Mtu akifa anaenda wapi?

Na vyote wanakuambia unavyo wewe ila kuvielewa mpaka wakusimulie wao waliosimuliwa😅
Fwatisha sara ya toba hii kama unataka kuokoka, MUNGU BABA Mimi ni mwenye ni mwenye dhambi naomba unisamehe dhambi zangu zote natubu kwa kumaanisha kuziacha kabisa, naomba liandike jina langu kwenye kitabu Cha uzima wa milele, ameni. Baada ya hapa itabidi ubatizwe. Upo mkoa gani?
 
Mwombe huyo Mungu akufundishe kuandika kwanza

Fwatisha , sara ni kitu gan🚮
 
Kitabu cha Henoko naonaga hakina hata mashiko.
By the way tupe ka summary akiii 😁
 
Kwenye Imani yetu,tukifa tunaenda peponi na kugawiwa mademu wenye macho makubwa 72 wote bikra.Pembeni ya vijito tunajilaza huku tunabugia mvinyo bardiiiii na kusikiliza kaswida mwororooo!
Bikra ni kwa watu wema washenzi washenzi watakula kuni za moto
 
Mungu aiweke roho ya marehemu panapostahili
 
Sio story ni kweli mkuu. Jaribuni kujifunza vitu msiishie kusoma elimu za Biology, Physics na Chemistry pekee. Hiyo elimu haitoshi kwa mwadamu kuwa na maarifa.
Hizo elimu za Biology, physics n.k zinaundwa kwa nadharia zinazothibitishika na hivyo kuwa na mantiki.
Hizo elimu nyingine ni za kiungaunga, uongo na vitisho..
Mfano; Tukiuliza ututhibitishie uwepo wa nafasi na roho, utaanza kujiumauma na kuleta ubishi.
 
Mtu anauliza akifa ataenda wapi ? Wakati hata alipo toka hajui ? Na wala hakua anajitambua kwa chochote
 
Nakazia, jinsi mnyama akifa akazikwa ardhini na kuoza ndivyo ilivyo pia kwa binadam sema ni vile hizi imani zinatuaminisha vitu ambavyo atuna ushahidi navyo.
Na kabla ya kuzaliwa ulikuwepo wapi?

Na kwanini sisi na wanyama tonatofautiana ufahamu?

Na kwanini ufe kama vile ulivyozaliwa bila ya utashi wako? Unajikuta tu umezaliwa.

Na kwanini wengine wapitie mateso hapa duniani na angalia wengine wanaishi vizuri?

Kama vile ilivyokuwa huwezi kujibu maswali hayo basi aliyekuumba alishakwambia kuwa ukifa unakwenda wapi na utalipwa kwa Yale uliyotatenda.

Kila hatua utakayo idiriki katika maisha yako iwe njema au iwe mbaya wewe ndio utakaye i experience.

Jiandae usiishi kwa mazoea hukuumbwa Bure Bure ufanye yako vyovyote ujiskiavyo alafu useme hakuna malipo.
 
Bikra ni kwa watu wema washenzi washenzi watakula kuni za moto
😡 hakuna moto/jehanam, hizo verse zimetengenezwa ili kuleta utulivu duniani, na kudhibiti tabia za watu, Mungu hana vitisho na kama alituumba hawezi tutupa motoni tuungue for endless time, akiwa anatuona na kufurahia maumivu tunayopata
I believe if there is any kind of god, he cannot be a sadist, If he really is all-powerful and all-knowing, why does he let his own creation go through so much shit?

View: https://youtu.be/TpawdjeH-8w?t=31
 
Hizo zote ni story za kutungwa mtu akifa haendi popote zaidi ya kuoza na kirutubisha ardhi na kufanya maisha yaendelee duniani
Hata ulivyokuwa kiunoni mwa wazazi wako ulikuwa hujui kama utakaa kwenye uterus, ukakaa na hapo pia ulikuwa hujui kama utakuja duniani na ukaja

Sasa unapata wapi jeuri ya kuwa na confidence ya kujibu hivyo?
 
Mambo ya ngumu kumeza haya
Ila bora kifo kimeumbiwa kwa
Mwanadam,maana hakuna kiumbe jeuri,mjuaji,roho mbaya kama mwanadam

Ova
 
Hata ulivyokuwa kiunoni mwa wazazi wako ulikuwa hujui kama utakaa kwenye uterus, ukakaa na hapo pia ulikuwa hujui kama utakuja duniani na ukaja

Sasa unapata wapi jeuri ya kuwa na confidence ya kujibu hivyo?
Wewe ukifa utakua na confidence au jeuri ya kujua unaenda wapi?
 
Hapana mkuu mtu anapokufa mwili na roho ya nafsi vinatengana. Mwili unabaki duniani. Roho ya nafsi inachukuliwa na malaika mtoa roho inapelekwa ulimwengu mwingine.
Kwanza thibitisha uwepo wa hiyo roho.

Sio kuleta hadithi za kwenye hekaya za Biblia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…