wanaenda kutawadhia...... maana vyombo vya vyoo vya uma au vinavyotumiwa na watu wengi haviaminiki usafi wake...... hivyo heri kutumia tissue kuliko kwenda kuzoa yakuzoleka...
Sasa maana ya ku-PM ni nini? Au nawe wataka kujua
Maumbile ya wanawake na wanaume ni tofauti.... aendapo msalani tissue ni muhimu saana. Ila tu hao wanaoenda Counter wanatuchafulia image, ndio maana mikoba yetu ni mikubwa for kweli kabisa a lady hatakiwi akose tissue kwenye mkoba wake. IMO Kuenda counter kuchukua hizo napkin ni kujichora saana. Ndio maana katika bar hizi zenye hadhi kubwa huwezi kosa tissue msalani.... Hizi zenye hadhi ndogo huna hata haja ya kuweka, dada wa kwanza tu akija na kuona ipo pale anaibeba na kuweka kwenye mkoba wake.
Hapa ndio hua nachoka na wabongo, yaani ustaarabu ni 0%
duuh napita tu jamani!
Kiongozi watu wanaiba mpaka tuspiki bar
Kiongozi watu wanaiba mpaka tuspiki bar
sio tuspiki.....ni tustiki....
Counterman, akiku-PM, naomba uni-PM na mimi nataka kojoa... sorry I mean nataka kujuaBana am interested...ni PM basi
Kiongozi watu wanaiba mpaka tuspiki bar
Kiswahili sahihi vinaitwa VIMBAKA!sio tuspiki.....ni tustiki....
Chupa na glass ndo usiseme wanadada wanasunda kwenye mikoba
Unamtembelea mtu unakuta nyumbani kwake ana glass za Serengeti, Opener ya Safari lager unajiuliza huyu mama anafanya kazi TBL au SBL? kumbe akinywa mhudumu akizubaa anasunda kwenye mkoba na kuondoka navyo wengine mpaka vijiko
Kiswahili sahihi vinaitwa VIMBAKA!
Watakuwa wanasumbuliwa na ugonjwa huu?........Kleptomania (Psychiatry)-a strong impulse to steal, esp when there is no obvious motivation
wanaenda kutawadhia...... maana vyombo vya vyoo vya uma au vinavyotumiwa na watu wengi haviaminiki usafi wake...... hivyo heri kutumia tissue kuliko kwenda kuzoa yakuzoleka...
Inasikitisha sana dada kuiba kijiko bar
Kuna wengine wanakuja hata mara kumi kaunta......sijui wana uharo wa mkojo