Mtu huyu amenishangaza sana! Msaada tafadhari...

Mtu huyu amenishangaza sana! Msaada tafadhari...

Deepa

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2013
Posts
227
Reaction score
116
Habari zenu ndugu zangu.

Wapendwa jambo hili limenifanya nikose raha cku ya leo (8.3.2013).
Majira ya saa saba mchana nilimpigia supervisor wangu simu kujua yuko wapi ili nimpatie kazi yangu ya research. cm ilipokelewa na mtu ambae ckumjua nikashangaa nikamsalimia baada ya salamu nikamuuliza wewe ni Dr.....akasema hapana, nikamjibu wrong number nikakata! nikacheki namba niliyopiga ni kweli ya dr! nikacall tena akapokea dr akanambia anakuja nimsubiri.
Loh wandugu, baada ya kama nusu saa hv nikaanza kupata message za mapenzi kutoka kwa yule mtu niliekosea namba akinitaja jina langu na kusema ananipenda, mara mungu katukutanisha, mara tuonane..n.k Nimemjibu mm mke wa mtu pia nina watoto, jamaa hasikii ananipigia cm mfululizo. Kwa sasa mume wangu kasafiri, naombeni msaada wa mawazo nifanyaje?
 
itakuwa Dr anataka mzigo huo lol...wadhani dgree zatolewa kwa sababu wewe una akili. hiyo kwa wanaume tuu dada
 
Habari zenu ndugu zangu.

Wapendwa jambo hili limenifanya nikose raha cku ya leo (8.3.2013).
Majira ya saa saba mchana nilimpigia supervisor wangu simu kujua yuko wapi ili nimpatie kazi yangu ya research. cm ilipokelewa na mtua mabe ckumjua nikashangaa nikamsalimia baada ya salamu nikamuuliza wewe ni Dr.....akasema hapana, nikamjibu wrong number nikakata! nikacheki namba niliyopiga ni kweli ya dr! nikacall tena akapokea dr akanambia anakuja nimsubiri.
Loh wandugu, baada ya kama nusu saa hv nikaanza kupata message za mapenzi kutoka kwa yule mtu niliekosea namba akinitaja jina langu na kusema ananipenda, mara mungu katukutanisha, mara tuonane..n.k Nimemjibu mm mke wa mtu pia nina watoto, jamaa hasikii ananipigia cm mfululizo. Kwa sasa mume wangu kasafiri, naombeni msaada wa mawazo nifanyaje?

mtumie 500 kujua jina lake then mpe onyo kali...
 
Usipokee simu wala kujibu sms na badili namba ikiwezekana pia umjulishe Shemeji
 
sio dr. alipoanza kunicall na kutuma sms nikagundua namba ni tofauti na ya dr. Pia anaogea kama mtu wa unguja au pemba vile.
 
Kwani wee dada tangu umeolewa hujawahi kutongozwa?

Kama humtaki, si umwambie tuu... Mbona ni kitu rahisi sana.!
 
Hilo nalo linakusumbuaje sasa, umekwishajua siyo Dr. (Supervisor) unashidwa nini kumweleza ukweli na kuwa mkali juu yake ili ajue hapo anafanya ujinga. Jamani akina dada, akina mama, acheni ulegelege ili mzilinde ndoa zenu.

Mengine nadhani mnayaendekeza wenyewe. Kweli unashindwa kusema hapana ya dhati toka moyoni na kila mtu akakuelewa hivyo.
 
umesema kwa sasa mumeo kasafiri?
meaning? kuna vacuum sio? wa

Pengine ulilegezxa na sauti kwenye simu makusudi..
Asituzugu hapa,tayari ana formed opinion so anataka kuona wana JF watamuambia nn.
 
Wewe acha zako
rahisi kwako
mwenzio mumewe kasafiri,hukuelewa?

Hahahaaaa.... Sasa mumewe kusafiri ndio anatafuta replacement?

Kuna watu wana asili ya kupenda kushauriwa hata mambo ambayo yako ndani ya uwezo wao..!
 
unataka kusaidiwa nini sasa?

Tukupe ruhusa au???

maana sidhani mke wa mtu....mama wa familia unashindwa kumua la kufanya au kusema?????
 
Kwani wee dada tangu umeolewa hujawahi kutongozwa?

Kama humtaki, si umwambie tuu... Mbona ni kitu rahisi sana.!

nimemwambia, ila
amekua akituma sms na kucall mpaka imenikera.
 
unataka kusaidiwa nini sasa?

Tukupe ruhusa au???


maana sidhani mke wa mtu....mama wa familia unashindwa kumua la kufanya au kusema?????

mpaka nimesema hapa ni kuwa nimekwazika, asante kwa ushauri.
 
majuzi hapa nilikumbwa na kadhia hii ya wrong number na kuanza kugandana. uzuri sihitaji twisheni ya kumnyoosha kengemaji. nilijishangalia tu kuwa huu ushamba bado upo?
 
majuzi hapa nilikumbwa na kadhia hii ya wrong number na kuanza kugandana. uzuri sihitaji twisheni ya kumnyoosha kengemaji. nilijishangalia tu kuwa huu ushamba bado upo?

Bado upo!
Shule mara moja, akisafiri usitafute msaada JF. You know what to do.
 
Back
Top Bottom