1. Mkuu wangu kwa nini iliwekwa kwani?
So,kwa mujibu wako tunakosea kutengeneza barabara kwakuwa hazikuwepo mwanzo?
2. Kwani experience inatokea wapi?
Hata kama inatokana na kujifunza
Je hii inaweza kuwa faida ya mwanamke kuwa na bikra kweli?
3. Kwani maana yake ni nini?
Nini maana yake nini?
4. kwani hao wenye uzoefu walianzia wapi labda?
Waliipata mwanzo wa kuanza kujamiiana
Lakini bado ahielezi faida ya mwanamke mwenye bikra ni ipi
5. Na huo uzoefu unapatikanaje kwani, kwani lazima ubadili wengi ndio upate uzoefu?
Mkuu,kuna uhusiano mkubwa kati ya wengi na uzoefu
6. Kuna connection gani kati ya m/ume na m/ke wakifanya ngono?
Sidhani kama nimeelewa context ya hili swali
Je akiwa amekutana kimwili na watu kumi tofauti kuna connection yoyote kati yao?
Mkuu hii mambo ya connectiona inakujaje?
Nini lengo na mahusiano na hii mada?
kama ipo nini athari zake?
Mkuu,kama kuna connectiona sijui lakini kama ipo inatakiwa wewe uniambie inakujaje na inahisiana vipi na hii mada
Ukishaniambia hivyo ndio uniambie kama ina athari ama hakuna
Halafu uniambie hizo athari ni zipi kama zipo
na inaondokaje kama huwa inaondoka??
Mkuu sijajua kama hii kitu ipo nitatoje jibu la swali hili?
Kikishaweza kujibu haya maswali kwa uaminifu ndio faida zake ziliko.
Nimejibu na bado sijapata majibu
Tumetoka kwenye misingi tunaongozwa na Tamaa/fashion/kukosa uvumilivu/uvivu wa kutumia akili/mkumbo etc
Hili linawezekana
Lakini sidhani kama ni hoja hapa
Hoja ni kama kuna changamoto kwa mtu kuoana na mtu bikra ama la!