FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,063
- 40,724
Nenda jamii intelligence soma thread yenye heading " Top secret: waraka namba.......", utaona mfano wa Uingereza na Iran.Hebu elezea kivipi...utaweza kutusaidia sana.......
Nenda jamii intelligence soma thread yenye heading " Top secret: waraka namba.......", utaona mfano wa Uingereza na Iran.Hebu elezea kivipi...utaweza kutusaidia sana.......
Kwakuchangia kidogo naomba ondoa neno Mtukufu na ufanye Muheshimiwa!
Jiulize wewe kwanza ninan!!!Acha jeuri... We ni nani wa kutoa Onyo, kua na heshima kijana...
Jiongeze, hayo yote yanahitaji pesa, wakikukazia kwa vita ya chini chini utashangaa bei za soko la dunia za kahawa, pamba na vyanzo vingine vya mapato zinashuka, ili ukose pesa ya kutimiza mahitaji kama hayo, then wananchi wakishakuchukia inakua rahisi kuku force kitekeleza matakwa yao, ukizidi kiwagomea na wao ndio wanazidi kukaza uzi ili maisha yawe magumu uchukiwe zaidi, wengi imepelekea hata kupinduliwa na wanachi waoKumbe watu wa magharibi ndo wamebana ajira, mikopo? Kumbe ndo walobana watu kupanda madaraja, mshahara nk? Eheeeee
Mimi ni boss wake niliyempa nafasi ya kunitumikia vyema, leo analeta jeuli?? Walioomba hiyo kazi kwangu ni wangi ila yeye akalilia hadi kapiga pushapu.Acha jeuri... We ni nani wa kutoa Onyo, kua na heshima kijana...