Mtwara bado ngoma mbichi...

Mtwara bado ngoma mbichi...

PISTO LERO

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2011
Posts
2,819
Reaction score
1,455
MTWARA BADO NGOMA MBICHI...VITA YAHAMIA CCM....KAMA SIYO SIASA BASI NI HAKI YAO

Kwa wale ambao walikuwa wanadhani hali ni shwari na mambo yanaenda sawa Mtwara kuhusu suala la Gesi, hawapo sahihi sana.


Kuna watu bado wananung'unika katika mioyo yao.

Mkakati wa kukusanya kadi za CCM na kurudisha au kuzichoma moto unaratibiwa.

Tarehe 29/05/2013 ingawa taarifa sio rasmi kunaweza kusiwe na shughuli yoyote.

Watuhumiwa wa vurugu (wengi wao vibarua wa ujenzi wa bara bara na wanafunzi wa vyuo pamoja na vijana wa mtaani) wamefikishwa mahakamani kwa shitaka la uchochezi na wamenyimwa dhamana.


 
Wenzenu wa Ngorongoro walikusanya na kurudisha kadi za CCM. Serikali ya CCM ikasalimu amri ikawarudishia ardhi yao kutoka kwa mwekezaji.

Jaribuni labda na nyinyi mnaweza kufanikiwa maana hakuna kitu CCM inaogopa kama wanachama wake kurudisha kadi. Msisahau kuwaita BBC ili waonesho tukio hilo LIVE.
 
kila mjinga ataadhibiwa kwa ujinga wake,mwenye macho haambiwi tazama.
 
Wenzenu wa Ngorongoro walikusanya na kurudisha kadi za CCM. Serikali ya CCM ikasalimu amri ikawarudishia ardhi yao kutoka kwa mwekezaji.

Jaribuni labda na nyinyi mnaweza kufanikiwa maana hakuna kitu CCM inaogopa kama wanachama wake kurudisha kadi. Msisahau kuwaita BBC ili waonesho tukio hilo LIVE.

mtwara kwa sasa ni mipango ya maendeleo mengine unayajua wewe.
 
MTWARA BADO NGOMA
MBICHI...VITA YAHAMIA CCM....KAMA SIYO SIASA BASI NI HAKI YAO

Kwa wale ambao walikuwa wanadhani hali ni shwari na mambo yanaenda sawa
Mtwara kuhusu suala la Gesi, hawapo sahihi sana.


Kuna watu bado wananung'unika katika mioyo yao.

Mkakati wa kukusanya kadi za CCM na kurudisha au kuzichoma
moto unaratibiwa.


Tarehe 29/05/2013 ingawa
taarifa sio rasmi kunaweza kusiwe na shughuli yoyote.


Watuhumiwa wa vurugu (wengi wao vibarua wa
ujenzi wa bara bara na wanafunzi wa vyuo pamoja na vijana wa mtaani)
wamefikishwa mahakamani kwa shitaka la uchochezi na wamenyimwa
dhamana.















bado wanakadi ya hiki chama? hilo lilitakiwa kuwa ndo jambo la kwanza.
 
Kwa hiyo wale waliokamatwa wote ndo wametolewa kafara?haiaminiki,time will tell!
 
Safi kabisa!taa za uwanja wa ndege walizong'oa na kuzipeleka arusha wameshazirejesha?
 
Tena wazikusanye haraka sana wampelekee jangili maana ndio anayewakejeli eti wana mtwara ni misukule ya masisiem,yanapoendaga kujichotea mikura...viva wamakonde kwa kujitambua!!!
 
ni watu pekee wenye uelewa mdogo ndiyo wanadhani / kujidanganya kwamba ntwara mambo ni safi na suala la gesi limepatiwa ufumbuzi.
 

Mkakati wa kukusanya kadi za CCM na kurudisha au kuzichoma moto unaratibiwa.

Hawa ni wasaliti wanaotumiwa kuleta machufuko hapa nchini kwa maslahi ya mahawala wa makatibu wakuu wa vyama vyao ni bora wafanyiwe sherehe kabisa warudishe kadi za chama kitakatifu kisha wakabidhiwe za chama chao na kwa umuhimu wa shughuli yenyewe inabidi wakabidhiwe kadi za CDM na Wilfred Lwakatare.
 
hawa ni wasaliti wanaotumiwa kuleta machufuko hapa nchini kwa maslahi ya mahawala wa makatibu wakuu wa vyama vyao ni bora wafanyiwe sherehe kabisa warudishe kadi za chama kitakatifu kisha wakabidhiwe za chama chao na kwa umuhimu wa shughuli yenyewe inabidi wakabidhiwe kadi za cdm na wilfred lwakatare.

taratibu mkuu taarifa hii imekugusa sana?
 
Wenzenu wa Ngorongoro walikusanya na kurudisha kadi za CCM. Serikali ya CCM ikasalimu amri ikawarudishia ardhi yao kutoka kwa mwekezaji.

Jaribuni labda na nyinyi mnaweza kufanikiwa maana hakuna kitu CCM inaogopa kama wanachama wake kurudisha kadi. Msisahau kuwaita BBC ili waonesho tukio hilo LIVE.

mkuu, sasa wakichoma moto watazirudishaje?
 
Kwa hiyo wale waliokamatwa wote ndo wametolewa kafara?haiaminiki,time will tell!

bwana maendeleo yupo kwenye kinoleo cha panga ili akate mapembe,watamkomaje walionaswa? Maana wana mtwara wakishinda prince ndo atakatwa mapembe na wachina
 
Sana wasaliti wa taifa wanapotaka kujivua gamba inanipa moyo maana nauona mwanga mpya kwa Tanzania yenye amani.

Kwa kuwa hatuna dira ya nchi kurudisha kadi ndio suluhishomaana watakosa kula.
 
Back
Top Bottom