Mtu anayesema tusirudie kuchagua wabunge vilaza tena je huyu mtu anayeongea hivi na yeye ni kilaza mkubwa ambaye kaamua kujitoa ufahamu.

Mtu anayesema tusirudie kuchagua wabunge vilaza tena je huyu mtu anayeongea hivi na yeye ni kilaza mkubwa ambaye kaamua kujitoa ufahamu.

Ndo hapo sasa ,wabunge ni wale wanachaguliwa na vyama vyao ...Mtu wa kawaida bila ya chama hawezi kuingia
 
Yaani kuna wanaJF ni vilaza Sana
Mfano huyu jamaa anajiita Pascal Mayalla , anasema kuwa watanzania tusichague wabunge vilaza Kama ilivyokuwa 2020.

Swali je mwaka 2020 sisi hao wabunge wananchi tuliwachagua au walipitishwa tu na Ccm?.

Kwa kutumia Dola.?
Unakosoa hoja yake kwa facts au kwa mipasho na ngonjera

Instead of personal attacks pangilia facts
 
Back
Top Bottom