI HII ITAONGOZWA KWA KIAS KIKUBWA NA USHAWISH KUTOKA KWAKE NA KANDA ILE,

KWAIYO UTAKUJA KUONA KWAMBA MFUMO HUO NI IMARA KWA CHADEMA NA UNAWAFAA,LAKINI KWA UPANDE WA PILI MFUMO ULE NI M'BOVU KWA SUALA LA KITAIFA KWA UJUMLA,

NADHAN UTAKUWA UMENIELEWA,

HIMA SASA TUUNGANE KUMSHINIKIZA AYATOLLAH MTEI,AONDOKE NA KUKIACHA HURU CHAMA CHA CHADEMA KWA WANANCHI...

Nimekuelewa THE BIG SHOW

Lakini sasa uelewa wangu katika maeneo hapo juu ni hivi, Ayatollah anaushawishi kwa nchi na Mtei anaushawishi kwa chama(kilicho nje ya dola). Sawa hiyo ni current position. Twende mbali kidogo sasa, huoni kuwa Ayatollah analinda usalama na msimamo wa mawazo yale ya mapinduzi(islamic revolution) kwa mustakabali wa taifa lake na Mtei analinda mawazo ya uasisi na usalama wa CHADEMA kwa mustakabali wa chama chake?

Unaukumbuka ukali na interference za Julius Nyerere kwa chama chake na serikali?
 
Last edited by a moderator:
Iran utaratibu ule unawasaidia kama nchi kuepuka kuingiza nchi kwenye umamluki wa marekani,ndio kwa maana ayatollah amepewa nafasi na sauti ya kusema,

Pia CHADEMA UTARATIBU HUU UNAWASAIDIA SANA,KWA MZEE MTEI KUWA NA USHAWISH NA NGUVU NDAN YA CHAMA SIO MBYA,INAWASAIDIA KUEPUKA CHAMA HIKO KUINGIZA MAMLUKI WA MAFISADI WA CCM,

JE,TUKIJAALIA HII NCHI WAKAICHUKUA CHADEMA,HATUONI KAMA TUTAKUWA TUMEWEKA REHANI KUWA MAAMUZI YATAKUWA YANATOKEA UPANDE FLANI,NA SIO MAAMUZ YA KITAIFA??

MZEE MTEI AKAE KANDO KABISA NA SIASA ZA CHADEMA ILI WATANZANIA WAKIPE IMAN YA UHAKIKA CHAMA HIKO

THE BIG SHOW.
Nimesoma maelezo yako, ni kweli chama kinabidi kiwe cha WANANCHI na sio baadhi ya viongozi, lakini ukitaka mzee Mtei asitoe mawazo yake huoni kama utakua pia unamnyima hiyo demokrasia unayotaka awenayo yeye kama mwanachadema na mwananchi wa Tz?

Sidhani kama mzee Mtei ni sawa na Ayatolla, mzee Mtei yeye hatoi maamuzi ila anaombwa ushauri kama jinsi ambavyo CCM inaomba ushauri kwa viongozi wake wa zamani. Mzee Mtei kukubali maamuzi ya Baraza lililowavua uongozi Zitto na Dr Mkumbo nako pia kuna mfanya awe mtiifu kwa maamuzi ya Chama kama walivyofanya wengine Dar,Mbeya n.k kupongeza maamuzi ya chama.Sasa mbona unamlaumu mzee Mtei pekee ukaacha kuwalaumu viongozi wa Nyanda za juu Kusini kubariki maamuzi ya Chama, je yeye Mtei kama alivyo mwanachama mwingine haruhusiwi kuwa na fikra zake?? au awe mnafiki??

Naamini mzee Mtei kama mwasisi angependa siku moja aone chama kikishika madaraka angali hai, labda siku zake zikiisha basi huko mbele za haki apate kuwahadithia (kama pia wanaongea kama sisi) waasisi wenzeke kuwa ndoto zao zimetimia. Naamini kwa sababu hiyo hawezi kukaa kimya mambo yakienda vibaya kwa kuhofia kuitwa Mkanda, Ayatollah au jina lolote lile. Anataka aione ndoto yake ikitimia.

Naamini kilichokupeleka kuandika uzi huu ni maamuzi ya kumvua Zitto na Dr Mkumbo uongozi, ukihofia kuwa labda propaganda za ccm za ukanda zinaukweli. Lakini nenda nyuma na rejea kumbukumbu kwa uaminifu wa hali ya juu na ujiulize maswali, je ni mara ngapi Zitto amekuwa akihusishwa na CCM?? Je Mwigulu aliyesema hadharani kuwa adui yake ni Shetani na CHADEMA kwanini amlilie Zitto kusimamishwa uongozi???? Je alivyosema kiongozi wa juu wa Chadema yupo tayari kutoa ushahidi wa video ya ugaidi wa Lwakarate, na Zitto kutoka hadharani akitaka Lwakatare ajiuzulu nafasi yake Chamani inakupa picha gani????

Labda yawezekana Zitto hana usaliti wowote ndani ya chama lakini wenzake wanamuona kama anatumika na adui yao mkuu CCM,sasa katika mazingira hayo bado anahitajika kufanya kazi na watu wasio na imani naye?? ni ama wao wajitoe au yeye ajitoe ili pasiwepo na kutoaminiana kazini/ofisini. Rejea msemo wa Julius Kaisari (Julius Caesar) "Caesar's wife must be above suspicion" kwa nini wewe kiongozi wa ngazi ya juu utuhumiwe kusaliti chama?? hata kama sio kweli lakini ulipaswa uwe juu ya tuhuma hizi.

THE BIG SHOW mzee Mtei kama Mtanzania na mwanachadema mwingine anayo haki ya kusema, sio lazima kila asemalo liwe hivyo au sahihi lakini kumzuia kusema kwa kuhofia kuitwa Wakanda,Wakabila,Wadini,Wamangimeza n.k n.k pia ni uoga na unafiki.

"CCM lazima itoke magogoni ili kunusuru Tanzania yetu leo na mbeleni" by mimi mwenyewe
 
Big Show,

Kama Chadema wakiingia Serikalini, Mtei anunue kabisa Jeneza kama ataanza kuingilia hadi huko. Nyerere alimuweka Mkapa madarakani na akaanza kuingilia Serikali yake, kilichompata muulize Mwana familia ya Nyerere.

Kumbuka kuwa Rais akishapatikana, kwa katiba ya nchi hii, hata Mtei itabidi akae mbali maana Rais anakuwa na Madaraka makubwa sana. Vyombo vyote vya usalama viko chini yake pamoja na MAJAMBAZI yanayouwa Wanasiasa na Wapinzani wao. Ningelikuwa ndugu na Mzee Mtei, basi ningelimuomba siku Chadema wakitoa RAIS, yeye atangaze kuwa kamaliza KAZI YAKE na ananawa mikono kwa kurudisha Kadi ya Chadema na kukaa mbali. Sanasana Chadema wanaweza siku moja wakamjengea Mnara wa kumbukumbu kwa kumuenzi. Ila narudia tena, akae mbali na Rais atakayetoka Chadema, hata kama atakuwa Mwanaye. SIASA mchezo mchafu ati.
 
Siyo kweli,

Muasisi wa CCM siyo nyerere,walikuwa wengi,ila nyerere alichaguliwa kama kiunganish wa taifa,

Hata hivyo nyerere hakuongoza chama kwa mfumo ukanda na ukabila

Nitajie waasisi wengine wa CCM nami nitakutajia waasisi wengine wa CDM!Ukweli unabaki palepale kuwa hao ndio waasisi wakuu wa vyama hivyo!

Hoja zenu za ukanda na ukabila zinatolewa pale mnapoanza kutapatapa tu!Hebu tusomee sehemu yoyote kwenye ilani ya chadema penye harufu ya ubaguzi wa kikanda au kikabila!Tusomee mahali popote pale panapoongelea ubaguzi wa kidini.

Najua hukutegemea niutaje ubaguzi wa kidini,kwa sababu unajua kwenye ilani ya CCM ulipaliliwa wazi!Je tuseme CCM ni chama cha kidini kwa kuwa kilikumbatia kuisadia dini moja? wakati hii ni secular state?
Toa uthibitisho kuwa CDM ni chama cha kikabila kama CCM ilivyo chama cha kidini,la sivyo ....HUNA HOJA!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom