Mtu akifa anaenda wapi?

Mtu akifa anaenda wapi?

Kula nyama, nyamaza unataka tukuambie uwahi ukateke viwanja vyetu au......? Ukisha panda usafiri ticket yako inaeleza unaposhushiwa so maswali kwa konda et tunaelekea kituo gani hayawahishi safari
 
Yule mtu ambaye haamini katika life after death,baada ya kufa,anakuwa katika hali ya sunyata( emptiness),: hali ya giza. Actually,kwanza atakuwa katika "bahari",ya lami,anakuwa katika syrup ambayo inafanya movement zake zinakuwa restricted. Halafu baadaye anakuwa katika anga ya giza,katika anga ambapo hakuna chochote; hakuna kitu cha kuona,hakuna kitu cha kugusa,:yeye akijaribu kujishika ataona kwamba hana mikono wala miguu,hana mwili,lakini akili yake ipo,anaishi kama akili tu katika giza.
Ndiyo hali ya sunyata. Muda mrefu sana unaweza kupita lakini yeye hana habari.
Hii hali labda umeiona katika maisha yako; unaweza kumuona mtoto wa shule ya msingi,labda yupo darasa la tano. Ukawa unafikiria,"Huyu mtoto mara ya kwanza kumuona alikuwa chekechea,na sasa yuko darasa la tano,ina maana huyu mtoto nimemfahamu kwa muda mrefu sana.
Au unaweza kuwa unaishi na demu,unawaza"Huyu demu nilipoanza kuishi naye,ulikuwepo Uchaguzi Mkuu,na sasa kuna Uchaguzi Mkuu mwingine. Ina maana huyu demu nimeishi naye miaka mitano"?
Na mifano mingine mingi lama hii. Hii ndio hali ya sunyata. Hili neno "sunyata"utaliona sana katika Hindu na Buddhist Scriptures. Na ukitazama utaona maana yake ni ile ile kama tunavyolitumia Waswahili.
Biblia inaanza kwa kusema "In the beginning was the void." Ndio sunyata yenyewe,Ile hali ya pre- creation; from the void,things are created. Things are not created from nothing.
Kwa goyo huyu mtu amekufa lakini haamini in life after death,kwa hiyo hawezi kusaidiwa,if he does not believe in it ,so will not appear to him. Atakuwa katika sunyata.
All the time atakuwa anasikia sauti zinamwambia, "Tunasubiri uamuzi wako,tunataka kukusaidia lakini unatuzuia. Wewe umekufa,ndio,lakini,kubali kwamba you are in some type of existence. Kubali hilo,halafu tutakuonyesha makazi yako mapya.
 
Binadamu na kila kitu unachokiona ni energy ( nishati) ambayo nishati hii haifi wala kuaribika bali inafanya badiliko la kiumbo tu kwenda kwenye dimension nyingne kimfumo na kimuundo.

Mbegu ikiwekwa chini ya ardhi huonza na kufa kabsa then huchipua katika mfumo mwingne , hili ni badiliko la kiumbo tu.

Maji yanapobadilika kutoka kwenye kimiminika ,mvuke na barafu ni badiliko la kiumbo tu kutoka dimension moja kwenda nyingne.

Mwili wa Binadamu umetengezwa na nishati ya mimea na wanyama tunaokula , na udongo wa ardhi kama mama yao , mtu anapofikia ukomo ( kifo ) anaendelea kuwa kwenye huu mzunguko wa nishati usio kuwa na kikomo ili kufanya maumbile yanayo onekana na ya sio onekana,katika mfumo usio onekana au unao onekana , katika speed na frequency mbalimbali .

Kifo ni njia nzuri sana yakufanya uhai uendelee kuwepo katika maumbile yanayoonekana (physical world) .

Vuta picha ya mbegu isingekua inafukiwa chini na kuoza kabsa ,je kungekuwa na nishati mpya inayozaliwa kwenye ulimwengu wa macho?

Sisi dunia na kila kinacho onekana na kisicho onekana tupo connected pamoja kama nishati mama , hauwezi kusema binadamu ana akili zaidi wakati kinachokupa akili ni kile unachokitumia kutoka humo humo duniani.

Viumbe na mimea inapokufa inasaidia uhai uzidi kuwepo duniani kama kitu kimoja ambacho kipo connected kwa vilivyo hai na vilivyo kufa .


Kifo + uhai = uwepo
 
Binadamu na kila kitu unachokiona ni energy ( nishati) ambayo nishati hii haifi wala kuaribika bali inafanya badiliko la kiumbo tu kwenda kwenye dimension nyingne kimfumo na kimuundo.

Mbegu ikiwekwa chini ya ardhi huonza na kufa kabsa then huchipua katika mfumo mwingne , hili ni badiliko la kiumbo tu.

Maji yanapobadilika kutoka kwenye kimiminika ,mvuke na barafu ni badiliko la kiumbo tu kutoka dimension moja kwenda nyingne.

Mwili wa Binadamu umetengezwa na nishati ya mimea na wanyama tunaokula , na udongo wa ardhi kama mama yao , mtu anapofikia ukomo ( kifo ) anaendelea kuwa kwenye huu mzunguko wa nishati usio kuwa na kikomo ili kufanya maumbile yanayo onekana na ya sio onekana,katika mfumo usio onekana au unao onekana , katika speed na frequency mbalimbali .

Kifo ni njia nzuri sana yakufanya uhai uendelee kuwepo katika maumbile yanayoonekana (physical world) .

Vuta picha ya mbegu isingekua inafukiwa chini na kuoza kabsa ,je kungekuwa na nishati mpya inayozaliwa kwenye ulimwengu wa macho?

Sisi dunia na kila kinacho onekana na kisicho onekana tupo connected pamoja kama nishati mama , hauwezi kusema binadamu ana akili zaidi wakati kinachokupa akili ni kile unachokitumia kutoka humo humo duniani.

Viumbe na mimea inapokufa inasaidia uhai uzidi kuwepo duniani kama kitu kimoja ambacho kipo connected kwa vilivyo hai na vilivyo kufa .


Kifo + uhai = uwepo
Hii imekaa vizuri,,,nadhani wewe ni wale wanaomini uwepo wa Mungu lakini sio kwa maana ya kwenda kanisani au misikitini.
 
Hii imekaa vizuri,,,nadhani wewe ni wale wanaomini uwepo wa Mungu lakini sio kwa maana ya kwenda kanisani au misikitini.
Uwepo wa Mungu mwenye tabia za kibinadamu kama hasira wivu na ubaguzi ,na personality kamwe siwezi ku ukubali labda nikubali tu kuunga mkono kundi kubwa la vipofu. Ila uwepo wa nishati kuu ya kuendesha maumbile mbalimbali wala haiitaji wewe uamini ipo ama haipo kwa sababu ata hiyo idea tu tu yakutaka kuamini inatengemea hiyo nishati.
 
ni kama kabla ya kuzaliwa kwako

haupo tu yaani

mtazamo wa kwamba kuna mahali utaenda kuishi milele hauna mashiko kwangu kwasababu kuishi milele kutachosha haraka labda kama utabadilishwa uwe msukule

‘Kuishi milele kutachosha haraka’ at the same time unapambana kila siku kufanya mazoezi, kula vizuri, ili uishi muda mrefu.
You are a joke my friend.
Nadhani ugumu wa maisha ulionao pengine unakufanya uwe na mtazamo huo kuona kama maisha ya milele yanachosha.

Jaribu kuhojiana na wanaokula bata vizuri na kufurahia maisha; kuna namna mtu anawishi aishi milele.

Maisha yako ndo miwani yako.

Badilisha miwani
 
Binadamu na kila kitu unachokiona ni energy ( nishati) ambayo nishati hii haifi wala kuaribika bali inafanya badiliko la kiumbo tu kwenda kwenye dimension nyingne kimfumo na kimuundo.

Mbegu ikiwekwa chini ya ardhi huonza na kufa kabsa then huchipua katika mfumo mwingne , hili ni badiliko la kiumbo tu.

Maji yanapobadilika kutoka kwenye kimiminika ,mvuke na barafu ni badiliko la kiumbo tu kutoka dimension moja kwenda nyingne.

Mwili wa Binadamu umetengezwa na nishati ya mimea na wanyama tunaokula , na udongo wa ardhi kama mama yao , mtu anapofikia ukomo ( kifo ) anaendelea kuwa kwenye huu mzunguko wa nishati usio kuwa na kikomo ili kufanya maumbile yanayo onekana na ya sio onekana,katika mfumo usio onekana au unao onekana , katika speed na frequency mbalimbali .

Kifo ni njia nzuri sana yakufanya uhai uendelee kuwepo katika maumbile yanayoonekana (physical world) .

Vuta picha ya mbegu isingekua inafukiwa chini na kuoza kabsa ,je kungekuwa na nishati mpya inayozaliwa kwenye ulimwengu wa macho?

Sisi dunia na kila kinacho onekana na kisicho onekana tupo connected pamoja kama nishati mama , hauwezi kusema binadamu ana akili zaidi wakati kinachokupa akili ni kile unachokitumia kutoka humo humo duniani.

Viumbe na mimea inapokufa inasaidia uhai uzidi kuwepo duniani kama kitu kimoja ambacho kipo connected kwa vilivyo hai na vilivyo kufa .


Kifo + uhai = uwepo
Sisi dunia na kila kinacho onekana na kisicho onekana tupo connected pamoja kama nishati mama , hauwezi kusema binadamu ana akili zaidi wakati kinachokupa akili ni kile unachokitumia kutoka humo humo duniani.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu akifa anakwenda kwenye ulimwengu wa roho. Baada ya siku tatu anakwenda kwenye hukumu. Baada ya hukumu inaamuliwa atafanya nini kwa kutegemea alivyohukumiwa.
Watu wasioamini in an after life,wanakaa gizani,mpaka watakapozinduka.
Kule kwenye hukumu Kuna kujitetea kweli
 
Wakristo wanaamini ukifa unakuwa kama umelala. Ila upo ufufuo wa wafu. Wengine kwa ajili ya uzima wa milele. Na wengine kwa ajili ya maangalizi kwa miaka 1000 ili kuona kamw wanastahili uzima wa milele. Wengine hawatafufuliwa kabisa, ndiyo imetoka ukifa.
 
Wakristo wanaamini ukifa unakuwa kama umelala. Ila upo ufufuo wa wafu. Wengine kwa ajili ya uzima wa milele. Na wengine kwa ajili ya maangalizi kwa miaka 1000 ili kuona kamw wanastahili uzima wa milele. Wengine hawatafufuliwa kabisa, ndiyo imetoka ukifa.
Kinachokufa ni huu mwili uharibikao roho haifi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu akifa anakwenda kwenye ulimwengu wa roho. Baada ya siku tatu anakwenda kwenye hukumu. Baada ya hukumu inaamuliwa atafanya nini kwa kutegemea alivyohukumiwa.
Watu wasioamini in an after life,wanakaa gizani,mpaka watakapozinduka.
Kwahiyo Sisi tusioamini tukizinduka tunaenda wapi? Na unazindukaje ni kama unavokurupuka baada ya pombe kuisha au
 
Majibu kuhusu nini kinachotokea baada ya kifo yanatofautiana sana kulingana na imani za kidini, tamaduni, na mitazamo ya kibinafsi. Hapa kuna maoni ya kawaida kutoka kwa tamaduni na dini tofauti:

1. Dini za Abrahamu (Ukristo, Uislamu, Uyahudi): Mara nyingi, zinaamini kuna maisha baada ya kifo. Katika Ukristo, inafundishwa kwamba roho inaweza kwenda mbinguni au kuzimu kulingana na imani na matendo yako. Katika Uislamu, kuna Siku ya Kiyama ambapo watu watasimamishwa mbele ya Mungu kwa uamuzi.

2. Ubuddha: Katika Ubuddha, inafundishwa kwamba kifo ni sehemu ya mzunguko wa maisha na kifo (samsara). Kile kinachotokea baada ya kifo kinategemea vitendo na akili za mtu wakati wa maisha yao. Lengo ni kuvunja mzunguko huo na kufikia Nirvana.

3. Hinduism: Katika Uhindu, inaaminiwa kwamba kifo ni mwanzo wa awamu nyingine ya maisha. Kile kinachotokea baada ya kifo kinategemea karma ya mtu, na inaweza kuwa reinkanesheni katika mwili mwingine.

4. Mitazamo ya Kisekula: Baadhi ya watu wasio na dini au wanaoitwa wasioamini wanaweza kuamini kwamba kifo ni mwisho wa maisha na hakuna maisha baada ya kifo.

Ni muhimu kutambua kuwa hakuna jibu la hakika kuhusu jambo hili, na imani hizi ni sehemu ya tamaduni na dini tofauti. Watu wana imani tofauti, na ni suala la kibinafsi kujua na kufikiria kuhusu jambo hili.

Qur'an 78:
1.
WANAULIZANA nini? 1
2. Ile khabari kuu, 2
3. Ambayo kwayo wanakhitalifiana. 3
4. La! Karibu watakuja jua. 4
5. Tena la! Karibu watakuja jua. 5
 
Back
Top Bottom