Mtu huyu amenishangaza sana! Msaada tafadhari...

Mtu huyu amenishangaza sana! Msaada tafadhari...

umesema kwa sasa mumeo kasafiri?
meaning? kuna vacuum sio?

Pengine ulilegezxa na sauti kwenye simu makusudi..

acha assumption za ajabu ajabu ww. Unadhan angekuwepo na huo usumbufu alioufanya huyo m2 kingetokea nn?
 
Sijakuelewa! Unataka kumlipia Da Sophy shule?
Bado nipo kwani nilienda wapi rafiki:nono:
umechanganya madesa nahisi:bounce:
Bado upo!
Shule mara moja, akisafiri usitafute msaada JF. You know what to do.
 
Last edited by a moderator:
kazi unayo.hapa usibadili namba, kama shemeji ni mwelewa mwambie ukweli kuhusu hili, akirudi andaeni mtego ili akutane LIVE na hili rijamaa, halitakusumbua tena
Usipokee simu wala kujibu sms na badili namba ikiwezekana pia umjulishe Shemeji
 
Habari zenu ndugu zangu.

Wapendwa jambo hili limenifanya nikose raha cku ya leo (8.3.2013).
Majira ya saa saba mchana nilimpigia supervisor wangu simu kujua yuko wapi ili nimpatie kazi yangu ya research. cm ilipokelewa na mtu ambae ckumjua nikashangaa nikamsalimia baada ya salamu nikamuuliza wewe ni Dr.....akasema hapana, nikamjibu wrong number nikakata! nikacheki namba niliyopiga ni kweli ya dr! nikacall tena akapokea dr akanambia anakuja nimsubiri.
Loh wandugu, baada ya kama nusu saa hv nikaanza kupata message za mapenzi kutoka kwa yule mtu niliekosea namba akinitaja jina langu na kusema ananipenda, mara mungu katukutanisha, mara tuonane..n.k Nimemjibu mm mke wa mtu pia nina watoto, jamaa hasikii ananipigia cm mfululizo. Kwa sasa mume wangu kasafiri, naombeni msaada wa mawazo nifanyaje?

Geuka kuwa mzaramo for a while ili unusuru ndoa yako namanisha mchambe,mtukane,foka fanya kila aina ya maudhi kwa huyo mshezi ili mmeo akirudi akukute ukiwa tuli kama alivyokuacha maana haya madubwana yanatupunguzia uaminifu kwa wame zetu.Shenzy type
 
Wewe acha zako
rahisi kwako
mwenzio mumewe kasafiri,hukuelewa?

Yes, The Boss. This is great thinking!! Ni lazima tusome katikati ya mistari. Mleta mada hajatuambiwa hata kuuthiwa na message za jamaa. Anachoeleza ni jinsi anavoambiwa anampendwa na taarifa yake kwa jamaa kuwa ameolewa na aana watoto.

Hii mume kusafiri ni kutaka kutuonesha ana nafasi ya kufanya anachofikiria lakini anataka kujua ni lipi watu watamchagulia. Nina hakika hatawasikiliza wale wanaopinga mpango wake. Mama ya watoto anagegedwa hivi hiviiiii!!!
 
Geuka kuwa mzaramo for a while ili unusuru ndoa yako namanisha mchambe,mtukane,foka fanya kila aina ya maudhi kwa huyo mshezi ili mmeo akirudi akukute ukiwa tuli kama alivyokuacha maana haya madubwana yanatupunguzia uaminifu kwa wame zetu.Shenzy type

shukran sana, mwanzo nilimweleza kwa
ustaarabu nikijua ni mwelewa lkn baadae
nikajua ni mshenzi tu. Ushauri mzur.
 
Yes, The Boss. This is great thinking!! Ni lazima tusome katikati ya mistari. Mleta mada hajatuambiwa hata kuuthiwa na message za jamaa. Anachoeleza ni jinsi anavoambiwa anampendwa na taarifa yake kwa jamaa kuwa ameolewa na aana watoto.

Hii mume kusafiri ni kutaka kutuonesha ana nafasi ya kufanya anachofikiria lakini anataka kujua ni lipi watu watamchagulia. Nina hakika hatawasikiliza wale wanaopinga mpango wake. Mama ya watoto anagegedwa hivi hiviiiii!!!

kweli wa2 hatufanani, tunatofautiana sn hasa ktk uelewa. Y unakimbilia kuwaza machafu kuliko kuwa +ve? Poa lkn ndio ulimwengu wetu ulivyo sasa. Ubarikiwe kwa ushauri mkuu.
 
kazi unayo.hapa usibadili namba, kama shemeji ni mwelewa mwambie ukweli kuhusu hili, akirudi andaeni mtego ili akutane LIVE na hili rijamaa, halitakusumbua tena

nashukuru kwa ushauri, nilimweleza hubby kuhusu huyo mtu na kumtumia sms zake. Amenielewa kama ataendelea atamalizana nae.
 
umesema kwa sasa mumeo kasafiri?
meaning? kuna vacuum sio?

Pengine ulilegezxa na sauti kwenye simu makusudi..

kiongozi,nadhani alikuwa anamaanisha impact ya usumbufu wa jamaa kwa mumewe haijafika,hivyo mpeni mbinu mapema kabla mzee hajaja ikawa tabu!haya toa mbinu za kummaliza
 
kiongozi,nadhani alikuwa anamaanisha impact ya usumbufu wa jamaa kwa mumewe haijafika,hivyo mpeni mbinu mapema kabla mzee hajaja ikawa tabu!haya toa mbinu za kummaliza

umenielewa vzr mkuu, shukran kwa kusaidia hapa. Fikiria mkuu cm inapigwa uck non stop kama mzee yupo itaelewekaje!
 
Neylu...naungamkono ua maoni...
Its true inaonyesha ajawah kutongozwa tokea aolewe..Sasa sound lampemba limemkole...
 
Si um-block tu, sms na simu zake zisiingie kwako.. hilo nalo nila kuomba ushauri kumbuka wewe ni mama
 
Ushauri kidogo tu, wakati mwingine mwambie sitaki bila kusema wewe ni mke wa mtu, najua hakuna mwanaume anayeogopa kuambiwa kuwa wewe ni mke wa mtu kwani huwa mara nyingi hilo si tatizo ila ukisema SITAKI itatosha. Ni sawa na msichana kumwambia mvulana oooh namuogopa Baba, ama Mama ama subiri nitakujibu, nipe muda haya yote ni majibu ya makosa ambayo msichana huwa anayafanya, jibu ni rahisi SITAKI, itatosha. Ni ushauri tu.
 
Back
Top Bottom