Muafaka CCM, CHADEMA waiva

.. Na pengine tuanzie kwenye mzizi wa tatizo lilopo leo kwakua umeamua kuja mwenyewe, tuzungumze kwa faida ya watanzania kwa ukweli bila kutia chumvi,....HIVI NINI TOFAUTI YA UCHAGUZI, KWA MAANA YA KANUNI NA TARATIBU ZILIZOTUMIKA KWENYE UCHAGUZI WA MEYA ARUSHA NA ZILE ZILIZOTUMIKA KWA MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA HAI???

Kama hujui tofauti kati ya Hai na uchaguzi wa Meya wa Arusha basi tunahitaji kwenda shule upya. Ndiyo msingi wa kusema unaishi ahera, maana walioko ulimwenguni wanajua msingi wa mgogoro wa Arusha, na jinsi ccm ilivyo chanzo na sasa kupitia Mkuchika ndio mmeingia zaidi, kwa waziri kujiegeuza kuwa Mahakama.

Jamii inataka kujua ukweli, ni haki yao.

Dr.Slaa..

Naamini kuna watanzania wengi tulio bado duniani na tumeshatoka shule lakini hatujui bado tofauti ya uchaguzi wa Meya wa Arusha na ule wa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Hai, kwa mantiki kuwa kote huko vyama CCM-Arusha na CHADEMA-HAI walipeleka Wabunge wa Viti Maalumu wasio wakazi wa wilaya husika kuviwakilisha vyama hivyo kwenye halmashauri hizo, na kimsingi itakubalika kisheria.

kwa maana hiyo swali hili la Nape ni muhimu sana kwa kujadili mgogoro wa Umeya wa Arusha kwa ukweli na uwazi pasi kupigapiga chenga za kisiasa ambazo wewe mwenyewe umesema zimepitwa na wakati na ni vyema sasa ufanye kwa vitendo, naamini mjadala huu aliouanzisha Nape utaisaidia sana jamii ya Watanzania kuufahamu ukweli na kuuishi.
 
Kobello,
Thanks a lot. You are quite right there is connection between the case and the Mayoral Elections.i) Chadema and the population objected to the way the elections were conducted an in particular the floating of the relevant Regulations. ii) We did not go to court for reasons that will be made public in due course. It was certainly not accidental. iii) You mention "illegal demonstration". I am not quite sure of veracity of your statement. Let it be determined by the courts as the matter is in court. iii) Why Speak to the Prime Minister? Oh, Chadema is a peace seeking Party and believes in dialogue and negotiation. Court system is of last recourse in peaceful solutions. Same took place in Kigoma and it lead to Amendment of the relevant laws, which would not have been possible using the court avenue. We deserve a credit for the peaceful Kigoma Solution, which was even more embarassing than the Arusha one, albeit the latter involved loss of human life which should not have happened. I believe these points bring to light a number of issues you raised.





Unlawful assembly as pertaining to what?..Of course there's a connection between the Arusha mayoral election and the jan 5th illegal demo.
You have been(together with other CDM members) accused by Nape of trying to use the "mayoral election saga" as a tool to get the case thrown away,I personally don't think the route that you took was legal or even logical.Why are you trying to talk to the prime minister?,who is reaching out to the other?Is it CCM?
If you were not satisfied wth the way the election was conducted,why didn't you guys go to the court? How did Kaborou won kigoma elections back in the days? WAS IT THROUGH ILLEGAL DEMONSTRATIONS OR THROUGH THE COURTS?
As a prominent politician and a former pastor,can you tell us the reason(s) you guys chose not to go to court?....I'm a CCM member and I woldn't appreciate if my party will be dragged into this,unless the judiciary is involved.....keep the executive and the legislature out of this please,that sounds so absurd.And about Mipashos/vijembe/taarab......C'mon! you are better than that!
 
Nape,
Ahsante. Sidhani nimekuchuria. Sisi ni viongozi, si vema tukafanya mambo kwa ushabiki. Kichwa cha habari chajieleza. Nilifikiri tunahitaji kujielekeza kwenye thread iliyoko mbele yetu.

Kama hujui tofauti kati ya Hai na uchaguzi wa Meya wa Arusha basi tunahitaji kwenda shule upya. Ndiyo msingi wa kusema unaishi ahera, maana walioko ulimwenguni wanajua msingi wa mgogoro wa Arusha, na jinsi ccm ilivyo chanzo na sasa kupitia Mkuchika ndio mmeingia zaidi, kwa waziri kujiegeuza kuwa Mahakama.

Msingi hapa ni kuwa Nimepokea Barua ya Tendwa na nimekwisha kuteua wajumbe kwa upande wa Chadema. Sasa mwenzetu ukisema ni majungu ni nani unamzuga?

Waziri Mkuu alijibu swali ndani ya Bunge, hadharani, na mimi nimetekeleza nilivyoandikiwa. Ulichotakiwa siyo kusema ni majungu bali kueleza CCM wamepata barua au vipi? Nadhani chenga zibaki kwenye uwanja wa "football", lakini siasa ziendeshwe kisasa, enzi za "politics is a dirty game" zimepita. Jamii inataka kujua ukweli, ni haki yao.

Dr. Umeniudhi sana kumwita Nape Kiongozi!

Kiongozi ni mtu yeyote katika jamii au sehemu ya jamii ambaye wenzake wamemwamini na kumchagua kuwawakilisha kama sauti yao na mwakilishi wao na pia kuwaongoza katika shughuli zao za kila siku katika kuelekea katika malengo yao waliyojiwekea wenyewe.

Dr. Slaa Nape hajawai kuchaguliwa na kikundi chochote cha jamii kuwaongoza na hata kuwawakilisha katika jamii yetu ya Tanzania; aliwai kuomba kuiongoza UVCCM hawakumwamini na kuridhika na uwezo wake wa Uongozi na hivyo hawakumchagua, pia aliomba kuwa ongoza wananchni wa jimbo la Ubungo nao hivyo hivyo hawakuamini uwezo wake kuwa kiongozi na hivyo hawakumchagua.

Kazi anayofanya sasa hawezi kuwa na fikra binafsi maana hamwakilishi mtu yeyote tofauti na yule aliyemteuwa, kazi ya kuteuliwa bila ridhaa ya wananchni ni utumwa maana aliyekuteua ni mungu kwako, uwezo wako wa kuongea na kufikiri ni kufafanua yale ambayo aliyekuteuwa anayaamini na kayasema.

Haiwezekani redio ikaongea maneno tofauti na yale ambayo mtangazaji anayatamka! labda kama kunamwingiliano wa stations za radio, lakini redio na spika kazi yake ni kucheza na mawimbi ya sauti ya mwongeaji siyo kuongea.
 
Butola,

i) Sina tatizo kutoa elimu kwa watanzania wenye dhamira na nia ya kweli kutaka kujua kilichojiri, lakini si Nape ambaye yuko jikoni. Kama binafsi hafahamu anayo system ya kumwezesha kujua kilichojiri. Kwa Faida ya watanzania, kwa Mujibu wa Sheria inayohusika, kuna tofauti kubwa kati ya Mary Chatanda (kutoka Tanga) na Grace Kiwelu na Lucy Owenya (kutoka Kilimanjaro. Hai ipo ndani ya Kilimanjaro ambako Wabunge husika ndiko walikopatikana. Ndani ya Mkoa Chama kina mamlaka ya kuwapangia Wabunge wake kwa mujibu wa sheria.

ii) Kwa faida ya Watanzania swala la Chatanda ni swala dogo sana katika mgogoro wa uchaguzi wa Meya wa Arusha. Tatizo la Msingi ni kukiukwa kwa Kanuni za Uchaguzi (uchakachuaji). Wananchi wa Arusha walituunga mkono kukataa uchakuaji huo wa Kanuni, ambao kimsingi unafanya uchaguzi kuwa "null and void" 'ab initio.
Dr.Slaa..

Naamini kuna watanzania wengi tulio bado duniani na tumeshatoka shule lakini hatujui bado tofauti ya uchaguzi wa Meya wa Arusha na ule wa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Hai, kwa mantiki kuwa kote huko vyama CCM-Arusha na CHADEMA-HAI walipeleka Wabunge wa Viti Maalumu wasio wakazi wa wilaya husika kuviwakilisha vyama hivyo kwenye halmashauri hizo, na kimsingi itakubalika kisheria.

kwa maana hiyo swali hili la Nape ni muhimu sana kwa kujadili mgogoro wa Umeya wa Arusha kwa ukweli na uwazi pasi kupigapiga chenga za kisiasa ambazo wewe mwenyewe umesema zimepitwa na wakati na ni vyema sasa ufanye kwa vitendo, naamini umjadala huu aliouanzisha Nape utaisaidia sana jamii ya Watanzania kuufahamu ukweli.
 
Dr.Slaa..

Naamini kuna watanzania wengi tulio bado duniani na tumeshatoka shule lakini hatujui bado tofauti ya uchaguzi wa Meya wa Arusha na ule wa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Hai, kwa mantiki kuwa kote huko vyama CCM-Arusha na CHADEMA-HAI walipeleka Wabunge wa Viti Maalumu wasio wakazi wa wilaya husika kuviwakilisha vyama hivyo kwenye halmashauri hizo, na kimsingi itakubalika kisheria.

kwa maana hiyo swali hili la Nape ni muhimu sana kwa kujadili mgogoro wa Umeya wa Arusha kwa ukweli na uwazi pasi kupigapiga chenga za kisiasa ambazo wewe mwenyewe umesema zimepitwa na wakati na ni vyema sasa ufanye kwa vitendo, naamini mjadala huu aliouanzisha Nape utaisaidia sana jamii ya Watanzania kuufahamu ukweli na kuuishi.

Uchaguzi wa AR CCM walifanya uchaguzi wao wenyewe wakati wenzao hawajaingia katika kikao.
 
Dr. Slaa,
Nakushukuru kwa kuendelea kuwepo hapa. Dr. Kama hakuna tofauti kati ya chaguzi hizi mbili kama nimekuelewa vizuri kwa maana ya washiriki nini uharamu wa uchaguzi wa Arusha na wakati huo wa Hai ni halali? Katika mazingira ya kawaida umenitaka nikiri kupokea barua ya Tendwa au la, nilichomjibu mwandishi, NITALIJIBU SWALI HILO KAMA AMETHIBITISHIWA NA BWANA TENDWA KUWA KATUANDIKIA BARUA VINGINEVYO HAYA MAJUNGU SIYAJIBU, MAANA LEO NI KAWAIDA KWA MWANFISHI KUSIKIA BARABARANI NA KUIFANYA STORI NA MARA NYINGI INAKUWA STPRI ISHAANDIKWA THEN WANA JUSTFY STORI KWA STYLE HIYO, MWENYEWE ALIKIRI KUWA HABARI HIYO HAJAIPATA TOKA KWA TENDWA WALA OFISINI KWAKE, SASA TUTAJIBU MANGAPI YA BARABARANI?
Dr.Slaa...

Naamini kuna watanzania wengi tulio bado duniani na tumeshatoka shule lakini hatujui bado tofauti ya uchaguzi wa Meya wa Arusha na ule wa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Hai, kwa mantiki kuwa kote huko vyama CCM-Arusha na CHADEMA-HAI walipeleka Wabunge wa Viti Maalumu wasio wakazi wa wilaya husika kuviwakilisha vyama hivyo kwenye halmashauri hizo, na kimsingi itakubalika kisheria.

kwa maana hiyo swali hili la Nape ni muhimu sana kwa kujadili mgogoro wa Umeya wa Arusha kwa ukweli na uwazi pasi kupigapiga chenga za kisiasa ambazo wewe mwenyewe umesema zimepitwa na wakati na ni vyema sasa ufanye kwa vitendo, naamini mjadala huu aliouanzisha Nape utaisaidia sana jamii ya Watanzania kuufahamu ukweli na kuuishi.
 
Butola,

i) Sina tatizo kutoa elimu kwa watanzania wenye dhamira na nia ya kweli kutaka kujua kilichojiri, lakini si Nape ambaye yuko jikoni. Kama binafsi hafahamu anayo system ya kumwezesha kujua kilichojiri. Kwa Faida ya watanzania, kwa Mujibu wa Sheria inayohusika, kuna tofauti kubwa kati ya Mary Chatanda (kutoka Tanga) na Grace Kiwelu na Lucy Owenya (kutoka Kilimanjaro. Hai ipo ndani ya Kilimanjaro ambako Wabunge husika ndiko walikopatikana. Ndani ya Mkoa Chama kina mamlaka ya kuwapangia Wabunge wake kwa mujibu wa sheria.

ii) Kwa faida ya Watanzania swala la Chatanda ni swala dogo sana katika mgogoro wa uchaguzi wa Meya wa Arusha. Tatizo la Msingi ni kukiukwa kwa Kanuni za Uchaguzi (uchakachuaji). Wananchi wa Arusha walituunga mkono kukataa uchakuaji huo wa Kanuni, ambao kimsingi unafanya uchaguzi kuwa "null and void" 'ab initio.
Asante Dr kwa majibu yako, labda Nape atuambie leo kuwa, kwa wanavyoamini wao kanuni zilikiukwa HAI na hivyo wamelipiza Arusha,
 

Dr. Umeniudhi sana kumwita Nape Kiongozi!

Kiongozi ni mtu yeyote katika jamii au sehemu ya jamii ambaye wenzake wamemwamini na kumchagua kuwawakilisha kama sauti yao na mwakilishi wao na pia kuwaongoza katika shughuli zao za kila siku katika kuelekea katika malengo yao waliyojiwekea wenyewe.

Dr. Slaa Nape hajawai kuchaguliwa na kikundi chochote cha jamii kuwaongoza na hata kuwawakilisha katika jamii yetu ya Tanzania; aliwai kuomba kuiongoza UVCCM hawakumwamini na kuridhika na uwezo wake wa Uongozi na hivyo hawakumchagua, pia aliomba kuwa ongoza wananchni wa jimbo la Ubungo nao hivyo hivyo hawakuamini uwezo wake kuwa kiongozi na hivyo hawakumchagua.

Kazi anayofanya sasa hawezi kuwa na fikra binafsi maana hamwakilishi mtu yeyote tofauti na yule aliyemteuwa, kazi ya kuteuliwa bila ridhaa ya wananchni ni utumwa maana aliyekuteua ni mungu kwako, uwezo wako wa kuongea na kufikiri ni kufafanua yale ambayo aliyekuteuwa anayaamini na kayasema.

Haiwezekani redio ikaongea maneno tofauti na yale ambayo mtangazaji anayatamka! labda kama kunamwingiliano wa stations za radio, lakini redio na spika kazi yake ni kucheza na mawimbi ya sauti ya mwongeaji siyo kuongea.

Ndipo fikra zako zilipoishia?? wakati mwingine kukaa kimya ni busara zaidi...
 
Arafat,
Kama huna hakika na ulisemalo ni bora kukaa kimya kuliko kujaza nafasi hapa kwa hoja zisizo na kichwa wala miguu.... BAHATI NZURI WATANZANIA WANAJUA KUWA NAPE AMEWAHI KUPIGIWA KURA TENA NA MKUTANO MKUU WA CCM TAIFA NA KUCHAGULIWA KUWA MJUMBE WA NEC ZAIDI YA MARA MBILI NA SEHEMU ZINGINE NYINGI TU, SI VYEMA KUJARIBU KUWADANGANYA WATU HAPA KWA HOJA USIYOIJUA COZ WANAO KUHESHIMU WATAKUDHARAU

Dr. Umeniudhi sana kumwita Nape Kiongozi!

Kiongozi ni mtu yeyote katika jamii au sehemu ya jamii ambaye wenzake wamemwamini na kumchagua kuwawakilisha kama sauti yao na mwakilishi wao na pia kuwaongoza katika shughuli zao za kila siku katika kuelekea katika malengo yao waliyojiwekea wenyewe.

Dr. Slaa Nape hajawai kuchaguliwa na kikundi chochote cha jamii kuwaongoza na hata kuwawakilisha katika jamii yetu ya Tanzania; aliwai kuomba kuiongoza UVCCM hawakumwamini na kuridhika na uwezo wake wa Uongozi na hivyo hawakumchagua, pia aliomba kuwa ongoza wananchni wa jimbo la Ubungo nao hivyo hivyo hawakuamini uwezo wake kuwa kiongozi na hivyo hawakumchagua.

Kazi anayofanya sasa hawezi kuwa na fikra binafsi maana hamwakilishi mtu yeyote tofauti na yule aliyemteuwa, kazi ya kuteuliwa bila ridhaa ya wananchni ni utumwa maana aliyekuteua ni mungu kwako, uwezo wako wa kuongea na kufikiri ni kufafanua yale ambayo aliyekuteuwa anayaamini na kayasema.

Haiwezekani redio ikaongea maneno tofauti na yale ambayo mtangazaji anayatamka! labda kama kunamwingiliano wa stations za radio, lakini redio na spika kazi yake ni kucheza na mawimbi ya sauti ya mwongeaji siyo kuongea.
 
Kobello,
Thanks a lot. You are quite right there is connection between the case and the Mayoral Elections.i) Chadema and the population objected to the way the elections were conducted an in particular the floating of the relevant Regulations. ii) We did not go to court for reasons that will be made public in due course. It was certainly not accidental. iii) You mention "illegal demonstration". I am not quite sure of veracity of your statement. Let it be determined by the courts as the matter is in court. iii) Why Speak to the Prime Minister? Oh, Chadema is a peace seeking Party and believes in dialogue and negotiation. Court system is of last recourse in peaceful solutions. Same took place in Kigoma and it lead to Amendment of the relevant laws, which would not have been possible using the court avenue. We deserve a credit for the peaceful Kigoma Solution, which was even more embarassing than the Arusha one, albeit the latter involved loss of human life which should not have happened. I believe these points bring to light a number of issues you raised.
They somehow did, I know you don't have a lot of time in your hands so I do appreciate a man of your calibre answering my questions, I'm humbled by that. However, you should know that there's a "silent majority" in Tanzania, people who don't really like violence or even the thought of it.
It's been said that, the cops wanted you guys to disperse,but the call was ignored and some of the leaders flactuated it to a demo. The tape is all over the internet. The police used extreme force unneccessarily,and CDM illegally demonstrated(in my view) unneccesarily.But I prefer the courts to decide this.
I will anxiously be waiting for the reasons as to why you guys didn't choose to go to court in the first place.And I will advice you personally,when you decide to demonstrate, the last thing you wanna do is go towards any government building that has an ARMORY , even human rights activists will not be on your side if unarmed civilians march towards a police station that has an ARMORY. It's more or less an act of war,and civil disobedience should never amount to that level.
Be careful and I wish you luck!!!(you are definately an asset).
 
@Dr. slaa

kwanini unatumia muda mwingi kubishana na Nape wakati fika unajua kwa CCM katibu mwenezi ni mtu anyeshughulika na propaganda pia na hizi ni sehemu za propaganda zake?

ningekuelewa kama ungekuwa na mjadala na Mukama na si Nape

kwanini wewe pamoja na Mukama msiitishe mdaharo na taifa lijue nini kimekosewa na wapi kwa kurekebisha na si kuendelea kumsikiliza na kujibishana na Nape kwani propaganda ni sehemu yake
 
Unlawful assembly as pertaining to what?..Of course there's a connection between the Arusha mayoral election and the jan 5th illegal demo.
You have been(together with other CDM members) accused by Nape of trying to use the "mayoral election saga" as a tool to get the case thrown away,I personally don't think the route that you took was legal or even logical.Why are you trying to talk to the prime minister?,who is reaching out to the other?Is it CCM?
If you were not satisfied wth the way the election was conducted,why didn't you guys go to the court? How did Kaborou won kigoma elections back in the days? WAS IT THROUGH ILLEGAL DEMONSTRATIONS OR THROUGH THE COURTS?
As a prominent politician and a former pastor,can you tell us the reason(s) you guys chose not to go to court?....I'm a CCM member and I woldn't appreciate if my party will be dragged into this,unless the judiciary is involved.....keep the executive and the legislature out of this please,that sounds so absurd.And about Mipashos/vijembe/taarab......C'mon! you are better than that!
kobello which court are talking about is that Mkuchika is one of the judges?
 
Dr. Slaa,
Bila shaka wajua fika swala la kupanga mbunge wa kiti maalumu achaguliwe wapi ni swala la UTARATIBU WA NDANI YA CHAMA NA SI SHERIA YA NCHI KWAMBA LAZIMA ENEO LAKE LA KAZI LIWE NI MKOA AU WILAYA... NDO MAANA WENZETU CUF WANA WABUNGE WANAFANYA KAZI ZA KANDA NA SI MKOA...

HII INAPOTEZA MAANA YA HOJA YAKO YA KINA KIWELU NA LUCY KUWA HALALI KWASABABU TU ETI WANAISHI KILIMANJARO NA UCHAGUZI UPO NDANI YA MKOA MMOJA NA HAPA CHATANDA KAPATA UBUNGE KUTOKEA TANGA LAKINI ANAISHI ARUSHA NA KUFANYIA KAZI ARUSHA THEN YEYE SI HALALI....
Kanuni nyingine iliyovunjwa ipi Dr?

Butola,

i) Sina tatizo kutoa elimu kwa watanzania wenye dhamira na nia ya kweli kutaka kujua kilichojiri, lakini si Nape ambaye yuko jikoni. Kama binafsi hafahamu anayo system ya kumwezesha kujua kilichojiri. Kwa Faida ya watanzania, kwa Mujibu wa Sheria inayohusika, kuna tofauti kubwa kati ya Mary Chatanda (kutoka Tanga) na Grace Kiwelu na Lucy Owenya (kutoka Kilimanjaro. Hai ipo ndani ya Kilimanjaro ambako Wabunge husika ndiko walikopatikana. Ndani ya Mkoa Chama kina mamlaka ya kuwapangia Wabunge wake kwa mujibu wa sheria.

ii) Kwa faida ya Watanzania swala la Chatanda ni swala dogo sana katika mgogoro wa uchaguzi wa Meya wa Arusha. Tatizo la Msingi ni kukiukwa kwa Kanuni za Uchaguzi (uchakachuaji). Wananchi wa Arusha walituunga mkono kukataa uchakuaji huo wa Kanuni, ambao kimsingi unafanya uchaguzi kuwa "null and void" 'ab initio.
 
Butola,

i) Sina tatizo kutoa elimu kwa watanzania wenye dhamira na nia ya kweli kutaka kujua kilichojiri, lakini si Nape ambaye yuko jikoni. Kama binafsi hafahamu anayo system ya kumwezesha kujua kilichojiri. Kwa Faida ya watanzania, kwa Mujibu wa Sheria inayohusika, kuna tofauti kubwa kati ya Mary Chatanda (kutoka Tanga) na Grace Kiwelu na Lucy Owenya (kutoka Kilimanjaro. Hai ipo ndani ya Kilimanjaro ambako Wabunge husika ndiko walikopatikana. Ndani ya Mkoa Chama kina mamlaka ya kuwapangia Wabunge wake kwa mujibu wa sheria.

ii) Kwa faida ya Watanzania swala la Chatanda ni swala dogo sana katika mgogoro wa uchaguzi wa Meya wa Arusha. Tatizo la Msingi ni kukiukwa kwa Kanuni za Uchaguzi (uchakachuaji). Wananchi wa Arusha walituunga mkono kukataa uchakuaji huo wa Kanuni, ambao kimsingi unafanya uchaguzi kuwa "null and void" 'ab initio.

Nashukuru..

Lakini ninavyofahamu Wabunge wa viti maalum wanawawakilisha wanawake wa Tanzania nzima na hivyo hawawakilishi mkoa wala wilaya yoyote, na ndio maana CHADEMA iliteua Wabunge hawa kwa vigezo tofauti kabisa bila kuzingatia mikoa wanayotoka waombaji.

Na ninavyojua ni kuwa chama kinaruhusiwa kisheria kumteua mbunge wa viti maalum kukiwakilisha kwenye halmashauri yeyote kitakachopenda, kwa mantiki hiyo sioni tofauti ya suala la Grace Kiwelu na Mary Chatanda, kisheria Chadema ingeweza ata kumpangia Grace Kiwelu kuiwakilisha kwenye halmashauri ya Jiji la Mbeya bila tatizo lolote.

Kwenye hili la uchakachuaji naomba utuweke wazi zaidi..
 
Dr. Slaa,

Kwanza nikiri kustushwa sana na kauli yako kuwa NAISHI AHERA!! BILA SHAKA MAANA YAKO NI KUWA MIE NIMEKUFA!!!! SASA SIJUI KAMA UNANITABIRIA KIFO AU VIPI SIJUI!!!

Any way tukiliacha hili la kunichuria wacha tuzungumze hili la Arusha.. Na pengine tuanzie kwenye mzizi wa tatizo lilopo leo kwakua umeamua kuja mwenyewe, tuzungumze kwa faida ya watanzania kwa ukweli bila kutia chumvi,....HIVI NINI TOFAUTI YA UCHAGUZI, KWA MAANA YA KANUNI NA TARATIBU ZILIZOTUMIKA KWENYE UCHAGUZI WA MEYA ARUSHA NA ZILE ZILIZOTUMIKA KWA MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA HAI???
Kwa kauli hii inaonyesha kwamba hataHhai kanuni zilikiukwa kama ambavyo zilikiukwa Arusha si ndiyo? Hivi aliyepewa kazi ya kusimamia katiba na hizo kanuni ni nani? Kuna mwanachadema aliyepa kuilinda na kuitetea katiba ya Tanzania? Kwa kuwa mlikosea Hai, basi mnatumia makosa kama reference ya kujustify makosa mengine? Mmmh, hawa ndo viongozi wa chama tulichokipa dhamana ya kuongoza serikali.
 
dr samahani naomba kujua tuanze kuhesabu siku 30 kuanzia lini..je tuanzie 17 au siku mlipofanya mktano arusha au mlipo kutana na pinda kule dodoma..kama ni kutafuta suluhu mmejaribu sana tangu mwaka jana hakuna kinachofanyika cha maana..Arusha tunaka kujua mstakabali wetu kama ni kwenda kufia pale manispaa tuko tayari...
 
Back
Top Bottom