NGAMBAGE NDYANABO
Member
- Mar 7, 2013
- 23
- 1
"ka safiri" mara nyingine acha kuwatega washauri. ki-saikolojia ninajua una maana gani. cha msingi acha tabia hiyo. kwa nini hukuomba ushuari kwa mume wako ila "kasafiri'!
"ka safiri" mara nyingine acha kuwatega washauri. ki-saikolojia ninajua una maana gani. cha msingi acha tabia hiyo. kwa nini hukuomba ushuari kwa mume wako ila "kasafiri'!
nashukuru, ila kiukweli naogopa icjekuwa ni jini kama ambavyo nasomaga ktk magazeti.
Hapo sikushauri tena maana hawa jamaa zetu wanaanzia ga dau la 50,000/= kuendelea hadi 1m kutokana na umbile lako
Km Research ni ya Degree usiwe na hofu nayo hebu muulize Dr huyo jamaa ni Mpemba kweli? kabla ya kumpiga kibuti
Hivi unamkatalia mtu kwa sababu umeolewa na una watoto au kwa sababu hutaki? Kwa nini utafute sababu ku-justify kumkataa mwanaume kama kweli humtaki? Kwa nini usiseme moja kwa moja kuwa hutaki na akome kukusumbua na simu za ajabu ajabu na kuwa akiendelea utamchukulia hatua? Hapo ndio huwa siwaelewi akima mama.
Jini ndio nini?
ish!hiv na hii nayoni ya kumwambia mume !uuuwihMtumie mumeo namba ya huyo jamaa ili ampigie lkn ukimeza basi mwisho ni kuvimba na kuihujumu ndoa yako
Usipokee simu wala kujibu sms na badili namba ikiwezekana pia umjulishe Shemeji