Muasisi awashukia 'wabaya' wa CHADEMA

Muasisi awashukia 'wabaya' wa CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Huyu mzee ni problem kwa taifa.

Alikataa kupigania Uhuru halafu anataka kuhatarisha umoja wetu wa kitaifa kwa kauli zake za kibaguzi.

Mtei ni muasisi wa siasa za kilaghai...

Alinishangaza sana alipokuja na issue ya udini kwenye wale wajumbe,Huyu mzee huyu ni hatari.
 
Mzee mtei watu wamesha sema hatoki mtu hapa kwa uzushi.

Yani mkawadanganya waandishi kwa kuto ongea yaliyo jadiliwa kwenye mkutano.

Mtu amewaandikia ilani ya chama bado mna muita msaliti?huyo huyo akamuandikia hotuba dr slaa.

Sasa kwanini hizo kazi hamkumpa Godbless J Lema?na badala yake mka mpa kazi ya kurushia watu matofali?
 
Last edited by a moderator:
Huyu mzee ni problem kwa taifa.

Alikataa kupigania Uhuru halafu anataka kuhatarisha umoja wetu wa kitaifa kwa kauli zake za kibaguzi.

Mtei ni muasisi wa siasa za kilaghai...

Poleni sana magamba

Nyundo na pigo mlilolipata safari hiii ni "heavy" sana
 
Imekula kwake,kwa ufupi amebug sana,

Kama yeye alidhani chama hiko kitaendelea kuwa mikonon mwake milele atambue sasa ndoto zake hizo zimefeli,

Chama kimeshakuwa cha kitaifa na akiendeleza mambo yake ya ukanda udini na ukabila kitamfia mikononi mwake,

AKAE ATULIE KABISA HUYO MZEE,TENA ASHIKE ADABU ZAKE

hahhahaha yaani wewe ni bonge la debe
 
Mtu amewaandikia ilani ya chama bado mna muita msaliti?huyo huyo akamuandikia hotuba dr slaa

Hayo unayo ongea mkuu ni MADUDU mno!

Kama kaandika manifesto ya CHADEMA ndiyo kibali cha Dr Mkumbo kufanya lolote lile hata la kuvunja kanuni na taratibu za chama?
 
Hana haja ya kuungwa mkono na wanachama wa Magamba, sisi Chadema twatosha.

Tatizo sio kumuunga mkono mtei.
Nitamuunga mtu anayeheshimu kitengo cha mwingine.
Kazi za mwenyekiti afanye mhusika.
Kazi za manunuzi afanye mhusika.
 
Huyu mzee bora auguwe Alzheimer's anakwamisha Demokrasia ndani ya chama
 
Safi sana Mzee wetu.....Usaliti hauna nafasi Chadema....Ukibainika tuu imekula kwako...
 
Mtei ananvuto kwa nani mdini huyu yeye ndio msaliti tena sio kwa cdm tu.hata kwa watz.aliwahi kumsaliti bob ajitowe kugombea urais kwa tiket ya cdm ili wamsaport mrema mchaga na mkiristo mwenzie. Na nwaka zzk alipo taka kugombea uwenyekiti wa cdm akaona mkewe makengeza atapoteza nafasi akifanya kila aina ya usaliti kwa zzk ili tu mkwe wake apite na ashinde kirahisi.. mtei ni mnafik kuliko wanafik..
 
Tungeshangaa usingeunga mkono hilo, haya nenda kamshauri mwanao amsamehe mbowe kama ya kupatanisha wanao yamekushinda ya chama hutayaweza.
 
Imekula kwake,kwa ufupi amebug sana,

Kama yeye alidhani chama hiko kitaendelea kuwa mikonon mwake milele atambue sasa ndoto zake hizo zimefeli,

Chama kimeshakuwa cha kitaifa na akiendeleza mambo yake ya ukanda udini na ukabila kitamfia mikononi mwake,

AKAE ATULIE KABISA HUYO MZEE,TENA ASHIKE ADABU ZAKE

TENA ASHIKE ADABU ZAKE ha ha haaaa nimeipenda huyo mkuu.
 
Ni vema tukajadili uzi husika kuliko kutoa personal attacks,mimi kama junior lawyer sina shaka na uwezo wa ndugu msomi mwenzangu lissu. Lazima tufahamu ya kwamba kila chama kina katiba/sheria na malengo yake kisiasa.
 
Haka kazeee ndo kale kalikokataaa pigania uhuru wa nchi na ndo kale kale kalikoliiimgizia taifa umaskin wa kutupwa na baadae kakaacha kaz kisa pesa za kulalipa nchi haikuwez kumudu,leo hiii et nako kanachama kanakisimamia kichukue nchi,over mu dead body hakatokuja kuona mtu kwa bendera ya chama chake akigusa magogon
 
Naye kama mwananchi na mwanachama wa CHADEMA ana haki na uhuru kutoa maoni yake.
Ila kwa baadhi ya watu (hasa maadui wa CHADEMA) maoni haya ya kawaida ya Mzee Mtei yanapotoshwa na kuchukuliwa kama ni amri au sheria vile.

Ukweli ni kuwa CHADEMA kama chama na taasisi imejipambanua kuwa iko vere siriaz ktk utendaji na uendeshaji wa siasa zake.
 
Huyu mzee ni problem kwa taifa.

Alikataa kupigania Uhuru halafu anataka kuhatarisha umoja wetu wa kitaifa kwa kauli zake za kibaguzi.

Mtei ni muasisi wa siasa za kilaghai...

Alikataa kupigania Uhuru na Mwalimu akamteua Gavana wa BOT. Tatizo liko wapi?

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom