tanga kwetu
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 2,193
- 1,434
kuna mtu kaongelea kuchelewa kwa mishahara hapa? hii mishahara ambayo haijapanda tangu aikute? mishahara ambayo almost yote ina one-third ambayo hazina kiutaratibu hawakubali kuikata zaidi lakini hawa jamaa wametubambikia deni la Bodi Ya Mikopo ya Elimu ya Juu wakakata hivyohivyo?Mbona mishahara inatoka mapema na wateja wana pesa. Faida ipo.