Muasisi awashukia 'wabaya' wa CHADEMA

Muasisi awashukia 'wabaya' wa CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Haya Zito kesha kataa kuwa haujui huo waraka na ukweli aliwashinda kwa hoja za awali ndio mkakurupuka na waraka na kumhusisha mkidai ni MM mlisahau kuweka C mwanzo ,na kwa kutumia waraka huo ndio mkatimiza lengo lenu ,yule Lissu nilikuwa nikimuona wa maana sana lakini kwa jinsi alivyohukumu amepoteza sifa aliyokuwa nayo ,inawezekana amekubali kutumika au ndio yupo kundi flani ,eti nae wakili !
 
Asante Mzee taifa la Tz limeshaangamia kabisa
Ufisadi unatisha kila kona
Huyu mkoloni mweusi ametunyonya hadi mwisho
wananchi wa nchi hii hawafaidi matunda tuliojaliwa na mwenyezi Mungu katika nchi hii
Mabilion ya pesa zimefichwa Swiss, tembo wanawawa, madawa ya kulevya, nchi imewekwa rehani huko China
Wachina wanafanya hata biashara za umachinga wananchi wamebaki wazururaji
Watz tuamke tujitambue la sivyo tumekwisha
Maisha yamepanda balaa huduma mbovu, wao wanaenda kutibiwa nje sisi tunakufaAmk
eni watz njooni tuungane tupate uhuru wetu
 
Imekula kwake,kwa ufupi amebug sana,

Kama yeye alidhani chama hiko kitaendelea kuwa mikonon mwake milele atambue sasa ndoto zake hizo zimefeli,

Chama kimeshakuwa cha kitaifa na akiendeleza mambo yake ya ukanda udini na ukabila kitamfia mikononi mwake,

AKAE ATULIE KABISA HUYO MZEE,TENA ASHIKE ADABU ZAKE
 
Haya Zito kesha kataa kuwa haujui huo waraka na ukweli aliwashinda kwa hoja za awali ndio mkakurupuka na waraka na kumhusisha mkidai ni MM mlisahau kuweka C mwanzo ,na kwa kutumia waraka huo ndio mkatimiza lengo lenu ,yule Lissu nilikuwa nikimuona wa maana sana lakini kwa jinsi alivyohukumu amepoteza sifa aliyokuwa nayo ,inawezekana amekubali kutumika au ndio yupo kundi flani ,eti nae wakili !


Waachie wenye mambo yao .Chadema wameamua wewe unatakaje ? Chapter closed hata ukilia hapa helps nothing .Zitto ni mwanachadema fullstop na haya yataisha .
 
Haya Zito kesha kataa kuwa haujui huo waraka na ukweli aliwashinda kwa hoja za awali ndio mkakurupuka na waraka na kumhusisha mkidai ni MM mlisahau kuweka C mwanzo ,na kwa kutumia waraka huo ndio mkatimiza lengo lenu ,yule Lissu nilikuwa nikimuona wa maana sana lakini kwa jinsi alivyohukumu amepoteza sifa aliyokuwa nayo ,inawezekana amekubali kutumika au ndio yupo kundi flani ,eti nae wakili !

lISU NAE SI WALE WALE??ANABEMBELZA UBUNGE NA KUCHUMIA TUMBO,WE SI UNAONA AMETEULIWA KUWA MWANASHERIA MKUU WA CHAMA??WE UNADHAN KAZI ILE ATAIFANYA BURE??SI ATALIPWA PIA??

HUWEZ KUMKUTA MTU SMART KAMA MABERE MARANDO ANAKUBALI KUWAANGUKIA ANGUKIA HAWA AKILI NDOGO KAMA MBOWE NA SLAA,HATA SIKU MOJA
 
Imekula kwake,kwa ufupi amebug sana,

Kama yeye alidhani chama hiko kitaendelea kuwa mikonon mwake milele atambue sasa ndoto zake hizo zimefeli,

Chama kimeshakuwa cha kitaifa na akiendeleza mambo yake ya ukanda udini na ukabila kitamfia mikononi mwake,

AKAE ATULIE KABISA HUYO MZEE,TENA ASHIKE ADABU ZAKE
Kuwa makini na THE BIG SHOW (Arap Sang wa Bongo) anapalilia mbegu za ukanda, udini na ukabila...na hii ni baada ya azma yake ya kupozwa masuala gesi isitoke Mtwara kutimia.

Apigwe vita kwa nguvu zote.
 
Huyu mzee ni problem kwa taifa.

Alikataa kupigania Uhuru halafu anataka kuhatarisha umoja wetu wa kitaifa kwa kauli zake za kibaguzi.

Mtei ni muasisi wa siasa za kilaghai...

Mkuu Mtei hamfikii Nyerere kwa unafiki tuwe wakweli japo inauma
 
Moja kati ya madai aliyoyatoa mheshimiwa aliyekuwa makamu wa mwenyekiti ni kwamba mzee mtei anawachagulia viongozi hili ni suala serious kuzungumzwa na kiongozi mkubwa kama huyu kama lingezungumzwa mitaani ingekuwa hakuna haja ya kujibu lakini majibu yako yanaitajika katika hili.

kuhusiana na sababu zingine alizozitoa kuhusiana na kuhujumu wagombea na watu kushindwa kurudisha kadi ni suala la kiutendaji zaidi kuliko hujuma kwani alilalamikiwa na viongozi wenzake huko Rukwa na siyo makao makuu kwahiyo kuja kuwalalamikia wenzake makao makuu naona kama ilikuwa ni excuse zaidi ya kutaka anayoyataka mwenyewe labda kwa kutumiwa au sababu binafsi.

binafsi naamini aliyekuwa makamu wa mwenyekiti alikuwa na matatizo ya utendaji kwani sijawahi kusikia akiongea bungeni wala kusikia kaitisha mkutano wa chama mahala popote kujaribu kujenga chama kwahiyo ushauri wangu kwa chadema muwe makini katika uteuzi wenu mjitahidi kutumia record ya mtu ktk kukitumikia chama na siyo majina yao mtu kama alikuwa dormant wakati akiwa ni mwananchama wa kawaida msitegemee akichaguliwa ndio ataanza kuifanya kazi huko ni kujidanganya au mtafanya makosa kama haya ya arfi.
 
Huyu mzee ni problem kwa taifa.

Alikataa kupigania Uhuru halafu anataka kuhatarisha umoja wetu wa kitaifa kwa kauli zake za kibaguzi.

Mtei ni muasisi wa siasa za kilaghai...

mipango yenu imeshindikana hamna lolote
 
Wewejibu hoja sio unaleta blabla ndiyo akili za kibavicha za kushikiwa namtei na slaa na mbowe
 
huna tofauti na debe tubu

lISU NAE SI WALE WALE??ANABEMBELZA UBUNGE NA KUCHUMIA TUMBO,WE SI UNAONA AMETEULIWA KUWA MWANASHERIA MKUU WA CHAMA??WE UNADHAN KAZI ILE ATAIFANYA BURE??SI ATALIPWA PIA??

HUWEZ KUMKUTA MTU SMART KAMA MABERE MARANDO ANAKUBALI KUWAANGUKIA ANGUKIA HAWA AKILI NDOGO KAMA MBOWE NA SLAA,HATA SIKU MOJA
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom