kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 17,683
- 14,869
Wakuu,
Nimesikia hili Tangazo la kupeleka mabomba yakusafirisha Gesi kutoka Mtwara..
Ni kwanini wanafanya hili zoezi wakati huu?
Serikali ya JK ni ya Ajabu sana!
Wanaona Tupo kwenye mwezi mtukufu wao ndiyo wanapeleka Mabomba!
ILE GESI HAITATOKAAA..
MPAKA MKUBALIANE NA WANANCHI!
TUONE MABADILIKO YA KWELI...
Nguvu nyingi inayotumika kuitoa ni ishara ya udikteta..
Tanzania is not a democratic state any more...
WANATUMIA NGUVU KUNUFAISHA MATUMBO YAO.....
MUNGU IBARIKI TANZANIA..
MUNGU TUANGALIE WANAMTWARA, TUNATESEKA KWA AJILI
YA KUTETEA MAENDELEO YETU..
MUNGU USIWAACHE HAWA WANAOTUTESA NA KUTUIBIA NA KUTUPIGA KUKUBWA...
NA AMINI MUNGU UPO TUNAKUOMBA UJIBU MAOMBI YETU..
Nimesikia hili Tangazo la kupeleka mabomba yakusafirisha Gesi kutoka Mtwara..
Ni kwanini wanafanya hili zoezi wakati huu?
Serikali ya JK ni ya Ajabu sana!
Wanaona Tupo kwenye mwezi mtukufu wao ndiyo wanapeleka Mabomba!
ILE GESI HAITATOKAAA..
MPAKA MKUBALIANE NA WANANCHI!
TUONE MABADILIKO YA KWELI...
Nguvu nyingi inayotumika kuitoa ni ishara ya udikteta..
Tanzania is not a democratic state any more...
WANATUMIA NGUVU KUNUFAISHA MATUMBO YAO.....
MUNGU IBARIKI TANZANIA..
MUNGU TUANGALIE WANAMTWARA, TUNATESEKA KWA AJILI
YA KUTETEA MAENDELEO YETU..
MUNGU USIWAACHE HAWA WANAOTUTESA NA KUTUIBIA NA KUTUPIGA KUKUBWA...
NA AMINI MUNGU UPO TUNAKUOMBA UJIBU MAOMBI YETU..