Mzarau chake mtumwa na ndivyo walivyo CCM,wamejisahaulisha na kuuficha ukweli wa msemo wa kiswahili ..usemao Mtu mzima dawa..tunawaona CCM katika ubora wao wanashindwa kuelewa hekima za mtu mzima kwa mtizamo wao hata Nyerere hafai ndipo Maria Nyerere alipowatemea mate na kuwapa neno lililowapa uzito CCM,uzito uliowalemea hadi leo.
Kwa mwaka huu CCM hamna chenu Zanzibar na Tanganyika hamna pa kujificha.Na jinsi jamaa alivyovuruga jana ndio kafumua kila kitu.
Kwa mwaka huu CCM hamna chenu Zanzibar na Tanganyika hamna pa kujificha.Na jinsi jamaa alivyovuruga jana ndio kafumua kila kitu.