John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,341
pendekezeni majina kura zitapigwa badae zawadi itajulikana badae
hola chi chat
hola chi chat
Preta..
Salama kaka!!Preta..
nilitegemea hili....he he he...
hakuna wayeyushaji humu JF kama Tanmo, Mtu chake na Ndallo....
hii thread ifungwe tu maana hakuna anayewazidi hawa......
same here...:noidea::confused2:Mi sijaelewa miyeyuko kwa namna gani?????
Hebu fafanua vema
Anaye yeyusha vitu vilivoganda na kuwa vimiminika!Mi sijaelewa miyeyuko kwa namna gani?????
Hebu fafanua vema
Hahaaah!!hujasikia kama mshindi atapata zawadi? Unavyokataa wewe si miyeyusho huoni kama unaikataa zawadi ambayo kimsingi unahistahili?
Hahahahaaaa sawa swaibaAnaye yeyusha vitu vilivoganda na kuwa vimiminika!
Mzima swaiba!
Zawadi ni BANNataka kujua zawadi ni nini kabla sijaharibu wino wangu hapa ..
nilitegemea hili....he he he...
hakuna wayeyushaji humu JF kama Tanmo, Mtu chake na Ndallo....
hii thread ifungwe tu maana hakuna anayewazidi hawa......
Hhahahhah,Hahahahaaaa sawa swaiba
Mi mzima kabisa.....Basi kwa mimi wewe ndo kiyeyusho..teh
Teh teh Rejao....hahahahaaaaaHhahahhah,
Ww ndio nakuyeyusha au?
Zawadi ni BAN