Mtwara bado ngoma mbichi...

Mtwara bado ngoma mbichi...

Hizo kadi wakishazikusanya waakikishe wanazichoma moto kabisa...
 
matatizo ya mtwara yamepaliliwa kwa kiasi kikubwa na ccm kwahiyo naunga mkono hoja kwa asilimia mia moja.
 
Safi kabisa!taa za uwanja wa ndege walizong'oa na kuzipeleka arusha wameshazirejesha?
Kwa kweli usipojua mambo utaishia kuwa ku'waffle tu!
Mzee unaongea jambo ambalo huna hata idea nalo!
Acha kulisha watu tango-pori mzee!
 
Watakusanya kadi utakuja kushangaa uchaguzi ukifika sisiemu inaongoza mtwara kwa %100. Ni suala la muda tuu

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
kweli????!
Hizi habari zingeletwa na bigShow hapo kidogo ningeamini maana huyu kweli alijua ni nini kinaendelea
Zaidi ya hapo ni Uchochezi ambao mlianzia huko Iramba na kumpata mwigulu Mchemba original na hamkuambulia kitu
Bora kaanzie Iramba kukusanya kadi lakini kwa Mtwara tunaamini hakuna kitu ni uchochezi wa gesi ambayo sasa mmeumbuka na itaenda DSM taka msitake pandisheni hasira lkn baada ya miezi 18 wale wachochezi watakapotoka jela watakuta Bomba limefika Tanga na lingine Dodoma
 
Last edited by a moderator:
Hawa ni wasaliti wanaotumiwa kuleta machufuko hapa nchini kwa maslahi ya mahawala wa makatibu wakuu wa vyama vyao ni bora wafanyiwe sherehe kabisa warudishe kadi za chama kitakatifu kisha wakabidhiwe za chama chao na kwa umuhimu wa shughuli yenyewe inabidi wakabidhiwe kadi za CDM na Wilfred Lwakatare.
Nduka katika siasa za Africa tunaita hizi ni Enzi zenu,mutatamba sana na kuwaumiza watu wengi ili utawala wenu tamalaki mutawatia ndani akina Lwakatare ili wanenu na wake zenu waendelee kufaidi pesa ya nchi,munajenga majumba Dubai wanauza mapande ya nchi kwa waarabu,wahindi,wazhina wazungu na nyie munakwatua maeka kwa maeka lakini zamu zenu zitakapoisha mutatiwa majiti kwenye njia ya haja kubwa,mutajificha kwenye mitalo,au kwenye mashimo mutabamizwa vibao na mutaishia jela kama munavyowafanyia wa sasa tamba tu nduka tunakuona wana JF wenzio hutujali unaningi,ninia kwenye mgomba upo juu kwa juu kwa dhuluma za MACCM na MAKIKWETE
 
Hizi habari zingeletwa na bigShow hapo kidogo ningeamini maana huyu kweli alijua ni nini kinaendelea
Zaidi ya hapo ni Uchochezi ambao mlianzia huko Iramba na kumpata mwigulu Mchemba original na hamkuambulia kitu
Bora kaanzie Iramba kukusanya kadi lakini kwa Mtwara tunaamini hakuna kitu ni uchochezi wa gesi ambayo sasa mmeumbuka na itaenda DSM taka msitake pandisheni hasira lkn baada ya miezi 18 wale wachochezi watakapotoka jela watakuta Bomba limefika Tanga na lingine Dodoma

Wamyiramba wanajitekenya na kucheka wenyewe utampaje ubunge shetani kama Mwigulu,shetani wa njia zote muendekezaji wa mauaji mchora racketi za mauaji ni maajabu na haya yamesemwa mpaka bungeni watu wanamhusisha moja kwa moja na yeye anakiri kwa kushuhudia kuchora mambo ya kishetani ansema anakanda huyo ni binadamu wakuongoza watu kweli no wonder wanyiramba maji ya vyura wao wanaona juice ya mwigulu
 
Last edited by a moderator:
Wamyiramba wanajitekenya na kucheka wenyewe utampaje ubunge shetani kama Mwigulu,shetani wa njia zote muendekezaji wa mauaji mchora racketi za mauaji ni maajabu na haya yamesemwa mpaka bungeni watu wanamhusisha moja kwa moja na yeye anakiri kwa kushuhudia kuchora mambo ya kishetani ansema anakanda huyo ni binadamu wakuongoza watu kweli no wonder wanyiramba maji ya vyura wao wanaona juice ya mwigulu
Sawa maana hapa tunachozungumzia chanzo kilichotuwekea habari kuwa
[h=2]Mtwara bado ngoma mbichi... Mkakati wa kukusanya kadi za ccm waanza[/h]je ni cha ukweli? au ni mtu tu kajitungia ili kuchochea na kuamsha hamasa, hayo ya mwigulu na ushetani wake wewe yaache KURA ATAZIKOMBA NA HAKUNA CHAMA KITAKACHOTIA MGUU KTK JIMBO LA SHETANI lazima atakuwa mjinga
MTWARA KUMEKUCHA: NG'ANYA LA GESI LINAENDELEA
Hii ndio link ya aliyebuni kadhia hiyo, sasa nipeni chanzo kingine sio habari za Mablog ya kutunga Udaku
[h=3]NG'ANYA LA GESI LINAENDELEA[/h]
Kwa wale ambao walikuwa wanadhani hali ni shwari na mambo yanaenda sawa, watakuwa wanajidanganya. Ng'anya hili bado linaendelea na bado watu wananung'unika katika mioyo yao. Hatua inayoendelea sasa hivi ni mkakati wa kukusanya kadi zote za CCM na kuwarudishia wenyewe, huku mambo mengine yakiendelea. Tarehe 29/05/2013 ingawa taarifa sio rasmi
 
Kwasababu serikali haitaki kushauriwa walakusikia la mtu zaidi ya bomba la gesi kupelekwa tanzania basi tanzania itangaze vita na mtwara maana haka kanchi kadogo hivi hakawezi kikataa bomba lisiende tanzania
 
Hivi mtu mwenyeakili timamu unapomsikia mwenzako mwenyeakili timamu anakuambia gesi kwanza uhai baadae unamfikiriaje au mnadhani wana mtwara wamevuta bangi?
 
acha uchochezi gwanda la kaki wewe
najua hamna wasiwasi,zile risasi zote unafikiri zitampiga nani?mbwa?paka?au chamaki nchanga?wanajeshi wenyewe ukiwa search majumbani mwao utawakuta na kadi za magamba kwa ajili ya kusubiria nafasi za ukuu wa wilaya nk.
 
Back
Top Bottom