Mtumba vs Mpya....!!!!!!!!!!!!

Mtumba vs Mpya....!!!!!!!!!!!!

Hao wenye uzoefu wanakuwa wamepata wapi kama hawakufundishwa, kwanini usiwe miongoni mwa walimu ili na wengine wajivunie kupata wenye uzoefu kama wewe unavyofurahia.

Hakuna uzoefu kwenye real love ila with satanic love ipo. Love is fresh and tender haijui experince wala history husahau yote na kuridhika.
 
...mkuu leo ndo nimegundua mambo mengi sana, kwanza nimepata majibu ya kwanini nzi hupenda vinavyonuka, pili sababu ya watu wengi kutoka nje ya ndoa maana jasiri haachi asili and vice versa,tatu asili ya moyo wa hatia kwa mwanadamu afanyapo jambo lililo nje ya vile anapaswa haupo tena...! hiii kwangu ni kama research ya moja ya vyanzo vya migogoro ya ndoa...

Tushirikishe majibu yako na sisi
 
Khaaa!
Kumbe kaka Eiyer nawe ni bikra bado!!!
...
Ndio maana unalia-lia unaumizwa! Kumbe huwagongi ee?
Hihihihihiiii!
...
Back to topic.
Mimi nikipata bikra nitafurahi sana, sana, sana!
Nitamfundisha!
...
Ukisema wengine si waelewa, hilo ni tatizo hata kwa hao vibwawa!
 
mie nataka bikra nimpe mambo asihangaike hukoo. teheeeeee!
 
Kama hujui kesho naja kukuchumbia halafu mimi bikra
SITARAJII MASWALI

Huwa nasikiaga eti sijui wanaingizaga sijui wapi
Mi nashangaaga tu kikojoleo changu kinavimba mara nyingi nikiona maeneo fulani ya wanawake
Na mara nyingi asubuhi huwa kinanisumbua sana

Natumai kwako nitakuwa na uhuru wa kusema kile nisichokijua

CC: Heaven on Earth , Husninyo .....lol!!!!

naona darasa langu limeanza kukuingia taraatibuu. bwana asifiwe!
 
Zamani bikra alikuwa na thamani maana kulikuwa na uvumilivu na upendo wa kweli,mahusiano yalibebwa na mengi na tendo la ndoa lilikuwa ni sehemu tu ya mahusiano.
Siku hizi hata uwe na bikra 6,utaambulia kuitwa mshamba,learner na lazima atafute experienced pembeni atakakomaliza mibinjuko yote huko.
 
Una uhakika huyo mzoefu ataridhika na kiwango chako?
Hatari ya takwa lako ni moja, huyo utayempata atakulinganisha na waliopita na ole wako usikidhi viwango alivyowahi kutana navyo...

Kuna uzi nimetoka kuusoma hapa MMU muda si mrefu umewekwa na mtu anajiita 'blogger' akilalama kuwa haiwezekani kuishi pasipo kidumu simply kwa kuwa kaamua kufanya comparison badala ya kurekebisha kile alichonacho...

Hivyo bora upate mali yako "mpya" ujue jinsi ya kutumia ama'?
 
pasina shaka wazinzi utawajua tu ! ikiwa si kwa matendo, maneno,yao na fikra zao zinatosha kuwabaini

utamu wa embe uliondoe ganda mwenyewe! ndipo wawezza linyonya vizuri na kulitafuna upande upande na kuchezesha ulimi pande zote bila kuhofia mate ya mwenzio!

NI MAONI TU WAKUUU
 
pasina shaka wazinzi utawajua tu ! ikiwa si kwa matendo, maneno,yao na fikra zao zinatosha kuwabaini

utamu wa embe uliondoe ganda mwenyewe! ndipo wawezza linyonya vizuri na kulitafuna upande upande na kuchezesha ulimi pande zote bila kuhofia mate ya mwenzio!

NI MAONI TU WAKUUU

na ww upo kundi la wazinzi ama?
 
Back
Top Bottom