Mtu mmoja awa albino baada ya kutumia Metakeflin

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,005
9,872
Hafidh Damson Masokola (57) alikuwa katika na rangi yeusi kama watu wengine lakini mwaka 2010 alipougua malaria na kuanza kutumia metakeflin alibadirika na kuwa albino.

Masokola, mkazi wa Tabora anadai kuwa hakuwa anajua kuwa ana mzio na Sulphur, madini ambayo yako mengi kwenye dawa hizo alizotumia.

Madiliko yalianza taratibu kama ngozi yake kukosa ungavu. Aliporudi kwa madaktari alikosa kupata dawa ya kuweza kumrudisha katika hali yake ya mwanzo lakini walimpa ushauri wa kutumia chakula bora kama mboga za majani na matunda.

miaka 10 iliyopita inasemekana aliugua malaria na kutumia dawa aina ya Metakelfine hiyo ilipelekea mabadiliko yaliyomfanya kuwa mtu mwenye Ualbino na uchunguzi wa madaktari ulithibitisha kuwa mwili wake unawingi wa madini ya Sulphur

Masokola kwa sasa anatumia sunscreen ambayo inatumiwa na albino kwa kuwa ngozi yake humuuma sana akipigwa na jua.

1582116160445.png


 
Suala la vidonge vyenye Sulfur mlichukulie serious sana, Mwaka 2018 hizo Metakefrin zilitaka kumuuwa mke wangu, ni bahati tu alipona lakini hali ilikuwa mbaya ngozi iliungua yote hadi mdomoni na ingawa hakupata madhara kwenye viuongo vikubwa kama Ini ingawa macho hadi leo yanamsumbua
 
hivi vidonge si vizur kwa mtu mwenye mzio na sulphur
ndugu yangu mmoja alivimba miguu na kuota malengelenge mwili mzima
baada ya kuvimeza
binafsi nikivimeza ninawashwa mwili mzima na kuvimba
kuwen makini

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nilikuwaga kila nikivimeza lazima nipate vidonda mdomon kuzunguka lips

Nikatonywa nikavipiga chini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi dawa kwa kweli acha tu!mwaka juzi nilimeza baada ya kugundulika nina maralia!!aisee bwana bwana,bila kujua si zikaja kuunguza maiki!!yaani ilikuwa balaa kwa shemeji yenu akajua nimechepuka nimelivagaa gonjwa la zinaa!ilikuwa balaa na noma kilo mbili!!!ikabidi nirudi hospital nimuonyeshe doctor !!ndo kugundua nina aleji nazo ndo maana imeunguza mpaka "maiki"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom