Mtwara: Askari saba wanaotuhumiwa kumuua mfanyabiashara na kupora fedha wafikishwa Mahakamani

huyu wa kwanza upande kulia ndiye alimnyooshea bastola NAPE! sasa wananyea debe maisha

Anaitwa Nani huyo kama unamjua ndiye yeye? Maana watu wote naona hamna uhakika kabisa na ni nani kati ya hao saba? Na ikumbukwe kati ya hao saba karibu wote hao ni wakubwa na wakuu wa vitengo ...hebu tueleze anaitwa nani huyo?
 
Wala hasomi alama za nyakati, Siro ataondoka kwa aibu kama walivyoondoka Magufuli, Ndugai, Sabaya, Paul Makonda na washenzi wenginewe wote wa Utawala wa Fashisti Magufuli

Kama ni ufashisti basi hakuna asiye fashisti ndani ya CCM .....

Askari wa CCM awezi kulenga risasi zaidi ya tatu akakosa-Samia Suluhu!
 
Maofisa 7 wa Jeshi la Polisi mkoani Mtwara wanaotuhumiwa kufanya mauaji ya mfanyabiashara wa madini, Musa Hamis (25), wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mtwara kwa ajili ya kesi yao kutajwa.

Waliofikishwa Mahakamani ni:

1. Mrakibu wa Polisi Gilbert Kalanje -Mkuu wa Upelelezi wa wilaya ya Mtwara,

2. Mrakibu Msaidizi wa Polisi Charles Onyango - Mkuu wa Kituo cha Polisi Mtwara,

3. Mrakibu wa Polisi Msaidizi Nicholaus Kisinza - Mkuu wa Kikosi cha Intelejensia ya Jinai mkoa wa Mtwara,

4. Mkaguzi wa Polisi John Msuya Mganga - Mkuu wa Zahanati ya Polisi Mtwara,

5. Mkaguzi wa Polisi Msaidizi Marco Mbuta,

6. Mkaguzi wa Polisi Shirazi Mkupa na

7. Koplo Salimu Juma Mbalu.

Hata hivyo wanahabari wamezuiwa kuingia katika chumba cha Mahakama

Kesi hiyo imeahirishwa hadi 22/02/2022

Pia soma
- Mtwara: Maafisa Saba(7) wa Polisi wafikishwa Mahakamani kwa tuhuma za mauaji ya Kijana aliyekuwa akiwadai zaidi ya Tsh milioni 33.7

Mtwara: Askari Polisi mmoja kati watuhumiwa wa mauaji ya mfanyabiashara alikutwa mahabusu akiwa amejinyonga tarehe 22 Jan 2022

- SIMULIZI: Mauaji ya Mfanyabiashara Musa Hamis Mtwara, Machozi na Damu
Kwanini walimuua mtu asiye na hatia?
 
Hivi yule Askari aliyekufa siku moja na dogo mfanyabiashara alikataa kushiriki tukio au?
Alikubali yaishe. Ila kwa kadri ilivyo maiti haiongei. Waswahili wanasema kufa kufaana. Kila kitu kitaelekezwa kwa yule askari marehemu ili wao wajinasue na hilo janga.
 
Anaitwa Nani huyo kama unamjua ndiye yeye? Maana watu wote naona hamna uhakika kabisa na ni nani kati ya hao saba? Na ikumbukwe kati ya hao saba karibu wote hao ni wakubwa na wakuu wa vitengo ...hebu tueleze anaitwa nani huyo?
inaonyesha we ni mbishi Sana,kwani umeambiwa yeye hana cheo kwakuwa alimtishia Nape bastola!

ndio huyo uache ubishi kaka angu
 
inaonyesha we ni mbishi Sana,kwani umeambiwa yeye hana cheo kwakuwa alimtishia Nape bastola!

ndio huyo uache ubishi kaka angu

Ana cheo gani naanaitwa nani kati ya hao?

Nikukumbushe kuwa zilishaletwa hapa habari za aliyemtishia Bastola Nape anaitwa Ally Mbuta na ni mmoja wa wanaoshitakiwa kwa case ya mauaji habari hii ilirepotiwa na mwananchi!
Nenda kwenye uzi wa gazeti la mwananchi...

Ukweli ni kwamba si gazeti la mwananchi wala wana jf wenye uhakika na hili jambo ndio maana kila mtu anahisi na kubahatisha hakuna mwenye uhakika!
 
Maofisa 7 wa Jeshi la Polisi mkoani Mtwara wanaotuhumiwa kufanya mauaji ya mfanyabiashara wa madini, Musa Hamis (25), wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mtwara kwa ajili ya kesi yao kutajwa.

Waliofikishwa Mahakamani ni:

1. Mrakibu wa Polisi Gilbert Kalanje -Mkuu wa Upelelezi wa wilaya ya Mtwara,

2. Mrakibu Msaidizi wa Polisi Charles Onyango - Mkuu wa Kituo cha Polisi Mtwara,

3. Mrakibu wa Polisi Msaidizi Nicholaus Kisinza - Mkuu wa Kikosi cha Intelejensia ya Jinai mkoa wa Mtwara,

4. Mkaguzi wa Polisi John Msuya Mganga - Mkuu wa Zahanati ya Polisi Mtwara,

5. Mkaguzi wa Polisi Msaidizi Marco Mbuta,

6. Mkaguzi wa Polisi Shirazi Mkupa na

7. Koplo Salimu Juma Mbalu.

Hata hivyo wanahabari wamezuiwa kuingia katika chumba cha Mahakama

Kesi hiyo imeahirishwa hadi 22/02/2022

Pia soma
- Mtwara: Maafisa Saba(7) wa Polisi wafikishwa Mahakamani kwa tuhuma za mauaji ya Kijana aliyekuwa akiwadai zaidi ya Tsh milioni 33.7

Mtwara: Askari Polisi mmoja kati watuhumiwa wa mauaji ya mfanyabiashara alikutwa mahabusu akiwa amejinyonga tarehe 22 Jan 2022

- SIMULIZI: Mauaji ya Mfanyabiashara Musa Hamis Mtwara, Machozi na Damu
1. Mrakibu wa Polisi Gilbert Kalanje -Mkuu wa Upelelezi wa wilaya ya Mtwara,

2. Mrakibu Msaidizi wa Polisi Charles Onyango - Mkuu wa Kituo cha Polisi Mtwara,

3. Mrakibu wa Polisi Msaidizi Nicholaus Kisinza - Mkuu wa Kikosi cha Intelejensia ya Jinai mkoa wa Mtwara,

4. Mkaguzi wa Polisi John Msuya Mganga - Mkuu wa Zahanati ya Polisi Mtwara,

5. Mkaguzi wa Polisi Msaidizi Marco Mbuta,

6. Mkaguzi wa Polisi Shirazi Mkupa na

7. Koplo Salimu Juma Mbalu.

Nimemkumbuka inspector Bageni wa Oysterbay anayesubiri kunyongwa hadi kufa kwa kesi kama hii hii ya kupora pesa za madini na kuwadungua wamiliki wake
 
Duh yaani majamaa wanaonekana kabisa walikuwa wana vyeo hizi tamaa hizi jamani
1. Mrakibu wa Polisi Gilbert Kalanje -Mkuu wa Upelelezi wa wilaya ya Mtwara,

2. Mrakibu Msaidizi wa Polisi Charles Onyango - Mkuu wa Kituo cha Polisi Mtwara,

3. Mrakibu wa Polisi Msaidizi Nicholaus Kisinza - Mkuu wa Kikosi cha Intelejensia ya Jinai mkoa wa Mtwara,

4. Mkaguzi wa Polisi John Msuya Mganga - Mkuu wa Zahanati ya Polisi Mtwara,

5. Mkaguzi wa Polisi Msaidizi Marco Mbuta,

6. Mkaguzi wa Polisi Shirazi Mkupa na

7. Koplo Salimu Juma Mbalu.

Kasoro huyo wa mwisho
 
Polisi wanaua watu wengi sana bila hatia.
Walishajiona wako juu ya sheria.
Ajabu iliyoje wakituhumiwa mauaji, wao pia ndiyo wanafanya uchunguzi. Katika hali hii unataraja nini?
 
Ata yule jamaa wa chunya yule sidhani kama alikuwa na hatia there is some thing behind his death ndo ulimwengu wa sasa pesa imekuwa na thaman kuliko uhai mtu bora akuue achukue ulichonacho
 
Maofisa 7 wa Jeshi la Polisi mkoani Mtwara wanaotuhumiwa kufanya mauaji ya mfanyabiashara wa madini, Musa Hamis (25), wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mtwara kwa ajili ya kesi yao kutajwa.

Waliofikishwa Mahakamani ni:

1. Mrakibu wa Polisi Gilbert Kalanje -Mkuu wa Upelelezi wa wilaya ya Mtwara,

2. Mrakibu Msaidizi wa Polisi Charles Onyango - Mkuu wa Kituo cha Polisi Mtwara,

3. Mrakibu wa Polisi Msaidizi Nicholaus Kisinza - Mkuu wa Kikosi cha Intelejensia ya Jinai mkoa wa Mtwara,

4. Mkaguzi wa Polisi John Msuya Mganga - Mkuu wa Zahanati ya Polisi Mtwara,

5. Mkaguzi wa Polisi Msaidizi Marco Mbuta,

6. Mkaguzi wa Polisi Shirazi Mkupa na

7. Koplo Salimu Juma Mbalu.

Hata hivyo wanahabari wamezuiwa kuingia katika chumba cha Mahakama

Kesi hiyo imeahirishwa hadi 22/02/2022

Pia soma
- Mtwara: Maafisa Saba(7) wa Polisi wafikishwa Mahakamani kwa tuhuma za mauaji ya Kijana aliyekuwa akiwadai zaidi ya Tsh milioni 33.7

Mtwara: Askari Polisi mmoja kati watuhumiwa wa mauaji ya mfanyabiashara alikutwa mahabusu akiwa amejinyonga tarehe 22 Jan 2022

- SIMULIZI: Mauaji ya Mfanyabiashara Musa Hamis Mtwara, Machozi na Damu
Uhai ulishushwa thamani sana awamu iliyopita. Walizoea kula nyama za watu hawa. Nyonga hadi wafe.
 
Anaitwa Nani huyo kama unamjua ndiye yeye? Maana watu wote naona hamna uhakika kabisa na ni nani kati ya hao saba? Na ikumbukwe kati ya hao saba karibu wote hao ni wakubwa na wakuu wa vitengo ...hebu tueleze anaitwa nani huyo?
haya kataa na hapa

Screenshot_20220209-125509.png
 
Ana cheo gani naanaitwa nani kati ya hao?

Nikukumbushe kuwa zilishaletwa hapa habari za aliyemtishia Bastola Nape anaitwa Ally Mbuta na ni mmoja wa wanaoshitakiwa kwa case ya mauaji habari hii ilirepotiwa na mwananchi!
Nenda kwenye uzi wa gazeti la mwananchi...

Ukweli ni kwamba si gazeti la mwananchi wala wana jf wenye uhakika na hili jambo ndio maana kila mtu anahisi na kubahatisha hakuna mwenye uhakika!
kumbuka Nape ni waziri, na kwaiyo hawezi kushindwa kujua kwamba mbaya wake pia amehusika kwenye case ya mahuaji,huyo alikuwa OC-CID huko kusini kaka angu
 
Back
Top Bottom