Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 9,220
- 8,905
Thanx....we have the government too!!......mkitaka kuingia kitaa it's all good,tutachapana vilevile.Yes I agree, wa kwanza ni Dr, Dr, Dr, JK, Dr, Mary Mwanjelwa, Dr Rwakatare, Dr Augustino Mrema n.k aaaaah nilitaka kusahau Dr Didas Masaburi, Dr Masumbuko Lamwai, Dr Mihanjo, Dr Mwakyembe, Dr Daud Balali, Dr, Benson Bana, Dr e.t.c. Tumethubutu, tumeweza, tunasonga mbele. Sikuwahi kufikiri kuwa kumbe majibu ni rahisi kiasi hiki. Umesahau Ma Prof nao wako wengi kama Prof Mukandala, Benno Ndulu, Kikula, Mlacha, n.k
Hongereni sana Mkuu