Mtwara: Mkuu wa Mkoa atumbua walimu wakuu 63

36a779d71a798fde0a5601e0e3b152ba.jpg
 
Mwakani tena watakuwa wa mwisho atafukuza tena?? Badala ku deal na sababu za mikoa ya pwani kuw maendeleo mabovu yeye anakurupuka kufukuza walimu!! Atakesha!! Mwisho wake kufikiria ndio hapo!! Sababu kibaooooo.......utoro,kuozeshwa mwamko elimu kwa wazazi.....watoto wanaokota korosho na kufanya biashara.....tatizo sio walimu wakuu wala walimu......!!!
 
Uongozi wa mkoa mtwara umewashusha vyeo waalimu wakuu 63 wa shule za msingi kutokana na shule zao kuwa miongoni mwa shule zilizofanya vibaya kwenye matokeo ya darasa la saba. Uongozi huo unasema umeanza na hao kwanza na wengine watafwata.

Swali: Hivi kushusha vyeo waalimu wakuu ni suluhisho la shule hizo kufanya vizuri?
Wamechunguza kiundani na kujua tatizo ni nini hasa kabla ya kutumbua hao waalimu?

Hii sera ya elimu bure imeshindikana, nnachokiona watafukuza waalimu wote bila kupata suluhisho. Hii tumbuatumbua ili kumfurahisha mkuu itatuharibia mambo mengi sana awamu hii na tutajikuta tumerudi hatua tano nyuma badala ya kwenda mbele.
 
kada h inalana,lana kubwa kuliko yote n h ya 15% ambayo inakuja kuwazalilisha walimu mwaka huu tena kuanzia mwezi!
 
Hata hao waliopandishwa nahisi watashushwa vyeo.Mwishowe Mkoa mzima utakuwa na walimu waliowahi kuwa walimu wakuu na kushushwa vyeo.Siamini kwamba suluhu la Matokeo mabaya ni kushusha vyeo walimu wakuu.
 
Wanatakiwa kuboresha mishahara na maslahi ya walimu pia kuwapatia vitendea kazi vya kutosha badala ya kukimbilia kuwaadhibu
 
Tunasubiri na matokeo ya form four yakitoka kifanyike kama hiki kwa Shule za secondary na hili linatakiwa lifanyike Nchi nzima .

Hii ni dhana ya uwajibikaji tu wala sio kitu kipya.
 
Hata hao waliopandishwa nahisi watashushwa vyeo.Mwishowe Mkoa mzima utakuwa na walimu waliowahi kuwa walimu wakuu na kushushwa vyeo.Siamini kwamba suluhu la Matokeo mabaya ni kushusha vyeo walimu wakuu.
Wanakurupuka tu ili tuwaone kwenye tv
 
Hii nchi imevamiwa kama viwavi wanavyovamiga shambani!!! Kila mmoja na mmea wake wakishamaliza wanajikuta wako wenyewe hamna cha kutafuna!
 
Kuna umuhimu wa kufanya utafiti ili kubaini sababu za kufeli. Na kama amefanya utafiti akabaini kuwa tatizo ni uongozi yaani maafisa na Wakuu wa Shule Hakuna namna nyingine tumwache kiongozi afanye kazi tafadhali

Utafiti upi tena zaidi ya matokeo acheni watu wachukue hatua chombo lishakolea moto ukidevela inasoma kwako.
Managers highered to be fired.
 
kwa mtwara hata wakuu wa shule angetumbua. shule nyingi za sekondari mtwara hasa A LEVEL wakuu wa shule hawawajibiki na ufundishaji ni shiida. muda mwingi wanafunzi huutumia kwa kulima mashamba ya mikorosho ya walimu badala ya wanafunzi kufundishwa madarasani....
 
Back
Top Bottom