Muafaka CCM, CHADEMA waiva

Jirani taratibu basi, na ujibu mada kama kiongozi si kishabiki utakuwa huna tofauti na wengineo...btw CDM inawakimbiza kwelikweli, mkilala mkiamka Magwanda, mkinywa chai , mkifuturu Shibuda, mkikesha mkisali Arusha...

Je CCM imeshika hatamu ili kujibishana na chama chenye theluthi tu ya wabunge wote ? Je mmepewa hii dhamana ili mkosoe tu chama cha upinzani ? Nadhani mmepoteza mwelekeo..huu ni wakati wa kufanya mambo mliyoyatolea ahadi au kama msemavyo 'ilani ya uchaguzi' mpaka tufike 2015 mtakuwa mnalalama na CDM mpaka hakuna cha maana tutakachokiona kwenu

Consider yourselves warned!
Eng, nakupongeza kwa kumkumbusha huyu jaama. Yupo Mwandishi anajiita Mwalimu Mkuu wa Watu, yeye ansema kina Sitta na mitume wake na vita hewa ya ufisadi waliiisimamisha nchi kwa miaka mitatu na sasa wanataka kuisimamisha kwa wimbo wa CDM. Namshangaa na yeye anaingia kwenye lama dhidi ya maandamano ya Chadema wakati kilichofanya wao wasitishe kuandamana ni umati kidogo wa watu waliojitokeza Mbeya ukilinganisha na ule wa CDM. Fanyeni kazi ya kujenga nchi mwaka 2015 haupo mbali
 
dr samahani naomba kujua tuanze kuhesabu siku 30 kuanzia lini..je tuanzie 17 au siku mlipofanya mktano arusha au mlipo kutana na pinda kule dodoma..kama ni kutafuta suluhu mmejaribu sana tangu mwaka jana hakuna kinachofanyika cha maana..Arusha tunaka kujua mstakabali wetu kama ni kwenda kufia pale manispaa tuko tayari...

Kama una hamu ya kufa si ujitundike tu??? si lazima uuawe kwa risasi, zina gharama zake.
 
Don't make me lough, Hanger Strike in Tanzania? people will lough at you.
If leaders like Nyerere,Mandela,Gandhi took that route,it would've worked.
We don't have a universally accepted leader in Tanzania, especially nowadays, thats why it sounds funy if Mbowe goes on a hunger strike.I will be like,"So what?..."
 
masikini magwanda, kwa taarifa yako hata kuwaza nitafanya research kwa topic gani sijawaza..... Uongo mwingine uone aibu kuropoka kitu usichokijua pole sana... Kama hii ndo aina ya viongozi basi hatari....any way ndo maaana...
unaonekana umelewa ushabiki! Kumbuka hili ni jukwaa takatifu ambalo watu wanajifunza na kuielimisha jamii kwa mambo mengi, na si propaganda zako za mara reasearch alidesa nk. Kama unauhakika lete ushahidi sisi kama watalaam tutakusaidia.
 
Jirani taratibu basi, na ujibu mada kama kiongozi si kishabiki utakuwa huna tofauti na wengineo...btw CDM inawakimbiza kwelikweli, mkilala mkiamka Magwanda, mkinywa chai , mkifuturu Shibuda, mkikesha mkisali Arusha...

Je CCM imeshika hatamu ili kujibishana na chama chenye theluthi tu ya wabunge wote ? Je mmepewa hii dhamana ili mkosoe tu chama cha upinzani ? Nadhani mmepoteza mwelekeo..huu ni wakati wa kufanya mambo mliyoyatolea ahadi au kama msemavyo 'ilani ya uchaguzi' mpaka tufike 2015 mtakuwa mnalalama na CDM mpaka hakuna cha maana tutakachokiona kwenu

Consider yourselves warned!

..Rudia kuisoma mada alafu jiridhishe kama hapaswi kuizungumzia Arusha na Chadema...
 
Jirani taratibu basi, na ujibu mada kama kiongozi si kishabiki utakuwa huna tofauti na wengineo...btw CDM inawakimbiza kwelikweli, mkilala mkiamka Magwanda, mkinywa chai , mkifuturu Shibuda, mkikesha mkisali Arusha...

Je CCM imeshika hatamu ili kujibishana na chama chenye theluthi tu ya wabunge wote ? Je mmepewa hii dhamana ili mkosoe tu chama cha upinzani ? Nadhani mmepoteza mwelekeo..huu ni wakati wa kufanya mambo mliyoyatolea ahadi au kama msemavyo 'ilani ya uchaguzi' mpaka tufike 2015 mtakuwa mnalalama na CDM mpaka hakuna cha maana tutakachokiona kwenu

Consider yourselves warned!
Asante Nsiande, zamani mimi nilikuwa najiuliza nitakuwaje kiongozi kama Nyerere au Salimu lakini siku hizi naona anybody can be a leader in Tanzania. Nilidhani cheo cha Nape ni kikubwa sana hapa kwetu maana kina influence kwa siasa zetu za kitaifa lakini majibu ya mwenye cheo hayalingani kabisa na cheo chenyewe.
 
Jirani taratibu basi, na ujibu mada kama kiongozi si kishabiki utakuwa huna tofauti na wengineo...btw CDM inawakimbiza kwelikweli, mkilala mkiamka Magwanda, mkinywa chai , mkifuturu Shibuda, mkikesha mkisali Arusha...

Je CCM imeshika hatamu ili kujibishana na chama chenye theluthi tu ya wabunge wote ? Je mmepewa hii dhamana ili mkosoe tu chama cha upinzani ? Nadhani mmepoteza mwelekeo..huu ni wakati wa kufanya mambo mliyoyatolea ahadi au kama msemavyo 'ilani ya uchaguzi' mpaka tufike 2015 mtakuwa mnalalama na CDM mpaka hakuna cha maana tutakachokiona kwenu

Consider yourselves warned!
You guys are just fooling yourselves,it's Dr.Slaa who sounds like Jahazi modern taarab with rhetorical posts as you saw earlier.

Not to ruin your day but who told the other is living in "Ahera?".......c'mon acheni ushabiki,mwageni points kama hamna just go and fix transformers.
Kwanini mnaficha sababu za kutokwenda mahakamani?Who approached the other? It's CDM going to Pinda's house,not CCM going to Mbowe's house.....try not to fool us,you guys suck!!!..I mean,big time.
 

usitake kupoteza mada wewe si wa mwaka jana wewe umejiunga mwaka juzi pale na kupewa kuwa waziri wa ulinzi na hatimae kuiba repoti ya watu , sasa unataka kusema kuwa ujachagua topic wakati wa mwaka jana tu wameshaanza kufanya research na wanaendelea na topic zao na wewe wa mwaka juzi zaidi ya miaka miwili sasa wakati sheria ni baada ya mwaka unafanya research

cha msingi ni kuwaomba watanzania msamaha kwa ufisadi wako wa elimu, na uondoe ripoti uliyoiweka na uanze upya la sivyo tutakutana mahakamani

Hii inahusika vipi na Mgogoro wa Umeya Arusha??please..
 
Asante Nsiande, zamani mimi nilikuwa najiuliza nitakuwaje kiongozi kama Nyerere au Salimu lakini siku hizi naona anybody can be a leader in Tanzania. Nilidhani cheo cha Nape ni kikubwa sana hapa kwetu maana kina influence kwa siasa zetu za kitaifa lakini majibu ya mwenye cheo hayalingani kabisa na cheo chenyewe.
Mkuu mmimi sishangai majibu ila nashangaa mnaoshangaa majibu haya. Kwani yule Wassira si ni mjumbe wa CC na Waziri mwandamizi? Majibu yake yanapishanaje na haya ya sijui Magwanda yamefanyeje na majibu mengine mepesi mepesi. Hata Ndugai hana majibu tofauti na haya atashambulia rangi ya nguo na vitu vidgoidog kama hii
 
kobello

We know you know kingeredha, ila ni ulimbukeni kulazimisha kujadili kwa kingereza wakati wengine wanatumia kiswahili, ina maana kweli hujui kiswahili?
NAJUA!....usimaindi vitu vidogo kama hivi.
 
Mkuu mmimi sishangai majibu ila nashangaa mnaoshangaa majibu haya. Kwani yule Wassira si ni mjumbe wa CC na Waziri mwandamizi? Majibu yake yanapishanaje na haya ya sijui Magwanda yamefanyeje na majibu mengine mepesi mepesi. Hata Ndugai hana majibu tofauti na haya atashambulia rangi ya nguo na vitu vidgoidog kama hii
Kama hili tunaliona ni jambo la kawaida basi Tanzania tumefikia mahali pabaya sana kiongozi anayeropoka na hasa mwenye sauti kubwa ya kubishana na wapinzani anaonekana ndiye anayefaa. Wassira anasikika si kwa uongozi wake mzuri bali ni kwa hasira na ubishi wake juu ya wapinzani, hii ni hatari, tuendako tutakuwa tunachagua viongozi, mawaziri si kwa merits zao bali kwa mwonekano wao kwenye jukwaa la siasa.
 
Kama hili tunaliona ni jambo la kawaida basi Tanzania tumefikia mahali pabaya sana kiongozi anayeropoka na hasa mwenye sauti kubwa ya kubishana na wapinzani anaonekana ndiye anayefaa. Wassira anasikika si kwa uongozi wake mzuri bali ni kwa hasira na ubishi wake juu ya wapinzani, hii ni hatari, tuendako tutakuwa tunachagua viongozi, mawaziri si kwa merits zao bali kwa mwonekano wao kwenye jukwaa la siasa.
Kwani hujasoma post ya kwanza yaDr Slaa?.....si aliandika magamba? reffering to who?...acha ushabiki,tumeshuhudia taarab toka kwa hawa viongozi,ila nadhani dr. katimka!!
 
Kwani hujasoma post ya kwanza yaDr Slaa?.....si aliandika magamba? reffering to who?...acha ushabiki,tumeshuhudia taarab toka kwa hawa viongozi,ila nadhani dr. katimka!!
Mimi siangalii unavyoangalia wewe kuwa karopoka post ya leo au katimka kwani kaondoka kwenye uongozi huo ni mtazamo wa kishabiki zaidi, mimi naangalia zaidi ya posts za leo, naangalia viongozi na uongozi wao na uwezo wa kiongozi kujengea hoja jambo fulani si makosa ya neno moja kama unavyotaka wewe kuangalia. Najaribu kuangalia viongozi na uongozi tulionao sasa na ule wa enzi ya awamu wa kwanza na ya pili.
 
Mimi siangalii unavyoangalia wewe kuwa karopoka post ya leo au katimka kwani kaondoka kwenye uongozi huo ni mtazamo wa kishabiki zaidi, mimi naangalia zaidi ya posts za leo, naangalia viongozi na uongozi wao na uwezo wa kiongozi kujengea hoja jambo fulani si makosa ya neno moja kama unavyotaka wewe kuangalia.
Ooh okay!
 
Thanx kwa ufafanuzi Dr Slaa, Huyu nape hastahili kuwa kiongozi wa ngazi hiyo aliyonayo maana anaweza kuwa na uelewa mdogo au ndio kazidiwa na magamba kiasi cha kushindwa kuelewa uhalisia wa mambo na kukurupuka tu.
 
Thanx kwa ufafanuzi Dr Slaa, Huyu nape hastahili kuwa kiongozi wa ngazi hiyo aliyonayo maana anaweza kuwa na uelewa mdogo au ndio kazidiwa na magamba kiasi cha kushindwa kuelewa uhalisia wa mambo na kukurupuka tu.
Nadhani hapa ushabiki ndio unaotawala,kuhusu mgogoro wa Arusha,CCM bado haijapata official notification,hawajachagua wawakilishi...CDM wamepata na wamechagua wawakilishi.
Mimi kama mwanachama hai wa CCM sikubaliani na azma ya CDM/tENDWA kuhusu haya mazungumzo.Hayana mantiki yoyote kwa CCM as a party.
Mnasema mna timu kali,ndio maana tunawaogopa,...puh-lease!! there are 10 times as many PhDs in CCM than all oppossition parties combined!!
 
Nadhani hapa ushabiki ndio unaotawala,kuhusu mgogoro wa Arusha,CCM bado haijapata official notification,hawajachagua wawakilishi...CDM wamepata na wamechagua wawakilishi.
Mimi kama mwanachama hai wa CCM sikubaliani na azma ya CDM/tENDWA kuhusu haya mazungumzo.Hayana mantiki yoyote kwa CCM as a party.
Mnasema mna timu kali,ndio maana tunawaogopa,...puh-lease!! there are 10 times as many PhDs in CCM than all oppossition parties combined!!
Yes, who are they?
 
Arafat,

Kama huna hakika na ulisemalo ni bora kukaa kimya kuliko kujaza nafasi hapa kwa hoja zisizo na kichwa wala miguu.... BAHATI NZURI WATANZANIA WANAJUA KUWA NAPE AMEWAHI KUPIGIWA KURA TENA NA MKUTANO MKUU WA CCM TAIFA NA KUCHAGULIWA KUWA MJUMBE WA NEC ZAIDI YA MARA MBILI NA SEHEMU ZINGINE NYINGI TU, SI VYEMA KUJARIBU KUWADANGANYA WATU HAPA KWA HOJA USIYOIJUA COZ WANAO KUHESHIMU WATAKUDHARAU
Nape Mi sina heshima yeyote na wala siitaji heshima aina hiyo unaidhani na kufikiri nina heshima kubwa mbele za Mungu wangu na sehemu ambazo watu wanatumia ubongo zaidi kuliko mdomo! kama nilivyokwisha kusema ndivyo unavyothibitisha hapa labda ujiulize mwenyewe wajumbe waliokuwa wanachaguliwa na M/Mkuu kuingia NEC walikuwa wanamwakilisha nani katika vikao vya NEC? au kwa lugha rahisi wanamwongoza nani? katika shughuli zao za kila siku? Ulikuwa Kiongozi wa NEC! au Kiongozi wa M/Mkuu!?

Wewe hujawai kuwa kiongozi mahala popote Nape, huo ndio ukweli labda kama wewe dhana yao ya neno uongozi inakinzana na maana halisi ya uongozi, maana hata Qadhaffi alikuwa anasema yeye ni kiongozi wa Libya ingawa walibya walikuwa hawajampigia kura hata siku moja.
 
Nadhani hapa ushabiki ndio unaotawala,kuhusu mgogoro wa Arusha,CCM bado haijapata official notification,hawajachagua wawakilishi...CDM wamepata na wamechagua wawakilishi.
Mimi kama mwanachama hai wa CCM sikubaliani na azma ya CDM/tENDWA kuhusu haya mazungumzo.Hayana mantiki yoyote kwa CCM as a party.
Mnasema mna timu kali,ndio maana tunawaogopa,...puh-lease!! there are 10 times as many PhDs in CCM than all oppossition parties combined!!
Yes I agree, wa kwanza ni Dr, Dr, Dr, JK, Dr, Mary Mwanjelwa, Dr Rwakatare, Dr Augustino Mrema n.k aaaaah nilitaka kusahau Dr Didas Masaburi, Dr Masumbuko Lamwai, Dr Mihanjo, Dr Mwakyembe, Dr Daud Balali, Dr, Benson Bana, Dr e.t.c. Tumethubutu, tumeweza, tunasonga mbele. Sikuwahi kufikiri kuwa kumbe majibu ni rahisi kiasi hiki. Umesahau Ma Prof nao wako wengi kama Prof Mukandala, Benno Ndulu, Kikula, Mlacha, n.k
Hongereni sana Mkuu
 
Back
Top Bottom