jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,323
Kama mnakokwenda ni utashi wenu basi kufikiri kuna maana.Uvivu wa kufikiri huu
Lakini kama hamna budi kwenda mtakapopelekwa basi kufikiri ndio ujinga, Ujuha, Upumbavu na ukichaaa!!
Kama mnakokwenda ni utashi wenu basi kufikiri kuna maana.Uvivu wa kufikiri huu
Cjakuelewa hata umeandika nn embu rudia kuandikaKama mnakokwenda ni utashi wenu basi kufikiri kuna maana.
Lakini kama hamna budi kwenda mtakapopelekwa basi kufikiri ndio ujinga, Ujuha, Upumbavu na ukichaaa!!
Weka dauCjakuelewa hata umeandika nn embu rudia kuandika
Sasa wewe uliyofikiria sn UNA JIBU GN? tukifa tunakwenda wapi?Uvivu wa kufikiri huu
Umeelewa nilichoandika au na wewe unatangaza mzungu kakubali kulipa makinikia?ruhusu akili yako iwaze vyema mkuu kejeli sio majib...kipimo cha busara sio kipara
Ukishakufa ndio mwisho wa kila kitu. Hakuna mchakato mwingine tena hapo!!!!!! Ngoja siku ukifa, najua utaniamini mimi!!!!!Wasaalam wanajamvi,
sina maana ya kutaka kuchimbua imani za watu na nisingependa hata katika majadiliano watu waanze kukashifu dini za wengine.....
wengi wetu tunaamni kua mwili, nafsi na roho n vitu tofauti....
mtu akifa inakua na maana kua mwili umejitenga na roho...je roho hii iliyojitenga na mwili hua inaenda wap?
Muungurumo ni sauti!Mkuu hivi unapowasha gari yako,kisha ukaizima,ule muungurumo na kuwaka ile gari,huwa unaenda wapi?
Hio Roho ni nini hasa?Roho huishi milele ndo maana kuna life after death
Hio Roho ni nini hasa?
Mjadala uanzie hapo
anakula ndumuMkuu umevuta bangi nini,
Mwili ndio unakufa lakini wewe(roho) haufi, mtoa mada anataka kujua mwili ukifa wewe unaenda wapi?