Una uhakika huyo mzoefu ataridhika na kiwango chako?
Hatari ya takwa lako ni moja, huyo utayempata atakulinganisha na waliopita na ole wako usikidhi viwango alivyowahi kutana navyo...
Kuna uzi nimetoka kuusoma hapa MMU muda si mrefu umewekwa na mtu anajiita 'blogger' akilalama kuwa haiwezekani kuishi pasipo kidumu simply kwa kuwa kaamua kufanya comparison badala ya kurekebisha kile alichonacho...
Uvumilie na ukubali yepi hayo murembo?
Hayo ya kuvumilia na kukubali ndio yapi?
mmmmh!!! sijui ..
Hao ambao wanaponda bikra ..hawana lolote zaid ya sizitaki mbichi hizi!