JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,308
- 5,460
Muandaaji wa mashindano ya urembo Nchini Rwanda ambaye pia ni mwanamuziki wa zamani anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za unyanyasaji wa kingono.
Dieudonne Ishimwe ‘Prince Kid’ alishikiliwa na Idara ya Upelelezi ya Rwanda (RIB), Aprili 26, 2022.
Ofisa Msemaji wa RIB, Thierry Murangira amesema Prince Kid, 36, anathuhumiwa kutenda makosa dhidi ya washindani wa zamani wa Miss Rwanda kwa nyakati tofauti na atafikishwa Mahakamani baada ya muda.
Mwandaaji huyo ni mkuu wa Kampuni ya Rwanda Inspiration Backup ambayo huandaa mashindano ya urembo ya kila mwaka ya Miss Rwanda tangu mwaka 2014.
Source: The New Times
===
Rwanda: Prince Kid Arrested Over Sexual Abuse
Dieudonné Ishimwe, CEO of Rwanda Inspiration Backup that organises Miss Rwanda beauty pageant, has been arrested over sexual abuse towards the contestants on different occasions.
Rwanda Investigation Bureau spokesperson, Thierry Murangira, confirmed to this publication that Ishimwe, popularly known as Prince Kid, is detained at Remera RIB Station as investigations continue.
"It is true, RIB arrested a man identified as Dieudonne Ishimwe on suspicion of sexual abuse towards the contestants of Miss Rwanda. He is currently being held at RIB Remera station as investigations continue. His file will be handed over to prosecution when investigations are complete," Murangura said.
Prince Kid started organising Miss Rwanda in 2014 through his company, Rwanda Inspiration Backup, that has seen the annual event become one of the most popular in the country.