Mtuhumiwa wa uhujumu uchumi Lugola bado yupo nje, wengine wapo ndani, Sheria ipo vipande vipande?

Elice Elly

JF-Expert Member
Dec 9, 2018
1,268
1,593
Nchi ni moja, Bunge ni moja, Serikali ni moja, Jeshi la polisi ni moja inakuwaje watuhumiwa tofauti wenye tuhuma za aina moja wanashughulikiwa kwa mitindo tofauti?

Sheria zetu kuna baadhi ya watu zimewafanya kuwa special? Inakuwaje wengine waendelee kusota lupango huku upelelezi haujakamilika wengine tuhuma zao zipo wazi kabisa lakini wanaendelea kula Maisha uraiani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
... tuliambiwa uchunguzi umekamilika kwa 99.9%; nadhani inasubiriwa hiyo 0.1% ikamilike kabla ya kumchukulia hatua stahiki.
 
Serikali inayoongozwa na CCM haiwezi kumfunga au kumuweka ndani Lugola, kwa sababu ni Rafiki wa aliyempa madaraka hayo uko nyuma...na unamfungaje MTU anayejua A-Z zako?

Lakini pia, si umesikia wahujumu uchumi wao wanarudisha Pesa tu?

Kufungwa anafungwa mwizi wa kuku na Mpinzani .
 
Kwa awamu ya tano sheria zina macho, ukiwa ccm wewe unatamba tu.lugola alipaswa kuwa ndani, magu kambeba.wapinzani tokeni hadharani mkemee hill.
 
Kwa awamu ya tano sheria zina macho, ukiwa ccm wewe unatamba tu.lugola alipaswa kuwa ndani, magu kambeba.wapinzani tokeni hadharani mkemee hill.
Unahamasisha watu wakemee kwa ushahidi upi,wakati mwingine ukikaa kimya tu itakusaidia sana kwa kuwa huna unalolijua kwenye issue hiyo.
 
Unahamasisha watu wakemee kwa ushahidi upi,wakati mwingine ukikaa kimya tu itakusaidia sana kwa kuwa huna unalolijua kwenye issue hiyo.
Mkuu mpinge kwa hoja, leta/weka ushahidi wa alichoandika. Vinginevyo na wewe unapenda tu ligi.
 
Unahamasisha watu wakemee kwa ushahidi upi,wakati mwingine ukikaa kimya tu itakusaidia sana kwa kuwa huna unalolijua kwenye issue hiyo.
We unajua nn zaidi ya kulamba viatu vya watawala tu Mkuu.tulidai Uhuru ili kuwe Na usawa Mkuu.
 
Back
Top Bottom