Zee la madawa
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 1,728
- 4,075
Napata shida kuwaelewa watu au ni chuki tu kwa hawa wachaga au nini utakuta mtu anasema au anadiriki kuzungumza kwamba wachaga ni wabinafsi na wachoyo wanapendeleana wao kwa wao how kivipi?
Kiukweli nimefanya kazi na wachaga kiukweli wachaga ni watu poa sana kuliko wale watu kanda ya ziwa mimi sikuwa miongoni mwao wa huko kwao ila kupitia wachaga nilipata connection ya kazi kwasababu ya hao wachaga na aliweza kunisimamia nisiondolewe kazini hao hao wachaga sasa unasema wachaga ni wabinafsi na wana roho mbaya?
Kuna wale wa kanda ya ziwa maarufu kidogo hawa watu wana roho mbaya, ubinafsi,majungu na unafiki nashangaa kwanini wanasema ni wastaarabu wakati hovyo tu.
Kiukweli nimefanya kazi na wachaga kiukweli wachaga ni watu poa sana kuliko wale watu kanda ya ziwa mimi sikuwa miongoni mwao wa huko kwao ila kupitia wachaga nilipata connection ya kazi kwasababu ya hao wachaga na aliweza kunisimamia nisiondolewe kazini hao hao wachaga sasa unasema wachaga ni wabinafsi na wana roho mbaya?
Kuna wale wa kanda ya ziwa maarufu kidogo hawa watu wana roho mbaya, ubinafsi,majungu na unafiki nashangaa kwanini wanasema ni wastaarabu wakati hovyo tu.