Choosen85
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 563
- 1,364
Wakuu mulibwanji..
Huku mambo ni nainai tu.
Hapa nyumbani kwangu kuna mdogo wake na mwanamke wangu binti mkubwa tu wa miaka 23 sasa. Alikuja huku kwa lengo la kujiendeleza ufundi baada ya kukosa wa kumsaidia uko kwao.
Nilijtolea nikamtumia nauli akaja na nikamtafutia pa kujiendeleza kwa mwezi nalipa elf 90 pamoja na vifaa.
Amekaa miezi miwili akaanza vituko eti anataka rudi nyumbani anashinikza apewe nauli na mafunzo hajamaliza nikamwambia kwasasa sina hela subiri akauliza mpaka lini nkamjbu mi sjui mpaka lini maana pesa utafutaji wake ni mgumu akasema basi apige simu kwao wamtumie au ndugu zake wamchangie.
Binafsi maisha ya kwao nayajua sana hata dada mtu aliligomea hilo kwani hawataweza mtumia na atawaletea usumbufu tu at last nlimpa vocha pige apate nauli.
Akapga akajbiwa hawana hela nauli apewe huku wakamhoji nini kinamrudisha hana jibu.
Juzi kuna jamaa alipiga simu usiku kwenye simu yangu akasema anamulzia binti nikamulza we nani akasema mchumba wake nkamwambia huijui namba ya mchumba wako akashusha matusi mazito nkakata simu.
Wakuu mnanishauri nini?
Huku mambo ni nainai tu.
Hapa nyumbani kwangu kuna mdogo wake na mwanamke wangu binti mkubwa tu wa miaka 23 sasa. Alikuja huku kwa lengo la kujiendeleza ufundi baada ya kukosa wa kumsaidia uko kwao.
Nilijtolea nikamtumia nauli akaja na nikamtafutia pa kujiendeleza kwa mwezi nalipa elf 90 pamoja na vifaa.
Amekaa miezi miwili akaanza vituko eti anataka rudi nyumbani anashinikza apewe nauli na mafunzo hajamaliza nikamwambia kwasasa sina hela subiri akauliza mpaka lini nkamjbu mi sjui mpaka lini maana pesa utafutaji wake ni mgumu akasema basi apige simu kwao wamtumie au ndugu zake wamchangie.
Binafsi maisha ya kwao nayajua sana hata dada mtu aliligomea hilo kwani hawataweza mtumia na atawaletea usumbufu tu at last nlimpa vocha pige apate nauli.
Akapga akajbiwa hawana hela nauli apewe huku wakamhoji nini kinamrudisha hana jibu.
Juzi kuna jamaa alipiga simu usiku kwenye simu yangu akasema anamulzia binti nikamulza we nani akasema mchumba wake nkamwambia huijui namba ya mchumba wako akashusha matusi mazito nkakata simu.
Wakuu mnanishauri nini?