Wakili wa shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2022
- 1,962
- 3,729
Roho ni pumzi hii. Inakata vizuri tu.
Roho ni pumzi hii. Inakata vizuri tu.
Jamaa ni Kama umeingia akilini mwangu, (ENERGY)Binadamu na kila kitu unachokiona ni energy ( nishati) ambayo nishati hii haifi wala kuaribika bali inafanya badiliko la kiumbo tu kwenda kwenye dimension nyingne kimfumo na kimuundo.
Mbegu ikiwekwa chini ya ardhi huonza na kufa kabsa then huchipua katika mfumo mwingne , hili ni badiliko la kiumbo tu.
Maji yanapobadilika kutoka kwenye kimiminika ,mvuke na barafu ni badiliko la kiumbo tu kutoka dimension moja kwenda nyingne.
Mwili wa Binadamu umetengezwa na nishati ya mimea na wanyama tunaokula , na udongo wa ardhi kama mama yao , mtu anapofikia ukomo ( kifo ) anaendelea kuwa kwenye huu mzunguko wa nishati usio kuwa na kikomo ili kufanya maumbile yanayo onekana na ya sio onekana,katika mfumo usio onekana au unao onekana , katika speed na frequency mbalimbali .
Kifo ni njia nzuri sana yakufanya uhai uendelee kuwepo katika maumbile yanayoonekana (physical world) .
Vuta picha ya mbegu isingekua inafukiwa chini na kuoza kabsa ,je kungekuwa na nishati mpya inayozaliwa kwenye ulimwengu wa macho?
Sisi dunia na kila kinacho onekana na kisicho onekana tupo connected pamoja kama nishati mama , hauwezi kusema binadamu ana akili zaidi wakati kinachokupa akili ni kile unachokitumia kutoka humo humo duniani.
Viumbe na mimea inapokufa inasaidia uhai uzidi kuwepo duniani kama kitu kimoja ambacho kipo connected kwa vilivyo hai na vilivyo kufa .
Kifo + uhai = uwepo
Gwajima anawafufua waliokufa Sio walio lala Kuna kufa na Kuna kulalaKamuulize Gwajima, huwa anawafufua itakuwa wanamwambia wanapokuwa.
Tupo connected mkuu 💯Jamaa ni Kama umeingia akilini mwangu, (ENERGY)
Umegusa hizo dimensions/realms vizuri mnoBinadamu na kila kitu unachokiona ni energy ( nishati) ambayo nishati hii haifi wala kuaribika bali inafanya badiliko la kiumbo tu kwenda kwenye dimension nyingne kimfumo na kimuundo.
Mbegu ikiwekwa chini ya ardhi huonza na kufa kabsa then huchipua katika mfumo mwingne , hili ni badiliko la kiumbo tu.
Maji yanapobadilika kutoka kwenye kimiminika ,mvuke na barafu ni badiliko la kiumbo tu kutoka dimension moja kwenda nyingne.
Mwili wa Binadamu umetengezwa na nishati ya mimea na wanyama tunaokula , na udongo wa ardhi kama mama yao , mtu anapofikia ukomo ( kifo ) anaendelea kuwa kwenye huu mzunguko wa nishati usio kuwa na kikomo ili kufanya maumbile yanayo onekana na ya sio onekana,katika mfumo usio onekana au unao onekana , katika speed na frequency mbalimbali .
Kifo ni njia nzuri sana yakufanya uhai uendelee kuwepo katika maumbile yanayoonekana (physical world) .
Vuta picha ya mbegu isingekua inafukiwa chini na kuoza kabsa ,je kungekuwa na nishati mpya inayozaliwa kwenye ulimwengu wa macho?
Sisi dunia na kila kinacho onekana na kisicho onekana tupo connected pamoja kama nishati mama , hauwezi kusema binadamu ana akili zaidi wakati kinachokupa akili ni kile unachokitumia kutoka humo humo duniani.
Viumbe na mimea inapokufa inasaidia uhai uzidi kuwepo duniani kama kitu kimoja ambacho kipo connected kwa vilivyo hai na vilivyo kufa .
Kifo + uhai = uwepo
waache wizo me namalizia mipango ya baby shower yako hapa







asante wizo akeee,, mtakuja na KANTRI au takuja mwenyewe?Hii hali ishanipata!!Hii hali labda umeiona katika maisha yako; unaweza kumuona mtoto wa shule ya msingi,labda yupo darasa la tano. Ukawa unafikiria,"Huyu mtoto mara ya kwanza kumuona alikuwa chekechea,na sasa yuko darasa la tano,ina maana huyu mtoto nimemfahamu kwa muda mrefu sana.
Au unaweza kuwa unaishi na demu,unawaza"Huyu demu nilipoanza kuishi naye,ulikuwepo Uchaguzi Mkuu,na sasa kuna Uchaguzi Mkuu mwingine. Ina maana huyu demu nimeishi naye miaka mitano"?
Namaste 🙏Umegusa hizo dimensions/realms vizuri mno
Be blessed..
"Namaste" ni salamu kubwa sana Kaka daah....hii ni divinity salutation.Namate 🙏
Kantri siji naye manyaku nyaku yasije kunibebea bure 🤣🤣🤣asante wizo akeee,, mtakuja na KANTRI au takuja mwenyewe?
Unakwenda kwenye kuhukumiwa.Kwahiyo utarudi duniani au?
Unakwenda kwenye kuhukumiwa.Kwahiyo utarudi duniani au?
Unakwenda kwenye kuhukumiwa.Kwahiyo utarudi duniani au?