Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,842
- 10,765
- Thread starter
- #21
Ndio maana nimemjibu pia kuwa ni sawa na kumtuhumu Mwenyezi Mungu kutotoa ishara.Hili swali nimejiuliza ila nikajijibu kuwa mawazo ya Mungu si kama mawazo yangu mimi mwanadamu.................... 🙁
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk