Mtukufu mimi ni kati ya wale shetani wako nisikilize japo kidogo

Wewe kwakuwa unapata mshahara unadhani sote tunaishi kwa kutegemea mshahara????

Jishughulishe kijana kwa njia halali utaona matunda yake...kupiga kelele hakutakusaidia kitu zaidi ya kukuongezea stress za maisha
Hivi Tanzania hii wewe peke yako ndiyo unajishughulisha kwa njia halali? Hebu tuacheni unafki jamani maana serikali yenyewe imekiri mara kadhaa kuwa mzunguko wa fedha wa ndani ni mdogo sasa wewe huko kijutuma ukiwa ndani ya Tz na ukapata fa7da sijui unajituma vipi?
 
Unaporopoka hizi mambo bila utafiti wa familia kwa familia, utaharibu psychology yako na ya vizaz vyako. Imefika muda mtu akilalama tunamjua kwa chama chake maana mmezoea kulalama tuuuu, mkuu hawezz kukurupuka eti kisa awafurahishe nafsi zenu
 
Mtoa mada Fanya subira,tunaelekea pazuri maumivu haya ni ya muda tu,nchi yetu ilitafunwa sana na maadui zako na ambao nami ni maadui zangu na watanzania wote pia,maneno yako yanaonesha hauko tayari kuipigania echo yako,umekata tamaa
 
Wewe kwakuwa unapata mshahara unadhani sote tunaishi kwa kutegemea mshahara????

Jishughulishe kijana kwa njia halali utaona matunda yake...kupiga kelele hakutakusaidia kitu zaidi ya kukuongezea stress za maisha
Unajua kujishughulisha? Nafikiri huo mshahara unaopokea ndiyo unaokupa kiburi.
Kuongea ni rahis sana na ukitaka kujua utamu wa ngoma, uingie ucheze.
Hongera yako, awamu hii wanatoa majibu mepes sana kuliko hali halisi.
Eti mkajiairi, au mjishughilishe wakat ww ajira yako ikiyumba tu unaenda mpaka kwa waganga wa kienyeji.
Ningewaona bora sana km walioko serikali wenye umri wa miaka 35 wangestaafu na kuwaachia wengine
#CHOMAKADICCM#
 
MUNGU atusaidie. Je nani anahusika kufikia hali hii? ninavyo fahamu hali yoyote nzuri au mbaya hutegemea sisi wenyewe. Yaani maamuzi yapo mikononi mwetu.
Watanzania wengi wanalalamikia ugumu wa maisha. Wanaoona maisha kwa sasa yako vizuri nao ni watanzania wenzetu "wasio wapiga dili".

Wakulima vijijini, ambao ndio idadi kubwa ya watanzania wote, wana dili gani? Sehemu kubwa ya nchi yetu ni nusu jangwa (arid), hazipati mvua za kutosha kupata mazao ya kilimo bila kusahau kuwa kilimo chenyewe ni duni. Wakulima nao wanategemea chakula cha kununua.

Watu wengi wanaoishi mijini wanapata mlo mmoja tu kwa siku ya mungu tofauti na ilivyokuwa katika utawala wa awamu ya nne. Uhitaji katika uchumi (demand) unamaanisha uwezo wa kipesa wa kununua mahitaji.

Kufanya biashara kumekuwa kugumu kwa sababu wahitaji hawana pesa. Serikali imefungia pesa. Hakuna mzunguko wa pesa wa kutosha.

Kwa maneno mengine hicho ndicho kinacholalamikiwa. Huu mdororo wa uchumi wa kutengenezwa ndio unaoumiza watanzania kwa dhana ya kunyoosha nchi ilihali uchumi haufanyi vizuri kwa mtanzania mmoja mmoja. Wakati watalamu wa uchumi wanaangazia uchumi mkubwa (macro economy), wasisahau uchumi unaogusa moja kwa moja maisha ya mwananchi "micro economy".

Inaelezwa kuwa mzunguko wa pesa ni kilainishi (grease) cha ukuaji wa uchumi. Tuseme w amepata kipato cha 5m/=. Akanunua vifaa vya 2m/=. Akamlipa y 1.5m/=. Y naye akamlipa z 1m/=. Kwa dhana ya " multiplier effect, jumla yote ya vipato ni 9.5m/=. Pengine y amemudu kumlipia mwanachuo ada, nk.
 
Hivi Tanzania hii wewe peke yako ndiyo unajishughulisha kwa njia halali? Hebu tuacheni unafki jamani maana serikali yenyewe imekiri mara kadhaa kuwa mzunguko wa fedha wa ndani ni mdogo sasa wewe huko kijutuma ukiwa ndani ya Tz na ukapata fa7da sijui unajituma vipi?
Kwahio usijitume mjomba wewe kaa tu nyumbani halafu usubiri Serikali ikujaze mapesa mifukoni...

Ni kweli hali ikiwa ngumu tunaililia Serikali ila namna pekee ya kupiga hatua ni kufanya kazi. Hakuna siri ya maendeleo yoyote ya nchi kama wananchi wake hawafanyi kazi.

Hata Mwalimu alisema kazi ni uti wa mgongo kwa maendeleo ya Taifa. Ukweli tumekuzwa ktk kuajiriwa sasa leo umwambie kijana kujiajiri inakuwa ni ngumu sana....yafaa tuanze kubadilika sasa kwani hata ajira za Serikalini ni kama zimejaa (e.g ualimu).

Tuiunge mkono Serikali ktk sera ya Tanzania ya Viwanda. Hapo ndipo tutakapoponea vijana wenzangu...zaidi ya hapo tutabaki kulalamika itaingia Serikali nyingine zaidi ya CCM napo tutalalamika tu kwani njaa haitaondoka.

Ni hayo tu mkuu

Sent from my SM-G900F using JamiiForums mobile app
 
Hela ya mb kwa kila siku, unaweza kuikusanya na kuifanya mtaji. Usifanye kila mtu ana mawazo finyu ya kudanganyika kama wewe!
We bwenyenye kweli rafiki yangu, tena! Bongo lala, hao wenye mitaji yao wameanza kufilisiwa, hata hao mama ntilie wanaorudisha vyakula nipesa hizo zimekosa mzunguko na kujizalisha ipasavyo, halafu unaleta mafikirio pumba au unatumia makalio kufikiria, hata nyakati huzion? Popular wanalalamika ww unaona wapiga domo nyie ndio mnaotakiwa kuchunguzwa siajabu unafanya biashara haramu.
 
We bwenyenye kweli rafiki yangu, tena! Bongo lala, hao wenye mitaji yao wameanza kufilisiwa, hata hao mama ntilie wanaorudisha vyakula nipesa hizo zimekosa mzunguko na kujizalisha ipasavyo, halafu unaleta mafikirio pumba au unatumia makalio kufikiria, hata nyakati huzion? Popular wanalalamika ww unaona wapiga domo nyie ndio mnaotakiwa kuchunguzwa siajabu unafanya biashara haramu.
Una akili za kipuu.zi sana, unashindwa kuona logic nyuma ya matumizi ya Bundle kwa siku? Mtu alie na uwezo wa kununua bundle kwa siku, anao uwezo wa kupata mtaji maana kama angekuwa na shida, priority isingekuwa bundle la kuingia jamii forum kila siku, angetumia hiyo hela kwa chakula chake na familia yake. Pia endapo akiacha kuperuzi, hiyo hela ya bundle ya kila siku akiibana kwa miezi mitatu, anao uwezo wa kufungua biashara ya kuuza samaki, bustani ya mboga za majani, ufugaji wa kuku wa kienyeji au kuuza matunda. Upo?
Hao wenye mitaji wanaofilisiwa ni wakina nani? Unaweza kuwataja? Wanafilisiwa kivipi maana kwa taarifa yako, mimi ni mfanyabiashara mwenye facets nyingi za shughuli na sijaona mtu yeyote akija kunifilisi. Biashara zangu zinarange kuanzia kwenye comsultancy, hadi kwenye usambazaji na nilianzia chini lakini sijaona mfanyabiashara halali akifilisiwa, labda wewe utwambie leo huo uvumi unaotaka kuuanzisha umeutoa wapi?
Mwisho, si kila anaepingana na mawazo dhoofu kama yako basi ni bwanyenye au mtu anaefanya magendo, wengine tunakerwa na watu kama wewe wanaopenda kujilizaliza kama watoto badala ya kujishughulisha. Mazingira hayawezi kuwa bora kwa asilimia mia moja kwa kila mtu, ndio maana unapaswa ujifunze kubadilika na hali na kujiadapt kuendana na changes, ndio maana wale wachache wenye bidii ndio unaowaona wana nafuu huku wale wepesi wa kukata tamaa na kujibwetesha wakiendelea kuogelea katika umasikini.
Hata ambako kuna utajiri wa hatari, bado utakuta ombaomba, nenda Saudia, Marekani, Uswizi, Ubelgiji, Ujerumani, Uingereza, mataifa yanayojulikana kuwa na utajiri wa ajabu na matajiri wengi, bado utakutana na watu kama wewe, wanaopenda kujiliza wakitegemea kuwa serikali itawapatia kila kitu na kuishia kukalia nguvu walizonazo na kuishia kuwa ombaomba.
Hapa Maduka hayafungwi, baa zinajaa, makahaba wananunuliwa, club zinakesha kila weekend, hao wanaotumia hizo hela wanazitoa wapi? Wafanyabiashara haramu? Wenye hizo biashara wananunua wapi bidhaa wanazouza madukani, vinywaji wanavyouza baa, nyama za kuchoma,chipsi n.k?
Acha ujinga.
 
2. Unaamini Serikali ingeendelea kuwaajiri wahitimu wote wa ualimu miaka yote?

3. Huo uzoefu wa kijeshi wa wanafunzi walionao kwanini usidhani kuwa wanaweza kuutumia kwenye kilimo na sio ujambazi mtsani?
4. Wazazi kuwa na chuki na Rais huo utafiti umeufanya lini na namna gani?

Nyie ndio watu mnaoiweka majaribuni JF yetu. Yani kinachokuja kichwani mnaomwaga tu hapa jukwaani.
Tuseme ukweli hii nchi Sasa unaongozwa na kilaza
 
Keahio nchi zote duniani wanawaajiri wahitimi wa vyuo vyao???

Kama wanashindwa kuwaajiri huwa wanawafuta kozi ambazo hazina ajira???

Serikali inatimiza wajibu wake kwa kuhimiza ujenzi wa viwanda. Ili tupate ajira...hivi kama nafasi za walimu wa masomo ya arts hazipo unataka Serikali iajiri ili iweje? Ikufurahishe tu? Halafu mwakani tena iwaajiri iwalipe mishahara...kodi zetu ziiishie kwenye mishahara...tutafika hapo????
Nani kasema hakuna uhaba? Wamesema bajeti, njooo shule za kigambon huku kila shule Ina mwalimu mmoja wa biashara Commerce and booking, zingine hazina, yaaan hapa ndo dar vp huko tandaimba? Tumia akili wewe, yaaani ccm wote vilaza kwa mtindo huu
 
Una akili za kipuu.zi sana, unashindwa kuona logic nyuma ya matumizi ya Bundle kwa siku? Mtu alie na uwezo wa kununua bundle kwa siku, anao uwezo wa kupata mtaji maana kama angekuwa na shida, priority isingekuwa bundle la kuingia jamii forum kila siku, angetumia hiyo hela kwa chakula chake na familia yake. Pia endapo akiacha kuperuzi, hiyo hela ya bundle ya kila siku akiibana kwa miezi mitatu, anao uwezo wa kufungua biashara ya kuuza samaki, bustani ya mboga za majani, ufugaji wa kuku wa kienyeji au kuuza matunda. Upo?
Hao wenye mitaji wanaofilisiwa ni wakina nani? Unaweza kuwataja? Wanafilisiwa kivipi maana kwa taarifa yako, mimi ni mfanyabiashara mwenye facets nyingi za shughuli na sijaona mtu yeyote akija kunifilisi. Biashara zangu zinarange kuanzia kwenye comsultancy, hadi kwenye usambazaji na nilianzia chini lakini sijaona mfanyabiashara halali akifilisiwa, labda wewe utwambie leo huo uvumi unaotaka kuuanzisha umeutoa wapi?
Mwisho, si kila anaepingana na mawazo dhoofu kama yako basi ni bwanyenye au mtu anaefanya magendo, wengine tunakerwa na watu kama wewe wanaopenda kujilizaliza kama watoto badala ya kujishughulisha. Mazingira hayawezi kuwa bora kwa asilimia mia moja kwa kila mtu, ndio maana unapaswa ujifunze kubadilika na hali na kujiadapt kuendana na changes, ndio maana wale wachache wenye bidii ndio unaowaona wana nafuu huku wale wepesi wa kukata tamaa na kujibwetesha wakiendelea kuogelea katika umasikini.
Hata ambako kuna utajiri wa hatari, bado utakuta ombaomba, nenda Saudia, Marekani, Uswizi, Ubelgiji, Ujerumani, Uingereza, mataifa yanayojulikana kuwa na utajiri wa ajabu na matajiri wengi, bado utakutana na watu kama wewe, wanaopenda kujiliza wakitegemea kuwa serikali itawapatia kila kitu na kuishia kukalia nguvu walizonazo na kuishia kuwa ombaomba.
Hapa Maduka hayafungwi, baa zinajaa, makahaba wananunuliwa, club zinakesha kila weekend, hao wanaotumia hizo hela wanazitoa wapi? Wafanyabiashara haramu? Wenye hizo biashara wananunua wapi bidhaa wanazouza madukani, vinywaji wanavyouza baa, nyama za kuchoma,chipsi n.k?
Acha ujinga.
Pointless, maelezo mengi lamaana hamna.
 
Nani kasema hakuna uhaba? Wamesema bajeti, njooo shule za kigambon huku kila shule Ina mwalimu mmoja wa biashara Commerce and booking, zingine hazina, yaaan hapa ndo dar vp huko tandaimba? Tumia akili wewe, yaaani ccm wote vilaza kwa mtindo huu
Sasa uwezo kama hauruhusu wafanyeje?

Kwani wamesema hawatawaajiri kabisa au wameamua waanze na hao wa sayansi kwanza na uwezo ukiruhusu kutegemea na mahitaji watawaajiri...sasa wewe kama unaona wanachelewa kalime mchicha uwe unaingiza senti...au anzisha tuition kwanza.
 
Back
Top Bottom