Sasa mtu kuwa Professor inatosha kusema mtu huyu ana AKILI hata kama hayo yote kwake ni sifuri!.
Kuna watu wanabishana hapa. Hivi mtu mwenye AKILI ni yule tu anayefaulu darasani?, Kama hukuwa na uwezo wa kufaulu darasani lakini umefakiwa katika mambo mengine, Je na wewe utakuwa na AKILI!!, Au mtu mwenye AKILI ni wa namna gani.
Mwenye akili ni yule anayejua ni nini dhumuni la yeye kuwepo ulimwenguni.
Pia yule ambaye aliamua kujia kwa sababu alishindwa kujua dhumuni la yeye kuwepo duniani aliitwa hana akili kabisa, licha ya kwamba mimi nilimuona ana akili, ila alikosa bahati.
Akili bila bahati kwenye muda muafaka ni UBATILI MTUPU