Mtoto wangu nitamuita Ruge

Mtoto wangu nitamuita Ruge

Haitasaidia sana ukimpa hilo jina mwanao, mfanye afanye mambo mazuri aliyoyafanya Ruge na ikiwezekana afanye vizuri zaidi.

Maombi yako ya kupata Mume yasikilizwe na ufanikiwe
 
Unadhani mtoto akiitwa Obama ndio atakuwa kama Obama,ni hivi jina linafanya kazi endapo litarisishwa kwa mtu ambaye mmeshare DNA kwa namna moja ama nyingine!
Ili lengo lako litimie tafuta ndugu yeyote damu moja na Ruge akufanye single mother kisha ndoto yako itimie

Sent by Diaspora
 
Mbona hilo jina ni common sana kwa watu wanaotoka Kagera ni undezi sana kutaka kumuita nwanao jina kisa umesikia linavuma sana kuna kipindi lilivuma sana jina la sharon kila mtoto alikua anaitwa sharon
 
Ruge was the genius and a good person and all that,I get it...but

I really doubt the quality of decision making skills za Ruge,kama mtu hujui maana ya condom!

We are all humans,kuuza mechi happens ila sio kwa consistency namna hii!

Unachezea uhai wako na partner wako na kuleta watoto wasiokua na plan plus all other life threatening inconveniences!
 
Nikipata Mume tukapata mtoto tutamshawishi mtoto aitwe Ruge

Imenigusa kuona nilikuwa simjui vizuri, kawasaidia akina mama wengi sana kwenye mitaji kupitia mpango wa FRT
Kawasomesha watoto wa kike wasiojiweza zaid ya 200, Kawataftia kufadhili wanafunzi wa vyuo vingi sana sana Magogoni, TPSC Tabora, Moshi na Mwanza Bugando

Katasaidiwa watoto zaid ya 200 kutibiwa ugonjwa wa moyo India kupitia kampeni yake na Alvero wa UN

Jamani kawasaidia wasanii wengi kujulikana, kwa kuwapa airtime mfano kuna kipindi alikuwa anazunguka baadhi ya redio kupromote nyimbo za diamond zipigwe sanaa , akaulizwa kwanini, akasema kwasababu tunataka radha mupya kwa muziki, hivyo wa zamani weka pembeni, sasa kupitia Ruge Diamond yameajiri wengine

Kawasaidia watu wengi hasa watanzania wanaoenda Marekani kawapa mwongozo pa kufikia wa kumuona na kampuni ipi hasa afanye nayo au aonane nayo

Kawasaidia wasaanii wengi kupata ushirikiano na wasanii wa nje kwa kuwa yeye na Kikwete walikuwa na Mpango maalumu, Jah Kaya

Mapungufu yake yapo ila Nimesema nayojua kidogo juu ya uzuri wake,

Mtoto wangu mie Ntamwita RUGE
Muulize lady JD.
 
Nikipata Mume tukapata mtoto tutamshawishi mtoto aitwe Ruge

Imenigusa kuona nilikuwa simjui vizuri, kawasaidia akina mama wengi sana kwenye mitaji kupitia mpango wa FRT
Kawasomesha watoto wa kike wasiojiweza zaid ya 200, Kawataftia kufadhili wanafunzi wa vyuo vingi sana sana Magogoni, TPSC Tabora, Moshi na Mwanza Bugando

Katasaidiwa watoto zaid ya 200 kutibiwa ugonjwa wa moyo India kupitia kampeni yake na Alvero wa UN

Jamani kawasaidia wasanii wengi kujulikana, kwa kuwapa airtime mfano kuna kipindi alikuwa anazunguka baadhi ya redio kupromote nyimbo za diamond zipigwe sanaa , akaulizwa kwanini, akasema kwasababu tunataka radha mupya kwa muziki, hivyo wa zamani weka pembeni, sasa kupitia Ruge Diamond yameajiri wengine

Kawasaidia watu wengi hasa watanzania wanaoenda Marekani kawapa mwongozo pa kufikia wa kumuona na kampuni ipi hasa afanye nayo au aonane nayo

Kawasaidia wasaanii wengi kupata ushirikiano na wasanii wa nje kwa kuwa yeye na Kikwete walikuwa na Mpango maalumu, Jah Kaya

Mapungufu yake yapo ila Nimesema nayojua kidogo juu ya uzuri wake,

Mtoto wangu mie Ntamwita RUGE
Sio JIWE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usichelewe mtoto mm hata ukitaka tumuite Ruge Jasiri haina shaka
 
Aliwaongoza ma model wenye majina makubwa sasa nchini wanaoishi nchi za nje pia na kufanya kazi zao vizuri hadi kesho

Flavian, Magesa, Odemba etc
 
Back
Top Bottom