Mtumba vs Mpya....!!!!!!!!!!!!

Mtumba vs Mpya....!!!!!!!!!!!!

Nifafanulie bana ili nijue!
Au hutaki kutufundisha namna ya kuingiza "mbuzi" zizini sisi tusiojua?

Notes zangu zimeishia hapo....ngoja wengine waje kukufundisha mwe...
 
Notes zangu zimeishia hapo....ngoja wengine waje kukufundisha mwe...

Acha hizo bana
Mbona wanibania mtoto wa mwanamke mwenzio?

Waniacha na maham ujue....lol!!!!!!!!!
 
Kwakweli maishani mwangu nimetoa bikra mbili tena wotd wakiwa high school, but i didn't enjoy at all. Mi kiufupi nataka yule ambaye yuko expirienced, wengine tushazoea hard sex sasa bikra dah..hapana!!
 
Mi niling'atwa shingoni, ila kovu lilishafutikaga. Mtaani walinitania kweli eti oh ''naona una love bite ya kudumu''

Inaonekana kila mtu ana alama ya hii kitu

Inamaana huwataki tena kwasababu ya kuwekewa alama?
 
Kwakweli maishani mwangu nimetoa bikra mbili tena wotd wakiwa high school, but i didn't enjoy at all. Mi kiufupi nataka yule ambaye yuko expirienced, wengine tushazoea hard sex sasa bikra dah..hapana!!
Mkuu inamaana umezoea kuzisimamia kama njenje?[baiskeli]
 
Kifupi mkuu tamaa imetawala akili sana. Watu wanafikiri kwa tamaa na kwa hisia.

What on Earth upate mwanamke Virgin ulalamike? Hizi akili tumepewa za kwendea interview na kuwatumikia waajiri tu sio????? na kuendea counter labda...... Shame!!!!


Leo wakati nakuja hapa nilipo muda huu nilikuwa nimeongozana na wadada kama wa-4 hivi inaonekana wanaishi jirani na wanakofanyia kazi au kuishi ni kumoja

Wadada hawa walikua na story iliyovuta masikio yangu na kunifanya nipunguze spidi ili niendelee kuwasikiliza kwa kuwa tulipokuwa pana ka umbali kidogo hadi ufikie kituo cha usafiri wetu wa umma[Hiace/daladala/vifordi]

Wadada hawa walikuwa wanamzungumzia mwenzao ambae inaonekana siku za karibuni ataolewa

Tatizo halikuwa kuolewa bali anaemuoa
Inasemekana kuwa huyo mume mtarajiwa wa rafiki wa hao akina dada hajawahi kufanya ngono,yaani ni bikra wa kiume
Wadada wale walikuwa wanamlaumu mwenzao kwa kutokusikiliza maelekezo yao kwa kukataa kuolewa na huyo jamaa kwakuwa ni "mshamba" yaani hayajui mapenzi kitendo kitakachomfanya rafiki yao aanze kutembeza shule kwa huyo mume namna ya kugegeda kitendo ambacho wale wadada hawakukubaliana nacho

Walionekana kukerwa sana na walikuwa wanasema wao hawawezi kuja kuolewa au kuwa na mahusiano na mwanaume wa aina hiyo

Story hiyo ikanikumbusha miezi kadhaa iliyopita nilikuwa nazungumza na jamaa zangu kuhusiana na suala hili ambapo kuna jamaa alikuja kutulalamikia kuhusiana na mkewe kutokujua mapenzi kwa sababu alimkuta bikra

Jamaa yetu yule alionekana kukereka sana na alifikia kusema kama angejua asingemuoa
Kati ya vijana tuliokuwa pale watatu walikubaliana na yule jamaa
Nilishangaa!

Nilidhani kuwa kama ukimkuta mwanamke sio used basi unafurahi kumbe sio

Sasa nikiunganisha na hili tukio la leo naona hili jambo kama linakua flani hivi,yaani huenda hili suala hapo siku za nyuma lilikuwepo lakini inaonekana linachukua kasi mbaya

Nimeamua kulileta hapa ili nijue Wanaume wa hapa wanalichukuliaje suala hili
Pia wanawake nao wanalichukuliaje hili

Yaani kama kuna watu wawili ambao unatakiwa uchague kati ya huyo mmoja awe mwenzi wako na mmoja ni used na mwingine sio,ungependa yupi awe mwenzi wako na kwanini?

Watu wa siku hizi inaonekana hawapendi masuala ya kuanza kufundishana,wanataka watu ambao ni waalimu tayari

Inaonekana sisi mabikra tutaipata mwaka huu....lol!

Naomba mchango wako tafadhali!
 
Una uhakika huyo mzoefu ataridhika na kiwango chako?
Hatari ya takwa lako ni moja, huyo utayempata atakulinganisha na waliopita na ole wako usikidhi viwango alivyowahi kutana navyo...

Kuna uzi nimetoka kuusoma hapa MMU muda si mrefu umewekwa na mtu anajiita 'blogger' akilalama kuwa haiwezekani kuishi pasipo kidumu simply kwa kuwa kaamua kufanya comparison badala ya kurekebisha kile alichonacho...

nimekuelewa.
 
Mkuu chura anyoshi goti hivo lazima aruke kichura!

Mkuu unadhani ni kwanini hata makazini wanahitajika wenye uzoefu?

Kila mtu anaweza kutwanga kinu lakini je unatwangaje ndio hoja!
 
Acha hizo bana
Mbona wanibania mtoto wa mwanamke mwenzio?

Waniacha na maham ujue....lol!!!!!!!!!

Hahaaaa usiniache hoi.......ngoja nitafute notes zingine labda ntazibamba mahali...
 
Kifupi mkuu tamaa imetawala akili sana. Watu wanafikiri kwa tamaa na kwa hisia.

What on Earth upate mwanamke Virgin ulalamike? Hizi akili tumepewa za kwendea interview na kuwatumikia waajiri tu sio????? na kuendea counter labda...... Shame!!!!

Mkuu hebu funguka utuambie ni kwanini ukute bikra usilalamike
Hebu tupe hizo faida za kuwa na mwanamke bikra ili tuelimike!
 
Back
Top Bottom