Mzee Mtei bana.
Imekula kwake,kwa ufupi amebug sana,
Kama yeye alidhani chama hiko kitaendelea kuwa mikonon mwake milele atambue sasa ndoto zake hizo zimefeli,
Chama kimeshakuwa cha kitaifa na akiendeleza mambo yake ya ukanda udini na ukabila kitamfia mikononi mwake,
AKAE ATULIE KABISA HUYO MZEE,TENA ASHIKE ADABU ZAKE
Huyu mzee ni problem kwa taifa.
Alikataa kupigania Uhuru halafu anataka kuhatarisha umoja wetu wa kitaifa kwa kauli zake za kibaguzi.
Mtei ni muasisi wa siasa za kilaghai...
Akili ndogo hujadili watu, tehe, tehe, tehe!
Mtei should stay out of chadema politics for now he is too old and not fit for the purpose
Unataka kujifanya wewe unamfahamu zaidi Mtei kuliko Nyerere alivyomfahamu hadi akaridhia awe gavana wa BOT!?? au ndo vile yakiwakwama mnaharishia popote.!?
Mwasisi wa Chadema Mzee Edwin Mtei ameunga mkono na kupongeza maamuzi ya Kamati Kuu Chadema kuwavua nafasi za uongozi Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo.
Akizungumza nyumbani kwake Arusha Mtei amesema kamwe Chadema haitavumilia wasaliti wanaokula njama kurudisha nyuma harakati zake.
Mwasisi huyo mwenye mvuto na heshima kubwa ndani ya Chadema amesema kamwe hawezi kupingana na maamuzi ya Kamati Kuu na kutoa wito chama kuendelea kuwafuatilia na kuwatimua mara moja wasaliti kila wanapobainika.
Source:Mwananchi.
Mwasisi wa Chadema Mzee Edwin Mtei ameunga mkono na kupongeza maamuzi ya Kamati Kuu Chadema kuwavua nafasi za uongozi Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo.
Akizungumza nyumbani kwake Arusha Mtei amesema kamwe Chadema haitavumilia wasaliti wanaokula njama kurudisha nyuma harakati zake.
Mwasisi huyo mwenye mvuto na heshima kubwa ndani ya Chadema amesema kamwe hawezi kupingana na maamuzi ya Kamati Kuu na kutoa wito chama kuendelea kuwafuatilia na kuwatimua mara moja wasaliti kila wanapobainika.
Source:Mwananchi.
Chadema sasa ni chama cha kikomonisti.Mzee ana fikra za kikoloni...
Wewe jikite kwenye hoja za Bavicha historia ya huijui.Unataka kujifanya wewe unamfahamu zaidi Mtei kuliko Nyerere alivyomfahamu hadi akaridhia awe gavana wa BOT!?? au ndo vile yakiwakwama mnaharishia popote.!?
Chadema sasa ni chama cha kikomonisti.