ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,080
- 84,972
Haiwezekani na haiingii akilini iweje mtu mweusi asiabudu Mungu wake kama ilivyo jamii zingine Duniani zilivyozaliwa Hadi awe Anaabudu Mungu wa Wazungu,Mungu wa Wayahudi na Mungu wa Waarabu?
Binafsi Sina huo ujinga wa kuabudh kina Mungu wa jamii zingine ni utumwa wa kifikra na kutojitambua licha ya kubaguliwa kote na hao wenye Mungu wao.
Kila jamii iliyozaliwa iliwekewa utaratibu wa kiimani na kitamaduni Ili wafikie ustawi,Sasa hili la kulazimishiwa mambo ya Wazungu, Waarabu na Wazayuni linatoka wapi na Ili iwaje?
Ni wazi wanaolazimisha supremacy ya utamaduni wao Wana malengo lakini nyie mnaopokea na ku trash utamuduni wenu wa kiimani mnajitambua au mpo kama wanyama tuu?
Binafsi Sina huo ujinga wa kuabudh kina Mungu wa jamii zingine ni utumwa wa kifikra na kutojitambua licha ya kubaguliwa kote na hao wenye Mungu wao.
Kila jamii iliyozaliwa iliwekewa utaratibu wa kiimani na kitamaduni Ili wafikie ustawi,Sasa hili la kulazimishiwa mambo ya Wazungu, Waarabu na Wazayuni linatoka wapi na Ili iwaje?
Ni wazi wanaolazimisha supremacy ya utamaduni wao Wana malengo lakini nyie mnaopokea na ku trash utamuduni wenu wa kiimani mnajitambua au mpo kama wanyama tuu?