Mtumba vs Mpya....!!!!!!!!!!!!

Mtumba vs Mpya....!!!!!!!!!!!!

Nasikiaga eti huwa wanatumia sana meno
Hasa sehemu za kifuani huwezi kutoka salama ukiwa na kazi ya kuitoa hiyo bikra
CC: Smile
acha kabisa nina makovu mawili kisa mabikra.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa hilo ndo takwa langu...

Vigezo na masharti kuzingatiwa...

Nifafanulie bana ili nijue!
Au hutaki kutufundisha namna ya kuingiza "mbuzi" zizini sisi tusiojua?
 
Kwahiyo kama mtu ni bikra asitarajie kupata huduma kwako kirahisieee!!!!!!
Uchovu unaondoka tena kwa wiki moja tu!!!!

Unajua mipango siyo matumizi....mambo yanaweza badilika so...naweza nisimsumbue.....

Ikiwa hvyo basi huo uchovu utakuwa siyo kilema tena.......tatizo moja litakuwa limetatuka....
 
Unajua mipango siyo matumizi....mambo yanaweza badilika so...naweza nisimsumbue.....
Ikiwa hvyo basi huo uchovu utakuwa siyo kilema tena.......tatizo moja litakuwa limetatuka....

Tatizo lingine ambalo hilipendi ambalo wanakuwa nao mabikra wa kiume ni lipi?
 
Kweli kidigitali zaidi.......enzi hizo binti kutokua Bikra ilikua aibu....ila siku hizi.....wenyewe wanakwambia Shakewell b4 matumizi!
 
Kweli kidigitali zaidi.......enzi hizo binti kutokua Bikra ilikua aibu....ila siku hizi.....wenyewe wanakwambia Shakewell b4 matumizi!

Mtazamo wako ni upi kuhusiana na hii kitu?
 
meno na kucha.

Ha,ha,ha,ha,ha,ha,haaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!
Kuna jamaa ana ramani ya ukweli shingoni anadai ni kutokana na hii kitu...lol!!!!!
 
Back
Top Bottom