Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 29,306
- 83,749
Sasa hata kwa sisi wanawake tukipata wanaume waaminifu na wapole tunaanzaje kuwa wajeuri na wakorofi?Sasa mke kama Madam S unaanzaje kumsaliti aisee, mtoto anajua nini kitu mapenzi namna hio. Hapo mida ya jiji letu tu nipo mjengoni yani nacheza na mdoli wangu.