Mtu mmoja awa albino baada ya kutumia Metakeflin

Hiyo dawa kidogo inipasue kichwa na kulipua pua yangu mwaka 1999. Bora siku hizi malaria ni kama haipo
 
Mie dawa yangu siku zote ni maji baada ya kupima na kugundulika nina malaria...Vidonge (Duo cotecxin) huwa natumia mara moja kwa miezi 36 ingawa huwa vyanitia kizunguzungu.
 
unapo ugua unatumia nin

Sent using Jamii Forums mobile app
Nikijisikia kuumwa kwanza hua natulia kwa muda wa siku kadhaa najibidiisha kula na kunywa maji mengi na kuto kulala hovyo unakuta baada ya siku 2 au 3 ugonjwa hupotea nimeweza kuucontrol mwili wangu hivyo naachia kwanza Seli hai nyeupe zipambane na nashukuru Mungu hua zinashinda vita mara kwa mara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hongera wengine tukifanya hivyo ndugu wataishia kuimba parapanda
Nikijisikia kuumwa kwanza hua natulia kwa muda wa siku kadhaa najibidiisha kula na kunywa maji mengi na kuto kulala hovyo unakuta baada ya siku 2 au 3 ugonjwa hupotea nimeweza kuucontrol mwili wangu hivyo naachia kwanza Seli hai nyeupe zipambane na nashukuru Mungu hua zinashinda vita mara kwa mara

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ugonjwa wa Vitiligo

Huo ni aina ya ugonjwa ambapo kinga za mwili hushambulia seli zinazosababisha rangi ya ngozi kuwa nyeusi yaani uafrika. Shambulio hili la mfumo wa kinga ya mwili ndiyo huzuia makuzi ya seli zinazozalisha rangi ya ngozi. Tumkumbuke kila siku ya uhai wetu mwili huendelea kutengeneza seli mpya za ngozi yenye rangi hivyo zoezi hilo la asili likisita kufanya kazi ngozi inakosa seli-rangi na polepole sehemu za mwili kuanza kubadilika rangi.



Vitiligo is a skin condition where the skin loses its pigment cells, causing discolouration or blotches. It occurs when the immune system attacks and causes skin discoloration.

Source : uvahealth

Mfano wa gonjwa la Vitiligo
 
Hii nayo ni Balaa nakumbuka kuna Dada mjamzito alimeza bila kujua aisee alikata. Hizi nazo ni balaa tupu hasa kwa wajawazito
Amodiaquine,
Nlkunywa siku 3.
Hii dawa nliinywa mwaka 2007, nlihisi sipo duniani, macho hayaoni vyema na kushinda nmelala, hazikuzidi siku 10 nkapona.
Malaria ikapona ila mpaka leo sijapata malaria kali vile.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom