Ukifa sasa..inakuaje?Huna fahamu Kwa hiyo hujitambui...
Ndiyo maana ukizinduka unashangaa kimetokea nini...
Kwa mujibu wa tafiti...Ukifa sasa..inakuaje?
Sawa mwambaSijawahi kujua..Ila nishawahi kuzima siku tatu kisa tungi..,...Nikaamkia hospital. ..na sikujua siku zote hizo nipo wapi?
Naam ni kweli...nakumbuka niliwahi kufanyiwa surgery. Nachokumbuka ni ile team ya doctors na manesi wa usingizi wakijitambulisha...baada ya gesi ya usingizi kuruhusiwa na nikaivuta....ufahamu ulipotea kama mtu anayezima switch ya taa ya umeme. Yaani ni ile in the blink of an eye...nikawa unconscious.Hana tofauti na aliyelala au aliyekufa.
good thoughtKwa mujibu wa tafiti...
Hata hapo ulipo inawezekana ulishakufa ndiyo maana huyajui ya kale kabla ya kuzaliwa kwako..
Hii tag ndio naiona leo.. Kupoteza fahamu ni kupoteza utashi wa kufanya chochote ni sawa na gari iliyozimwa lakini betri haijatolewa
Mtu akipoteza fahamu anakuwa hana fahamuHabar wanajukwaa.
Naomba kufahamishwa
Mtu akiwa kapoteza fahamu yaani kazirai ama kazimia. Je, muda huo anavyokuwa katika hali hiyo fahamu zake huwa zimeenda(zimepotelea) wapi?
Shukrani.
Unakuja kuja hivi ..endelea kureason na kutafiti.Nadhani tunapopoteza consciousness ubongo bado unakuwa uko active...ila umefunga baadhi ya functions ambazo kwa wakati huo brain imeona si za lazima ili kukunusuru wewe mwenyewe uendelee kuwa hai.
Muscles zikiwa relaxed na other functions zikizuiwa energy inakuwa channelled kwenda kwenye important areas. Hali ikitengemaa huko ndani the same brain inaji activate parts zilizokuwa shut down.
So it is not like kama vile consciousness hupotea once tuki faint...ufahamu upo ila ni kama unakuwa hibernated...ni sawa na wakati unapolala usingizi na hujitambui...do you think ufahamu unaenda wapi? The brain remains active hata katikati ya usingizi.